OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Kwani Kepa anaweza kosa namba mbele ya Allison?Leo hii ndo una kuja na maneno ya mkosaji.....
Mlipo lisajili sim tank so ulisema hakuna ataye funga Kama yeyeee....Sasa mmegundua Kama mlipigwa unakuja na maneno ya kipuuzi et ooo hatutegemei mchezaji mmoja .....
Kwan team gan inategemeà mchezaji mmoja?
Kila team Ina key players....ambaye anakua Bora kuliko wengine so akikosekana lazima mashabiki muwe na wasiwasi.....
Mkoseni mend mumuweke kepa...uone Kama utakua na confidence fala wewe

