Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Kama ambavyo bila Timo na Lukaku mmeupiga mwingi sana pale mbele basi na sisi tutapata jawabu la Salah hivyo hivyo...
Ki ufupi opportunities sometimes bring new surprises ni kwamba usishangae a new star is born Mr Taikumi mpaka ukashangaa...

YNWA
Tangu aondoke Costa, Chelsea haijawahi kuwategemea forward kufunga magoli, hadi sasa wachezaji 17 wameshiriki katika kufunga msimu huu. Hii inaweza kuwa ndio strenth ya Chelsea kutorelay kwa mtu fulani akiugua au kuumia au akadrop form timu inastrugle
 
Tangu aondoke Costa, Chelsea haijawahi kuwategemea forward kufunga magoli, hadi sasa wachezaji 17 wameshiriki katika kufunga msimu huu. Hii inaweza kuwa ndio strenth ya Chelsea kutorelay kwa mtu fulani akiugua au kuumia au akadrop form timu inastrugle
Ukiweka ushabiki pembeni Mkuu utakua hio statement yako sio sahihi... Je hayo ni maoni yako ama ya kocha wenu..
Otherwise kama ni kweli usemavyo unaweza ku justify vipi kumnunua Timo £45m na Lukaku £97.3m na klabu rekodi na usitegemee wafunge kwa vile tu Mount watafunga..

Ijulikane kocha wenu sio muumini wa false 9 kama alivyo Pep na Klopp hivyo magoli kwenu kupatikana kwa wachezaji wengine ni kwamba wenye hio kazi hawafungi ndugu. Na ndio maana upo uwezekano tena mkakwenda mazima kwa Haaland ili muongeze firepower pale mbele...

YNWA
 
Ukiweka ushabiki pembeni Mkuu utakua hio statement yako sio sahihi... Je hayo ni maoni yako ama ya kocha wenu..
Otherwise kama ni kweli usemavyo unaweza ku justify vipi kumnunua Timo £45m na Lukaku £97.3m na klabu rekodi na usitegemee wafunge kwa vile tu Mount watafunga..

Ijulikane kocha wenu sio muumini wa false 9 kama alivyo Pep na Klopp hivyo magoli kwenu kupatikana kwa wachezaji wengine ni kwamba wenye hio kazi hawafungi ndugu. Na ndio maana upo uwezekano tena mkakwenda mazima kwa Haaland ili muongeze firepower pale mbele...

YNWA
Wataua kiwango cha Haaland hawa kama walivyo ua kiwango cha Lukaku wamuache Haaland wa watu kule kule
 
Ukiweka ushabiki pembeni Mkuu utakua hio statement yako sio sahihi... Je hayo ni maoni yako ama ya kocha wenu..
Otherwise kama ni kweli usemavyo unaweza ku justify vipi kumnunua Timo £45m na Lukaku £97.3m na klabu rekodi na usitegemee wafunge kwa vile tu Mount watafunga..

Ijulikane kocha wenu sio muumini wa false 9 kama alivyo Pep na Klopp hivyo magoli kwenu kupatikana kwa wachezaji wengine ni kwamba wenye hio kazi hawafungi ndugu. Na ndio maana upo uwezekano tena mkakwenda mazima kwa Haaland ili muongeze firepower pale mbele...

YNWA
Hii mkuu haitaji maoni ya kocha au ya mtu mwingine it is my observations and in practical point of view it will prove me correct
Kumnunua mshabuliaji ghali ni jambo jingine na sahihi kwa sababu akifunga magoli mengi ni a big boost kwa timu, lakini pia on the other hand asipofunga na timu ikawa na rekodi nzuri ya kufunga magoli kupitia wachezaji wengine kama Chelsea inakuwa more safe kuliko kutokuwa na wafungaji wengine
 
Hii mkuu haitaji maoni ya kocha au ya mtu mwingine it is my observations and in practical point of view it will prove me correct
Kumnunua mshabuliaji ghali ni jambo jingine na sahihi kwa sababu akifunga magoli mengi ni a big boost kwa timu, lakini pia on the other hand asipofunga na timu ikawa na rekodi nzuri ya kufunga magoli kupitia wachezaji wengine kama Chelsea inakuwa more safe kuliko kutokuwa na wafungaji wengine
Well said Mkuu....

Kwa hapa EPL ilivyo sasa ni bora kuwa na wafungaji wengi inajenga wachezaji kua na win mentality... Hili pia linasaidia kupunguza mzigo wa expectations kwa mastrikers hasa kipindi kile wana dry spell..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom