Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,852
Mkuu hii sare inakwenda penati direct hakuna hata dakika 120 wala marudio.Hii mechi bora iishe Sare ili wacheze marudio madogo wapate gametime
Taikumi 1st attempt on target tonight and what a clip goal... Kudos.
Now we need to score again and settle this game.
YNWA
Mkuu hii sare inakwenda penati direct hakuna hata dakika 120 wala marudio.
YNWA
Namuona Klopp pembeni anavyofoka utadhani ana mpango na so called mickey cups...Mimi naangalia hii kwa ajili ya kuona viwango vya madogo wetu tu lakini si kwa ajili ya kutaka Kombe kwani ninajua hatuna kikosi cha Carabao wala FA
A ghost of a goal. Mini scorpion kick. 😂😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Origi duuh huyu jamaa kwa magoli haya hua hajambo.
YNWA