John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,040
Mtapoteza Tu au ndo mnajipa mahopes hamtapoteza[emoji23]Very stupid comment
City aliwapiga, akapigwa na totts, na nyie mkampiga totts… huwezi kujua hayo because tayari dish lime yum a
Very stupid
Btw, Liverpool ndiyo team pekee ambayo haijapoteza mechi epl
Nadhani ile ya last season haikuwa effective kutokana na congestion ya fixtures. Msimu huu nadhani ina stop kwa team zote.Winter break ilianza last season kama unakumbuka EPL winter break yao sio timu zote zinapumzika kwa wakati mmoja zimegawanya timu 10 zinapumzika week end ya kwanza zen nyengine wek end inayofuata
Hamna uwezo wa kuitoa Chelsea nyie hata Chelsea kushinda magoli mengi tunaweza hamna uwezo wa kuitoa Chelsea hapo.Yaani Liverpool akiwa taa limewaka hivi nakuhahakikishia utashuka pale.. Mark my words unaongoza EPL kwa muda tu ila ikifika Mei kipenga cha mwisho priiiiiiiiii zile ribbon za kombe la EPL zitawekwa za rangi nyekudu kuashilia majogoo wameshinda taji la 20...
YNWA
NanukuuKesho Man united piga hizi takataka bao tatu maana defense yao ni uozo mtupu.
NanukuuLeo mnaliwa kiboga kunguni nyinyi
Yes it sounds proper.Zilikuwa ni Propaganda za Malafyale tu zile kumlenga MosDef na wakosoaji wa Klopp kuhusu Henderson, Mignolet na Lovren kwani kwa wakati huo Lovren na Mignolet walikuwa Wachomeshaji wakubwa.
Lakini hakukuwa na KLOPP OUT.
First touches zake amesolve alreadyThanks so much bro, tuko pamoja sana kwenye hili gurudumu.
Ugomvi wangu mkubwa na Salah ilikuwa timing, kwamba muda gani a-shoot, a-dribble au a-pass. He is so timely these days kiasi kwamba unainjoi kumwona akifanya kazi yake.
Nafikiri ata shine sana season hii kama 2018/2019 ikiwa intensity itabaki hivi hivi....Henderson the yesterday Xavi hahahaha ama kweliiiiiiiiiiiii... Yaani 114 touches aisee.
YNWA