Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu hao Man U,kwa namna walivyocheza Jana nimeona Kabisa tunachukua point pale kiulaini sana maana ukutawetu sio wa kitoto na tunafunga sana,Man U kila mechi lazima aruhusu goli tu, yaani ni wabovu sana na wachezaji wake ni wavivu balaa maguire ukimkaba kwa nguvu unachukua mpira.

Niliyajua hayo yote kwamba yatatokea.

Manure hao ni wabovu sana nililiona hilo na niliwaambia tunashinda kiulaini kabisa Leo.
 
Adjustments.jpg
 
Sorry piaAsante sana mkuu. Kuanzia leo umepanda cheo weka GIF zoote. Hii iwe trademark yako pia hasa humu wasikose uhondo wa magoli matamu kabisa

Usione hivi nachat daah kipigo cha leo kinaumaaa goli tano nyingi sana
Pole sana mdau,naelewa na napata hisia kwa hali unayopitia nasi kwa heshima yako tumekusamehe na kuamua kukutunzia trademake yako mpaka wakati mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom