Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Mkuu hao Man U,kwa namna walivyocheza Jana nimeona Kabisa tunachukua point pale kiulaini sana maana ukutawetu sio wa kitoto na tunafunga sana,Man U kila mechi lazima aruhusu goli tu, yaani ni wabovu sana na wachezaji wake ni wavivu balaa maguire ukimkaba kwa nguvu unachukua mpira.
Niliyajua hayo yote kwamba yatatokea.
Manure hao ni wabovu sana nililiona hilo na niliwaambia tunashinda kiulaini kabisa Leo.