passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,526
- 12,506
Ndiyo nusura mfungwe sio Moto huoDraw ndio moto?
We jamaa unaliwa Kweli
Ndiyo nusura mfungwe sio Moto huoDraw ndio moto?
We jamaa unaliwa Kweli
Hahaha hii kali asee.Hao Ndiyo MASAFI![]()
Uwe na usiku mwema asee.Acha kabisa mkuu![]()
Dah wale watoto ni balaa na nusu mkuu.Wakati game imeisha mkiwa mmeshika pumbu chalii 😂
Pole sana mwamba,ndo maana ulipotea jukwaaniHongereni kwa usahindi mzuri kabisa leo, mm nakabaliwa na changamoto nilisahau password ya akaunti ya bengalisis na kila nikifanya jitihada za kurest imekuwa sipati mresho mwezi sasa
Halafu kuna kenge zinampa CR7 tuzo ya uchezaji bora wa mweziSalah world class...
View attachment 1976719
View attachment 1976721
Kuna mtu mwenye swali na uwezo wa huyu King Salah aka the Last Pharaoh.
YNWA
Kwani arsenal na brentford ziliisha ngapingapi?Hamna timu humu. Unashindwa kumfunga Brentford nyumbani kwake? Arsenal ndio utamuweza?
Kwa uchezaji wenu wa kuruhusu magoli kizembe zembe arse8 anaweza pata point hapa.Kwani arsenal na brentford ziliisha ngapingapi?
Sijui wanasubiri kipi kumpa mkataba aiseee...Huu mwaka amewasha moto mapema adumu nao huu tupate matokeo.
Check hii mchawi ..shindwaaaaa pepoo takataka..Chelsea hawatachukua ubingwa..labda wamsajili Haaland January...
CR7 anarudi Real Madrid aisee huu moto wa EpL amechemka hatakua na jipya jana kwenyewe anarukaruka tu uwanjani...Halafu kuna kenge zinampa CR7 tuzo ya uchezaji bora wa mwezi