Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Epl never fails to keep us in the edge.Weekend imekuwa tamu than I anticipated...![]()
YNWA
Epl never fails to keep us in the edge.Weekend imekuwa tamu than I anticipated...![]()
Usiwapime kwa ile tabu waliopewa jana kile kitumu ni kigumu hafu hakina hofu.Chelsea hawatachukua ubingwa..labda wamsajili Haaland January...
Aisee Mendy alifanya kazi kubwa sana.Dah wale watoto ni balaa na nusu mkuu.
Wow. Wampe tu japo 500 parefu lakini he deserves it. The best in the world.Developing Gossip.
Mo Salah's agent Ramy Abbas Issa flew into England on Saturday - fuelling speculation of further talks over a new £500,000-a-week deal for the Egyptian king.
Source Sky.
YNWA
Hawalipi hii tutasikia tu kwenye media labda 300Developing Gossip.
Mo Salah's agent Ramy Abbas Issa flew into England on Saturday - fuelling speculation of further talks over a new £500,000-a-week deal for the Egyptian king.
Source Sky.
YNWA
Chalii usiwe carried away kiivyo. Anyways najua hapa unaongea kishabiki. Ila Lukaku anaonekana ule uzito wake umeanza kumrudia. Au Man U walimloga nini?Sisi ndio Chelsea sasa ..kwa sasa kutufunga inahitaji nguvu kubwa sana. Hapa muna point zetu tatu, jumla ni nne tunabeba kutoka kwenu.
Allison 10 = Mendy mmoja.
Hofu ni akipewa atakacho kina Mane nao waking'ara tu wata anza kudai palefu tutegemee siasa tuWow. Wampe tu japo 500 parefu lakini he deserves it. The best in the world.
Aisee Mendy alifanya kazi kubwa sana.
😂😂😂😂Hivi FSG ndio kabisa walipe 500k bila endorsement jamani au Salah analindwa na the Mummies khaa si bure hii.Hawalipi hii tutasikia tu kwenye media labda 300
Madrid wakileta hazadi na mpunga Klopp atagoma?
Mkuu hawa FSG wanasema huo mpango.Wow. Wampe tu japo 500 parefu lakini he deserves it. The best in the world.
Salah wa sasa huko kwingine ana 51% pa kumkataa.Mkuu hawa FSG wanasema huo mpango.
Real Madrid wanaombea iwe kama Gini ili akacheza na Mbappe pale.
YNWA
Sio bure Mane alimind kwanini Mendy hakuwa kwenye shortlist ya Balon d'OrHalafu wanampa mshahara wa kitumwa kabisa ...
Kepa 300k
Mendy 52k
Inatakiwa FSG wafanye coup sasa. Mpe Salah anachotaka kisha vunja kibubu leta Mbappe hao Madrid wabaki wakiduwaa 😂😂😂Mkuu hawa FSG wanasema huo mpango.
Real Madrid wanaombea iwe kama Gini ili akacheza na Mbappe pale.
YNWA
Aibu sana kuna watu watakuambia mzungu hakoseiHalafu wanampa mshahara wa kitumwa kabisa ...
Kepa 300k
Mendy 52k
CR7 anarudi Real Madrid aisee huu moto wa EpL amechemka hatakua na jipya jana kwenyewe anarukaruka tu uwanjani...
Salah kwa sasa ameamua kuvuja uflame wa hawa jamaa Messi na Ronado japo ana safari ndefu kuwafikia hata nusu yao lakini alivyo sasa na kutajwa kuwa ni bora kama wao ni jambo anastahili kujivunia.
YNWA
Tuendelee kumlinganisha LUKAKU na SALAH au tuishie mechi hii
magoli wanafunga mabeki tu.