Unataka kusema Chelsea mna mabeki wazuri kuliko liver? Sio kwamba team kufungwa goli chache ndio Ina mabeki wazuri. Mfano nyie Chelsea mnabebwa na mfumo wa mwalimu wa kujilinda Ila beki zenu huwez fananisha na za liver. Kwanza pale epl sidhan Kama Kuna team ina mabeki wazuri Kama liverpool
Kwa Hindi beki yenu inavyoruhusu mabao kizembe ni ngumu Sana kwa nyie kuwa mabingwa. Labda itokee performance ya city na Chelsea imeshuka. Lakini ukiwa Hivi Hivi hata man u anaweza kukuacha nyuma

