Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

tusijisahaulishe ii picha ya kutisha
btsport-20211005-0001.jpg
 
Ukweli Mimi n mwanachesii damu damu lakini hii Liverpool hatuiwezi inatisha kama nini.. Huyo Salah sijui hata kwanini tulimuuzaga maana kwa sasa ndiye mchezaji bora ulaya anafunga kama kalogwa na mzigua ... Sasa lile pipa letu sijui kama litafikisha hata nusu ya goli za salah mwisho wa msimu... Sijui nihamie kwa majogoo maana nauhakika sisi Chelsea n wasindikizaji tu
Unamia Liverpool kisa katoa Drow na Man city?.

Mashabiki wa Arsenal utawajua tu



Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ukweli Mimi n mwanachesii damu damu lakini hii Liverpool hatuiwezi inatisha kama nini.. Huyo Salah sijui hata kwanini tulimuuzaga maana kwa sasa ndiye mchezaji bora ulaya anafunga kama kalogwa na mzigua ... Sasa lile pipa letu sijui kama litafikisha hata nusu ya goli za salah mwisho wa msimu... Sijui nihamie kwa majogoo maana nauhakika sisi Chelsea n wasindikizaji tu
Karibu kwa majogoo mkuu..upate furaha iso kifan wewe na familia yako...CHELSEA NI JIPU MUDA WOWOTE LINAPASUKA..EPL NI MBIO ZA MARATHONI KM 42...TUCHEL HAZIWEZI

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Karibu kwa majogoo mkuu..upate furaha iso kifan wewe na familia yako...CHELSEA NI JIPU MUDA WOWOTE LINAPASUKA..EPL NI MBIO ZA MARATHONI KM 42...TUCHEL HAZIWEZI

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Unaiongelea Chelsea ipi? mabingwa wa ulaya au Chelsea ya Nigeria,ila kama ni hawa Chelsea mabingwa wa ulaya mwaka huu niwao hakuna wakuwazuia mjipange.
 
Ukweli Mimi n mwanachesii damu damu lakini hii Liverpool hatuiwezi inatisha kama nini.. Huyo Salah sijui hata kwanini tulimuuzaga maana kwa sasa ndiye mchezaji bora ulaya anafunga kama kalogwa na mzigua ... Sasa lile pipa letu sijui kama litafikisha hata nusu ya goli za salah mwisho wa msimu... Sijui nihamie kwa majogoo maana nauhakika sisi Chelsea n wasindikizaji tu
Ollachuga Oc njoo huku.

Salute kwako ndugu. Salah kwa sasa anatisha sana.

YNWA
 
Huu ushindani kwasasa ni Mkubwa lakini hauwezi kudumu kwa miaka mingi kwasababu si ushindani wa Kitimu bali ni ushindani binafsi wa Pep na Klopp tokea Ujerumani.

Wakiondoka PEP na KLOPP tu pale EPL basi huu ushindani utapotea na kuwa mechi ya kawaida tu kama zamani.

Unachosema ni kweli lakini kwa jinsi hali ilivyo sidhani kama hao jamaa watatimuliwa kirahisi maana inafahamika kuwa wordclass coaches ni wachache sana na ukiangalia mafanikio waliyoleta hao jamaa ni ngumu kuwatimua kiwepesi Zaidi ya kuwaboreshea vikosi inapohitajika...kama KLOPP KAWAPA UEFA(ambayo mlipoteza kwa 14yrs since 2005) na EPL(ambayo mlipoteza kwa 30yrs) PEP kawapa CITY EPL 4 na wamefika fainali ya UEFA kwa mara ya kwanza(japo alipoteza lakini sikushangaa ata journalist na wanamichezo wakubwa duniani walijua ile mechi city ana asilimia kubwa za kupoteza MAANA KIHISTORIA NI NGUMU TIMU IKAFIKA FAINALI KWA MARA YA KWANZA NA KULIBEBA LILE KOMBE), Kwahiyo bado naamin kun muda mrefu wakushuhudia gemu za hao watu, Ona spurs walivyomuondoa pochettino kinachotokea sahiv pale?...Kwa Man U hadi sasahivi wanafahamu fika kama hawana kocha pale wanampanga kikosi tu Na nionavyo bwana Nuno akiendelea na mwenendo mbovu pale Spurs Wanaeza agree zile terms za conte wakamchukua kitu ambacho ManUtd watakuja jilaum mbelen kumn'gang'ania Ole wakati Conte alikuwepo, kwa upande wa zidane simkubali sana...mimi ni madrid lakini naamin zidane alikuwa na watu na timu ilishajengwa ndomaan alifanikiwa pale bernabeu....ona #ManUFans wanachosema hapo baada ya ile game ya Anfield #LastSunday....​

FireShot Capture 040 - LiverpooI vs Man Ciity 2−2 - Extеndеd Hіghlіghts & All Gоals 2021 HD _ ...png

d3b9ca84-c42a-43cb-a7fd-ba2da4e24ac7.jpg

118b3e5a-891a-401b-ac56-1514d7185b42.jpg
 
Sure thing Captain. Hatuwezi kumtegemea Millie tena hasa ikiwa RB kwake ni makeshift position. Umri wake pia umeenda hawezi ku perform at the highest level ukitegemea yenyewe anapambana na vijana wachanga ambao wepesi sana na technically gifted.

Neco Williams bado anahitaji ku prove kuwa ana uwezo wa kufill in when needed.

As of now tunatakiwa kuingia sokoni tu tupate raw talent kama backup ya TAA kule RB.
Walimtazama Aaron wa Norwich ishu kuu ni mpunga mrefu sasa sina uhakika kama hata hua mpango upo kwa sasa....

Ili mambo yakae sawa hapa atue Bissouma ili asimame upande huu huu wa kulia alipo Salah na TAA... Pata picha mbele Salah kati Bissouma nyuma TAA lol tutakua sorted big time.

Neco yupo slow kushambulia pia slow ku defend huyu angefaa mkopo Championship ili akae sawa...

YNWA
 
Huu ushindani kwasasa ni Mkubwa lakini hauwezi kudumu kwa miaka mingi kwasababu si ushindani wa Kitimu bali ni ushindani binafsi wa Pep na Klopp tokea Ujerumani.

Wakiondoka PEP na KLOPP tu pale EPL basi huu ushindani utapotea na kuwa mechi ya kawaida tu kama zamani.
Aisee huyu sasa ushakua ushindani wa kudumu ndugu japo ki ukweli Manchester City kwetu hakuaga na kifua ilikua anakaa home and away sema kwa sasa wanapambana haswa kufuta huu uteja..

Nasema ni wa kudumu design kama Chelsea ilivyo sasa tangu katua Mourinho ushindani na hawa jamaa uliongezeka sana na mpaka sasa mechi yetu na hawa jamaa hua full package.

Wakiodoka Pep na Klopp nina uhahika huu ushindani utazidi kua hivi hivi maana ili uwe bora lazima umpige alie bora na tangu watue Mansor pale Ethad jamaa kila mwaka wapo bora aisee hivyo hawa tunao sana tuu...

YNWA
 
Ukweli Mimi n mwanachesii damu damu lakini hii Liverpool hatuiwezi inatisha kama nini.. Huyo Salah sijui hata kwanini tulimuuzaga maana kwa sasa ndiye mchezaji bora ulaya anafunga kama kalogwa na mzigua ... Sasa lile pipa letu sijui kama litafikisha hata nusu ya goli za salah mwisho wa msimu... Sijui nihamie kwa majogoo maana nauhakika sisi Chelsea n wasindikizaji tu
Karibu sana mkuu, ila lile pipa halina lolote njoo Liverpool ufurahie maisha. Kwanza Liverpool ni team ambayo huwa haina stress saana kama wapaki mabasi, man u Arsenal n.k.
 
Aisee huyu sasa ushakua ushindani wa kudumu ndugu japo ki ukweli Manchester City kwetu hakuaga na kifua ilikua anakaa home and away sema kwa sasa wanapambana haswa kufuta huu uteja..

Nasema ni wa kudumu design kama Chelsea ilivyo sasa tangu katua Mourinho ushindani na hawa jamaa uliongezeka sana na mpaka sasa mechi yetu na hawa jamaa hua full package.

Wakiodoka Pep na Klopp nina uhahika huu ushindani utazidi kua hivi hivi maana ili uwe bora lazima umpige alie bora na tangu watue Mansor pale Ethad jamaa kila mwaka wapo bora aisee hivyo hawa tunao sana tuu...

YNWA

PREMIER LEAGUE WENYEWE WALIPOST WANATAMBUA HILI...!


PETER DRURY ANAKWAMBIA "LIVERPOOL vs CITY", The rivarly of our days...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom