Ilakiza Kibod
Member
- Aug 3, 2019
- 86
- 74
Mungetueleza kwamba golini mna magolikipa wawili....tungewaelewa.....Reece James na mend....Mwanamke ulilialia ili tupate kadi nyekundu maana ulihisi hiyo ndio njia yako kushinda.
Vipi ulishinda?
Mna daka mipira halafu mnataka huruma ya kutokupewa kadi.....
Kiufupi pressing ilizid mpaka mkaamua kudakaaa mpiraa