Its simpo ndugu upande wa Milner alisimama Salah na Henderson. Sasa defending inakua most likely ni Henderson afanye msaada kwa Milner huku pia kama inalazimu na Salah asaidie. Ishu jana Henderson gemu ilimkataa na kumsababishia babu Milly shinda zote zile.
Ukitazama upande wa kushoto Jones alimsaidia sana Robertson offensive na baada ya Manchester City kuona vile wakaamua sasa mashambulizi yao yapitie kwa Milner huku pia wakimtafutia kadi ya njano ya pili



and Pep was damn furious kwa mara ya kwanza nimemuona akitgemea tuwepungufu ili apambane apate ushindi aisee..kwa Klopp ni levo zingine kabisa.
VVD duh huyu mwamba ile injury must have scared the boy kiasi mpaka sasa ule usolid wake pale nyuma sio kama zamani. Let's be positive atakaa sawa na uzuri he make the others better and better..
YNWA