Hiyo epl walichukua baada ya mda gani kipita bila shaka ulikuwa hujazaliwa.Hili jamaa linahoja za kitoto, kwani hiyo UEFa umeshawahi ibeba peke yako? Watu walichukua league na hiyo UEFA at the same time lakini hawajitapi kama ww.
Hiyo epl walichukua baada ya mda gani kipita bila shaka ulikuwa hujazaliwa.Hili jamaa linahoja za kitoto, kwani hiyo UEFa umeshawahi ibeba peke yako? Watu walichukua league na hiyo UEFA at the same time lakini hawajitapi kama ww.
Wewe...liver kaanza kuchukua makombe na kua team tishio ....Chelsea ikiwa Kama WatfordHiyo epl walichukua baada ya mda gani kipita bila shaka ulikuwa hujazaliwa.
Wee huna akili ya kufikiri ndio maana unalinganisha takata na wachezaji, mabingwa wa Ulaya, Jorgninho best footballer Ulaya nzimaYaan ...ulinganishe Trent na Reece...
Alonso na robartson
Matip na azipl
Fabinho na jorginho
Mane na Werner
Lukaku Salah
Firmino na Kai
We jamaaa Ni kichaaaa akili yako haiko sawaaa
Kiufupi...ng'oro kante ndo mchezaji pekeee wa kupata Namba pale Liver....the rest Ni walevi walio kutana baar ...wakaamua kuomba nafasi ya kucheza team ya wapaki bus
Akili hamna ninyi washabiki wa Chelwowo , kujilingaisha na LIVERPOIL wakati hata idadi ya makombe ya Arsenal Hujayafikia.Wee huna akili ya kufikiri ndio maana unalinganisha takata na wachezaji, mabingwa wa Ulaya, Jorgninho best footballer Ulaya nzima
Mtaelewa tu mei 2021
Akili hamna ninyi washabiki wa Chelwowo , kujilingaisha na LIVERPOIL wakati hata idadi ya makombe ya Arsenal Hujayafikia.
Acha kufikiri kwa kutumia Makalio mzee.
Hahaha bwana wee mtoto pendwa wa Klopp hata akipona Thiago utaona Jones anarudi kusugua benchi ili dogo Hendo akamata dimba...Et kumsaidia Milly shida zote zile wakati uwezo hana![]()
Kwa kweli Mkuu ile injury ya VVD sio ya kitoto ilikua career threat kwake aisee hivyo hatuna namna zaidi ya kwanza kumpa big up kwa kupambana kurejea 1st 11 na pia kuzidi kuonyesha uchu wa kua bora tenaaa.....Pep mwenyewe alishawahi ku admit kuwa Liverpool ndio team ngumu kabisa aliyowahi kukutana nayo.
Pep Guardiola Names The Most Formidable Opponent He Has Faced In His Managerial Career
So alijua kabisa game ile muda wowote kinatoke chochote ndio maana akataka apate advantage ya aina yoyote ile ili aweze kushinda.
Kitu ambacho nili observe kwenye ile game ya jana ni kuwa makocha wote wawili wana heshimiana sana (tactically). Hakuna alieingia kwenye game akiwa amevimba kichwa kuwa atampasua mwenzake. Nadhani ndio maana hata first half kila team ilicheza sana kwa kujihami na kushambulia kwa kushtukiza.
Even the post match interviews kutoka kwa wachezaji kama KDB, Mo, Robbo na Foden. Wote waliongea vizuri. Kila mmoja alionyesha kuheshimu uwezo wa wapinzani wake.
Pep na Klopp nao pia.
Kuhusu van Dijk nadhani ni suala ambalo litamchukua time kidogo mpaka akae sawa. Kutoka kukaa nje msimu mzima baada ya career threatening injury sio mchezo.
Sisi kama mashabiki tunajua uwezo wake. Tumpe muda tu anahitaji kurudi taratibu. Akirudi form ana insipire wote wanaomzunguka pale nyuma na inakuwa ngumu kuona errors kwa mabeki wote hata kipa so hatuta concede magoli ya kijinga.
Sielewi ilikua aje pale Milner akapona aisee na Klopp kuona vile akamchomoa chap..We robbed ...
Milner deserved second yellow card and sent off...
Tulikuwa tunashinda game
Worst news "Chelsea is at its best"The Good News...
1) Kabla ligi haijaanza tulikua tunaonekana kama wasidikazaji tu yaaani hata main bookies walikua very negative kuona tukileta formidable war to the summit lakini ghafla sasa we are in the mix yaaani Klopp na jopo lake la walimu hongera sanaaaa.
2) Kuodoka kwa Gini kulituacha na very big empy spot to fill lakini so far no body is missing the Gini boy yaaani Klopp has made sure the intensity is still the same regardless of who we are playing. Hili ni big up sana to our future Captain Jones na Eliot ku shine when called upon.
2) Anfield is alive and kicking yaaani as said without the fans we suck at Anfield but with fans we rock n roll big time with players getting the response they deserve.
3) Vijana wetu pale mbele magoli yameanza kurejea kwa kasi ni jambo njema sana maana tulipoteana muda fulani last season ikawa magoli hayaji. Salah is becoming a complete player day by day kwa kweli FSG huyu wampe poud za kutosha sanaaa atulie kabisaaa kufanya kazi.
The Bad News...
1) Kwa mechi zote tulizocheza msimu huu wakati tunashambuliwa kuna tension fulani inatembea uwanjani pale hata clearance kuanzia kwa kipa na wengine unaona kabisa wapo so tense ni kama vile wanaogopa kufanya makosa aisee yaaani hili lazima lifanyiwe kazi mapema sanaaaa..
2) hatuhitaji haya majeraha aisee not again so we just hope ni upepo unapita tu huu maana tunahitaji hawa main guys wakiwa wazima% na sio vinginevyo.
3) Taiwo Awoniyi huyu dogo ni strika Liverpool tumemuuza dirisha hili ikiwa Klopp hajampa nafasi kama alivyowapa wengine maana japo alisajiliwa mwaka 2015 lakini hakuwai cheza any competitive game kwa kukosa vibali vya kucheza Uingereza hivyo muda wote tangu 2015 amekua ni mkopo kwa miaka 6 baada mkopo mara 7. Union Berlin walileta ofa ya £5m to £9m plus adds on na kumnunua mazima. Sasa balaa lake huko Ujeremani sio la kawaida mpaka sasa ana magoli 5 katika mechi 7. Kiu fupi nilitegemea wange cash kwa Origi na kwa vile sasa huyu dogo kibali kilikua kimepatikana kucheza EPL basi wangemuacha hata msimu mmoja tuone ni namna gani mikopo yake imemjenga.
4) Thiago na Keita hawa tusitegemee kwa EPL hii kama kweli watabaki wazima hata mechi 6 mfululizo bila kusikia ishu ya kuumia.
YNWA
OkeyTime will tell.
YNWA
Good analysis. Awoniyi situation yake sikuifuatilia may be it's another Suso esque saga.The Good News...
1) Kabla ligi haijaanza tulikua tunaonekana kama wasidikazaji tu yaaani hata main bookies walikua very negative kuona tukileta formidable war to the summit lakini ghafla sasa we are in the mix yaaani Klopp na jopo lake la walimu hongera sanaaaa.
2) Kuodoka kwa Gini kulituacha na very big empy spot to fill lakini so far no body is missing the Gini boy yaaani Klopp has made sure the intensity is still the same regardless of who we are playing. Hili ni big up sana to our future Captain Jones na Eliot ku shine when called upon.
2) Anfield is alive and kicking yaaani as said without the fans we suck at Anfield but with fans we rock n roll big time with players getting the response they deserve.
3) Vijana wetu pale mbele magoli yameanza kurejea kwa kasi ni jambo njema sana maana tulipoteana muda fulani last season ikawa magoli hayaji. Salah is becoming a complete player day by day kwa kweli FSG huyu wampe poud za kutosha sanaaa atulie kabisaaa kufanya kazi.
The Bad News...
1) Kwa mechi zote tulizocheza msimu huu wakati tunashambuliwa kuna tension fulani inatembea uwanjani pale hata clearance kuanzia kwa kipa na wengine unaona kabisa wapo so tense ni kama vile wanaogopa kufanya makosa aisee yaaani hili lazima lifanyiwe kazi mapema sanaaaa..
2) hatuhitaji haya majeraha aisee not again so we just hope ni upepo unapita tu huu maana tunahitaji hawa main guys wakiwa wazima 💯 % na sio vinginevyo.
3) Taiwo Awoniyi huyu dogo ni strika Liverpool tumemuuza dirisha hili ikiwa Klopp hajampa nafasi kama alivyowapa wengine maana japo alisajiliwa mwaka 2015 lakini hakuwai cheza any competitive game kwa kukosa vibali vya kucheza Uingereza hivyo muda wote tangu 2015 amekua ni mkopo kwa miaka 6 baada mkopo mara 7. Union Berlin walileta ofa ya £5m to £9m plus adds on na kumnunua mazima. Sasa balaa lake huko Ujeremani sio la kawaida mpaka sasa ana magoli 5 katika mechi 7. Kiu fupi nilitegemea wange cash kwa Origi na kwa vile sasa huyu dogo kibali kilikua kimepatikana kucheza EPL basi wangemuacha hata msimu mmoja tuone ni namna gani mikopo yake imemjenga.
4) Thiago na Keita hawa tusitegemee kwa EPL hii kama kweli watabaki wazima hata mechi 6 mfululizo bila kusikia ishu ya kuumia.
YNWA
Awoniyi ishu kuu ilikua kibali cha kucheza Uingereza hivyo amekua kila msimu huyooo kwa mkopo...Good analysis. Awoniyi situation yake sikuifuatilia may be it's another Suso esque saga.
Yes nilitaka kuuliza kuhusu buy back clause i hope kilikuwa inserted.Awoniyi ishu kuu ilikua kibali cha kucheza Uingereza hivyo amekua kila msimu huyooo kwa mkopo...
On paper ilikua dili powa maana akununuliwa 2015 kwa £400,000 tu huku akiuzwa 2021 kwa £5m hivyo waweza ona kwa nini pengine walishawishika kuchukua ela chap...
Ana mwili powa sana ku shine hapa EPL. Aidha Klopp hakuona aki fit kwenye system yake ama dogo amekupenda Ujeremani maana amekua mkopo kule mara kadhaa...
Suso man i guess Klopp saw his small body haha playing as 10 akaona hatoboi 😂😂...
Je Alberto kuuzwa Lazio nana sasa amekua a complete 10 yaaani hawa madogo hawakupewa nafasi ukute mpaka sasa tusingekua na haya ma pancha yetu kama wangebaki 🙈🙈🙈...
Well my hope ni kwamba kuwe na kipengele cha buy back kwa Awoniyi...
Na kutokana na alivyoanza powa msimu huu kocha wa Nigeria amemuita dogo mechi hizi za kimataifa. All the best kwake.
YNWA
Liverpool also negotiated a 10 percent sell-on clause in the deal kwenye hii dili ya Awoniyi sina uhakika kama kuna buy back... Dogo ana miaka 24 hivyo tuvute subira asipopata majeraha mbona huyu pale Union hatokaa sana.Yes nilitaka kuuliza kuhusu buy back clause i hope kilikuwa inserted.
Dah nilimsahau Luis Alberto asee jamaa ameenda kuwa fundi hasa. Ila nadhani Alberto physique yake kidogo ndio shida. Namuona kama EPL ingempa shida sana.
Pep mwenyewe alishawahi ku admit kuwa Liverpool ndio team ngumu kabisa aliyowahi kukutana nayo.
Pep Guardiola Names The Most Formidable Opponent He Has Faced In His Managerial Career
So alijua kabisa game ile muda wowote kinatoke chochote ndio maana akataka apate advantage ya aina yoyote ile ili aweze kushinda.
Kitu ambacho nili observe kwenye ile game ya jana ni kuwa makocha wote wawili wana heshimiana sana (tactically). Hakuna alieingia kwenye game akiwa amevimba kichwa kuwa atampasua mwenzake. Nadhani ndio maana hata first half kila team ilicheza sana kwa kujihami na kushambulia kwa kushtukiza.
Even the post match interviews kutoka kwa wachezaji kama KDB, Mo, Robbo na Foden. Wote waliongea vizuri. Kila mmoja alionyesha kuheshimu uwezo wa wapinzani wake.
Pep na Klopp nao pia.
Kuhusu van Dijk nadhani ni suala ambalo litamchukua time kidogo mpaka akae sawa. Kutoka kukaa nje msimu mzima baada ya career threatening injury sio mchezo.
Sisi kama mashabiki tunajua uwezo wake. Tumpe muda tu anahitaji kurudi taratibu. Akirudi form ana insipire wote wanaomzunguka pale nyuma na inakuwa ngumu kuona errors kwa mabeki wote hata kipa so hatuta concede magoli ya kijinga.
Yeah hii ya Allan niliifuatilia. Dogo alikuwa ana potential. Bureaucracies ndio zinaletaga mkanganyiko asee.Liverpool also negotiated a 10 percent sell-on clause in the deal kwenye hii dili ya Awoniyi sina uhakika kama kuna buy back... Dogo ana miaka 24 hivyo tuvute subira asipopata majeraha mbona huyu pale Union hatokaa sana.
Luis Alberto haha huyu dogo alihusika pia Lucas kutua Lazio. Ametulia na ana namba ya uhakika kabisa hivyo hata bei ya kumtoa pale sio pungufu ya £40m plus.
Hizi situation za kukosa work permit zimetukuta kwa huyu Awoniyi na yule dogo Mbrazil Allan Rodrigues de Souza huyu nae tulimnunua £500,000 mwaka 2015 lakini baada ya miaka 5 akakosa kabisa work permit hivyo akauzwa January 2020 kwa £3.2m. Pia na huyu kuna future sell clause ya 10%.
YNWA
Huyu dogo scenario yake ilikua hivi ili apate kibali ilitakiwa hivi kwanza..Yeah hii ya Allan niliifuatilia. Dogo alikuwa ana potential. Bureaucracies ndio zinaletaga mkanganyiko asee.