Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Pep Guardiola says Jurgen Klopp rivalry has made him a better manager ahead of the Liverpool v Man City clash
6158766a77a31.jpg
 
Wapo vizuri ila sio kwa kiwango wanachojiweka wao...

Mechi kumi watakua wameelewa somo na huyu TT kumaliza may shughuli
Tukiwachukua leo wachezaji wa Liverpool watakaopata namba Chelsea ni hawa
  1. Alisson sub ya Mendy
  2. VVD
  3. Salah
  4. Mane sub ya Werner
Mengine yaliyobaki ni takataka za kutoa mkopo au kuuza hawatapata hata sub kwenye kikosi cha sasa cha Chelsea
 
I bet it is...

Even replying to such a comment is total waste of time mkuu.
Ninyi ni matakataka tu hamuna timu ya kuifunga Chelsea kwa Sasa ..Kama tulikuwa pungufu mukashindwa kutufunga na bao mulichomoa kwa penati kwanini tusiseme hamuna timu nyie kuku.
 
Kila la kheri Man Shityee..nyonyoeni hizi kuku broiler
Come on Shityee 💪💪💪
 
Leo mnapigwa siyo chini ya bao tatu na ile defense yenu ilivyo mbovu.
Amini kwamba....
CFC💙💙💙
 
Subirini mtapotean tu huku hakuna namna nyingine, hizi porojo za kujifariji zitakoma kabla ya Desemba

Hivi kati ya Liverpool na Chelsea nani yupo kwenye zone za kupoteana?
Kama Msimu uliopita ambapo karibu Timu nzima ilipata injuries na hatukupoteana na tukamaliza Ligi juu ya Chelsea, tuje tupoteane Msimu huu ambao Timu haina injuries?

Subiri tuone nani kati yetu atakayepoteana
 
Tukiweka kikosi Cha Chelsea na liverkuku hapa mezani ..wachezaji wa liverkuku watakaoanza hawazidi watano.
Allison sub ya Mendy.
Vvd sub ya Silva.
Fabihno sub ya Joghihno
Salah ataanza.
Mane sub Werner.

Kwa ufupi liverkuku kwa Sasa hamuna kikosi Cha kusimama mbele ya Chelsea.
Chelsea tuna wachezaji wenye na uwezo wa kuanza moja kwa moja kweye timu yenu ..
Odoi ataingia moja kwa moja.
Barkley ataingia moja kwa moja.
Ziyech ataingia moja kwa moja.
Tammy angeingia moja kwa moja.
Tomori na yeye hivyo hivyo.
Ruben ataingia moja kwa moja.

Ninyi Muna kikosi Cha Kwanza tu ambacho Hadi January kitakuwa kimechoka maana Kila game ndio hicho hicho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom