Ilakiza Kibod
Member
- Aug 3, 2019
- 86
- 74
Mbna sisi tukiwambia Liverpool ni Tim nzuri mna kataaa....Kwan LiveScore zinatofautiana?Bado Chelsea ni timu nzuri. Unless kama unaangalia mpira live score.
Mbna sisi tukiwambia Liverpool ni Tim nzuri mna kataaa....Kwan LiveScore zinatofautiana?Bado Chelsea ni timu nzuri. Unless kama unaangalia mpira live score.
Na apulize utuli kabisa, au achome UDIKwamba jamaa atandike tu mashuka ya maua maua![]()
Mkuu milner akatafute changamoto gani tena? Huyo babu astafu tu.
Mbna sisi tukiwambia Liverpool ni Tim nzuri mna kataaa....Kwan LiveScore zinatofautiana?
Unaandika vitu gani mzee?Fabinho
Keita
Henderson
Milner
Jones
Elliot
Thiago
Chamberlain
Dah! Tuna maiti zinakula mishahara ya bure si mchezo Yani.
Hapo ndiyo tunakuwa brainwashed eti Liverpool ina kikosi kipana kumbe ni lundo la Watumishi hewa.
Unaandika vitu gani mzee?
Timu yenu tunakataa kuwa ni nzuri kwa sababu mlishindwa kutufunga tukiwa pungufu, Hapo tu...Mbna sisi tukiwambia Liverpool ni Tim nzuri mna kataaa....Kwan LiveScore zinatofautiana?
TAA hayupo vizuri defensively ndio maana southgate aliamua kumuacha katika selection ya Timu ya taifa iliyoshiriki Kombe la dunia. Huwa sina imani naye tunapocheza na timu zinazoshambulia kwa kasi,turejee mechi dhidi ya Man city msimu uliopita, dhidi ya Ac Milan na dhidi ya Brentford ( zote za msimu huu). Kifupi dogo defensively ni tatizo pale Liverpool.Opinion yako tu mkuu
defensively TAA hamfikii Milner kwa umri wa Milner na Taa huyu huyu.
Milner ni kijana mzee hasa akipiga RB.
Game vs Madrid Anfield alipotolewa zizou ndipo akawapumzisha Kroos na Modric.
Kwa ufinyu wa kikosi Milner muhimu sana.
Tunamfaidi offensively zaidi ya defensivelyTAA hayupo vizuri defensively ndio maana southgate aliamua kumuacha katika selection ya Timu ya taifa iliyoshiriki Kombe la dunia. Huwa sina imani naye tunapocheza na timu zinazoshambulia kwa kasi,turejee mechi dhidi ya Man city msimu uliopita, dhidi ya Ac Milan na dhidi ya Brentford ( zote za msimu huu). Kifupi dogo defensively ni tatizo pale Liverpool.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi, dogo ni mzembe sana, hana tofauti sana na Steve G enzi zake kama ulikuwa ukimfuatilia vizuri.Tunamfaidi offensively zaidi ya defensively
Kwa hiyo kipimo cha mchezaji bora ni kupitia hizo timu ulizoainisha.Simple and Clear! Kwenye Timu za Chelsea, Man City, Liverpool na Man United hakuna Timu hapo inayoweza kumtaka Milner isipokuwa Liverpool.
Nimalizie kusema Milner sio Mchezaji mpera bali ni Veteran! Hana chochote anachoweza kuoffer awapo uwanjani isipokuwa anafaidika na sera za Liverpool kubwa ni Dampo la useless players.