Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwamba chelwowo sio saizi yako hahaha
Lini uliona nashabikia wale wavimba majo wa darajan,nakuheshimu Sana mkuu..


Tengua kauli haraka Sana ,mimi ni shabiki wa Chelsea ????? Unaakili kweliiii ???? ,yaani mimi na akili zangu timamu nishabikie Chelsea ?????,...

Jiaangalie aiseee tutaumizana ,sipendagi ujinga kabisa mimi ,ikiwezekana hata mahakamani tutafika ....yaani mimi ni shabiki wa Chelsea ????????????


Kudadedekii
 
Hiiii, kwani hakuna marudiano huko ETIHAD? Nazungumzia kwamba kama mnajipa hope kuwafunga PSG watakapokuja ETIHAD mtapoteana siku hiyo, amekugonga kwake na atakufuata na geto kwako kukugonga. Nyambaaaf
 
Hiiii, kwani hakuna marudiano huko ETIHAD? Nazungumzia kwamba kama mnajipa hope kuwafunga PSG watakapokuja ETIHAD mtapoteana siku hiyo, amekugonga kwake na atakufuata na geto kwako kukugonga. Nyambaaaf
Kwamba jamaa atandike tu mashuka ya maua maua
 
Origi hakuwahi kuwa Mchezaji tokea siku ya mwanzo kusainiwa, sema tu alibahatika kusajiliwa kipindi ambacho tunasaini wachezaji kwa Mafungu yani Watatu kwa Buku.

Kuhusu Milner kwa sasa hana chochote cha maana anachoweza kutofaa.
Niishie hapo.
Opinion yako tu mkuu
defensively TAA hamfikii Milner kwa umri wa Milner na Taa huyu huyu.

Milner ni kijana mzee hasa akipiga RB.

Game vs Madrid Anfield alipotolewa zizou ndipo akawapumzisha Kroos na Modric.

Kwa ufinyu wa kikosi Milner muhimu sana.
 
Humu patatulia.
Wale wa jiji lile na jiji hili wamefurumushwa.

Kuna wa jije lile walianza mechi ngumu zote tumemaliza.
 
Adjustments.jpg
 
Opinion yako tu mkuu
defensively TAA hamfikii Milner kwa umri wa Milner na Taa huyu huyu.

Milner ni kijana mzee hasa akipiga RB.

Game vs Madrid Anfield alipotolewa zizou ndipo akawapumzisha Kroos na Modric.

Kwa ufinyu wa kikosi Milner muhimu sana.

Simple and Clear! Kwenye Timu za Chelsea, Man City, Liverpool na Man United hakuna Timu hapo inayoweza kumtaka Milner isipokuwa Liverpool.

Nimalizie kusema Milner sio Mchezaji mpera bali ni Veteran! Hana chochote anachoweza kuoffer awapo uwanjani isipokuwa anafaidika na sera za Liverpool kubwa ni Dampo la useless players.
 
Ningefurahi sana iwapo Klopp ataondosha Mrundikano wa useless players next season. Hawa kina:
1) Origi
2) OX
3) Keita
4) Milner
5) Adrian

Watolewe tu wakatafute Changamoto mpya
 
Lile Simtank la Chelsea haimalizi December wataanza kulikataa! Lilianza kwa kubahatisha mechi 2 wakaanza tafrani kila wakati Lukaku kumbe wamepigwa.

Sasa zile Stori za kubeba Makombe yote zimeisha
 
Lile Simtank la Chelsea haimalizi December wataanza kulikataa! Lilianza kwa kubahatisha mechi 2 wakaanza tafrani kila wakati Lukaku kumbe wamepigwa.

Sasa zile Stori za kubeba Makombe yote zimeisha
Bado Chelsea ni timu nzuri. Unless kama unaangalia mpira live score.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom