Kamugy T
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,110
- 1,226
Kwamba chelwowo sio saizi yako hahaha
Lini uliona nashabikia wale wavimba majo wa darajan,nakuheshimu Sana mkuu..
Tengua kauli haraka Sana ,mimi ni shabiki wa Chelsea ????? Unaakili kweliiii ???? ,yaani mimi na akili zangu timamu nishabikie Chelsea ?????,...
Jiaangalie aiseee tutaumizana ,sipendagi ujinga kabisa mimi ,ikiwezekana hata mahakamani tutafika ....yaani mimi ni shabiki wa Chelsea ????????????
Kudadedekii


