Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Uwezo wenu mdogo.
IMG-20210928-WA0041.jpg
 
Hivi wewe upo dunia ipi ,game imeshachezwa sijui unaongelea nin
Hiiii, kwani hakuna marudiano huko ETIHAD? Nazungumzia kwamba kama mnajipa hope kuwafunga PSG watakapokuja ETIHAD mtapoteana siku hiyo, amekugonga kwake na atakufuata na geto kwako kukugonga. Nyambaaaf
 
Hiiii, kwani hakuna marudiano huko ETIHAD? Nazungumzia kwamba kama mnajipa hope kuwafunga PSG watakapokuja ETIHAD mtapoteana siku hiyo, amekugonga kwake na atakufuata na geto kwako kukugonga. Nyambaaaf
Ohooooo Sasa subili utaona Moto utakaowaka ...

Hio psg tumewaachia tu ,ilikuwa aibu ,tungefungiwa na uefa ..


Sheria inasema ",it's not fair to smash one team four times consecutively"

Kwa hiyo tukaamua kishia hapo kushusha kipondo
 
Ohooooo Sasa subili utaona Moto utakaowaka ...

Hio psg tumewaachia tu ,ilikuwa aibu ,tungefungiwa na uefa ..


Sheria inasema ",it's not fair to smash one team four times consecutively"

Kwa hiyo tukaamua kishia hapo kushusha kipondo
Nov. 24 mnaliwa tena.
 
Mkuu usipende kuwa kilaza sio vizuri .....

Tuna hospital moja ya milembe nafasi ni chache sana ,unavozidi kuchanganyikiwa unatuweka katika wakati mgumu ,tunakutegemea kwenye taifa letu ...

Jaribu kamuone doctor akusaidie ...
Messi anakusalimu mkuu
 
Ohooooo Sasa subili utaona Moto utakaowaka ...

Hio psg tumewaachia tu ,ilikuwa aibu ,tungefungiwa na uefa ..


Sheria inasema ",it's not fair to smash one team four times consecutively"

Kwa hiyo tukaamua kishia hapo kushusha kipondo
Makubwa siku hizi unashabikia Man CTY sio Chelsea tena?.umekuwa Malaya wa ushabiki wa mpira-in Nyerere voice!.
 
Nahisi Kloop sub ya jana kakwepa lawama.
Hivi kocha unawaogopaje wachezaji? Mane na Salah wanaoneana wivu akaona isiwetabu kawatupa wote benchi😂
Kuna kinda alichukua nafasi ya Keita kombe la Ligi yupo poa sasa makinda kama hawa inplove vipi kama kocha anagopa wachezaji?😂
 
Makubwa siku hizi unashabikia Man CTY sio Chelsea tena?.umekuwa Malaya wa ushabiki wa mpira-in Nyerere voice!.
Lini uliona nashabikia wale wavimba majo wa darajan,nakuheshimu Sana mkuu..


Tengua kauli haraka Sana ,mimi ni shabiki wa Chelsea ????? Unaakili kweliiii ???? ,yaani mimi na akili zangu timamu nishabikie Chelsea ?????,...

Jiaangalie aiseee tutaumizana ,sipendagi ujinga kabisa mimi ,ikiwezekana hata mahakamani tutafika ....yaani mimi ni shabiki wa Chelsea ????????????


Kudadedekii
 
Milner acha aitwe Milner, umri is nothing kwenye performance. I mean kama performance ipo njema hata akiwa na 50 yrs acheze tu..

mbona Origi kijana ila kiwango chake cha kifaza faza sana.

Origi hakuwahi kuwa Mchezaji tokea siku ya mwanzo kusainiwa, sema tu alibahatika kusajiliwa kipindi ambacho tunasaini wachezaji kwa Mafungu yani Watatu kwa Buku.

Kuhusu Milner kwa sasa hana chochote cha maana anachoweza kutofaa.
Niishie hapo.
 
Lini uliona nashabikia wale wavimba majo wa darajan,nakuheshimu Sana mkuu..


Tengua kauli haraka Sana ,mimi ni shabiki wa Chelsea ????? Unaakili kweliiii ???? ,yaani mimi na akili zangu timamu nishabikie Chelsea ?????,...

Jiaangalie aiseee tutaumizana ,sipendagi ujinga kabisa mimi ,ikiwezekana hata mahakamani tutafika ....yaani mimi ni shabiki wa Chelsea ????????????


Kudadedekii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom