Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sio kwako Tu ndo kapewa player of the match

Kinacho nishangaza Klopp anapenda kumtoa
Na akimtoa tu tunafungwa sijui why hajifunzi

Shida ni kwamba Klopp hapendi kupokea mabadiliko ndiyomana unakuta mpaka leo Mchezaji kama Milner anaongezewa mkataba wakati tuna Vijana wengi tu kina Tsimikas, Nat Phillips na Neco Williams hawa wote wanaweza kucover Beki za pembeni.

Hivyo Jones alikuwa aaminiwe moja kwa moja kwa sasa kwani kipaji anacho na ndiyo kwanza anazidi kujifunza.
 
Adjustments.jpg
 
Shida ni kwamba Klopp hapendi kupokea mabadiliko ndiyomana unakuta mpaka leo Mchezaji kama Milner anaongezewa mkataba wakati tuna Vijana wengi tu kina Tsimikas, Nat Phillips na Neco Williams hawa wote wanaweza kucover Beki za pembeni.

Hivyo Jones alikuwa aaminiwe moja kwa moja kwa sasa kwani kipaji anacho na ndiyo kwanza anazidi kujifunza.
Milner acha aitwe Milner, umri is nothing kwenye performance. I mean kama performance ipo njema hata akiwa na 50 yrs acheze tu..

mbona Origi kijana ila kiwango chake cha kifaza faza sana.
 
Kwanini kila. Tulikutana na Porto Lazim twende fainali??
Mkuu usipende kuwa kilaza sio vizuri .....

Tuna hospital moja ya milembe nafasi ni chache sana ,unavozidi kuchanganyikiwa unatuweka katika wakati mgumu ,tunakutegemea kwenye taifa letu ...

Jaribu kamuone doctor akusaidie ...
 
Mkuu usipende kuwa kilaza sio vizuri .....

Tuna hospital moja ya milembe nafasi ni chache sana ,unavozidi kuchanganyikiwa unatuweka katika wakati mgumu ,tunakutegemea kwenye taifa letu ...

Jaribu kamuone doctor akusaidie ...
Wewe naona PSG bado kakuwekea kipande .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom