Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Na ndiyo hapa wengi wanapochanganyikiwa na matokeo ya jana.

Wanaangalia udhaifu wa Liverpool bila ya kuangalia Ubora wa Brentford.
Tatizo la beki bado sijajua ni la kimfumo ama makosa binafsi, ukiangalia trend ya mechi tatu , vs milan zinaingia goli 2 ndani ya dakika 2, vs Cpalace beki ilikatika mno sema tuu palace hawakua clinical wangepata hata goli 2, mechi ya jana tuu tumeokoa kwenye line mapema kabisa, tukishambuliwa inakua hatari sana, kama sio Allison jana ilikua ni 4-3, kwa staili hiiya uchezaji nina wasiwasi mechi na City
 
Liverpool player ratings vs The Bees
: Alisson (5),
Alexander-Arnold (5),
Matip (6),
Van Dijk (7),
Robertson (6),
Fabinho (7),
Henderson (7),
Jones (7),
Salah (7),
Jota (7),
Mane (6).

Subs: Firmino (5).

YNWA
 
Klopp changed the shape to get Hendo/Fabinho in front of the CB’s to collect those second balls and I was still seeing Henderson bursting past Salah when we already had 4 attackers on the pitch. Such a brainless performance all round.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]league ngumu ,man utd hawajui la kufanya wanatoa macho Kama mjusi alibanwa kwenywe mlango....

Chelsea wamepunguza mdomo ,walifikili watakuwa unbeaten ...
Wewe takataka tulia sisi bado ni bora kuliko nyie ..ndio maana hamuamini ushindi wetu wa kifala ..subiri next round utajua hujui

CFC
 
Ninyi matakataka munashindwa kuifunga timu iliyopanda daraja ..saivi VVD ni uchochoro hamuna beki mule Allison ndo shati kabisa ..sioni Liverpool ikileta ushindani wowote kwenye hii ligi ..sisi bado ni mabingwa tu ..hii Liverpool inafungika kezembe na kirahisi munoo msimu huu mtajitutumua na kuishia top four tu ila makombe sahauni.
CFC
 
Wewe takataka tulia sisi bado ni bora kuliko nyie ..ndio maana hamuamini ushindi wetu wa kifala ..subiri next round utajua hujui

CFC
Mimi level zangu kwa sasa ni buyern Munich tu ...

Sioni team nyingine duniani ya kutusogelea ,...

Kwanza Jana tumekupelekea Moto ,mpaka Kocha wako kapiga magoti mbele ya pep ....

Mashabiki wa Chelsea toka dakika ya 1-90 wameshikilia korodani ,0 shots on target hakuna mlichokuwa mnafanya zaidi ya kupaki bus ...

Jana tumewatesa kenge nyie mmeteseka Sana ,tumewanyanyasa ,tumewadhalilisha ,tumewaonesha mpira wa kwenye kitabu ,high pressing ,mnarukaruka tu uwanjan ,vunja daraja la Stamford bridge ,yaan mlijuta kuingia uwanjan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huyo TT ni morihno aliyechangamka ,subili tutampanua soon ....


Keep watching
 
Klopp changed the shape to get Hendo/Fabinho in front of the CB’s to collect those second balls and I was still seeing Henderson bursting past Salah when we already had 4 attackers on the pitch. Such a brainless performance all round.
😂😂😂😂😂😂Mtoto pendwa wa Klopp yule ana kibali cha kucheza popote mpaka golini...

Japo tupo vizuri lakini tuna udhaifu kwa timu za kucheza direct na hili sio jambo geni aisee ilitukuta 2019 2020 UCL na Epl wengi mnakumbuka vipigo vya Watford na Atletico Madrid , 2020 2021 EPL na sasa inatukuta tena mapema sana kwa kweli tena tukiwa na chaguo la kwanza beki TAA, Matip, VVD na Robertson. Hii ni tatizo na sasa wengine watakopi kuja direct na ku crowd pale nyuma wanavyopiga kaunta...

Klopp need to come up with solutions mostly who knows he can switch to 3 5 2 and block the moves.

YNWA
 
Ninyi matakataka munashindwa kuifunga timu iliyopanda daraja ..saivi VVD ni uchochoro hamuna beki mule Allison ndo shati kabisa ..sioni Liverpool ikileta ushindani wowote kwenye hii ligi ..sisi bado ni mabingwa tu ..hii Liverpool inafungika kezembe na kirahisi munoo msimu huu mtajitutumua na kuishia top four tu ila makombe sahauni.
CFC
Unamjua anayekuongoza kwenye Leage lakini? Mechi 6, mnaishia kusema tu tutapoteana , mnashangaa ndoo ikienda Anfield hivi hivi na pancha zetu.
 
Wewe takataka tulia sisi bado ni bora kuliko nyie ..ndio maana hamuamini ushindi wetu wa kifala ..subiri next round utajua hujui

CFC
Unakikosi gani Bora unacho jivunia ....unapaki bus muda wote mpira hata hauvutiiii.....
Na hilo power trailer lako li Lukaku.,..ambalo skills zake Ni zakizamani mabeki wameligundua....na ndo Hilo mnategemea lifungeee....

Mtaishia kupak bus ivo ivo
 
Naona Rent Boys baada ya kufukuliwa Darajani na Man City sasahivi wanajifariji kwa kusema eti next week Brighton ndiye atakayeongoza Ligi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unakikosi gani Bora unacho jivunia ....unapaki bus muda wote mpira hata hauvutiiii.....
Na hilo power trailer lako li Lukaku.,..ambalo skills zake Ni zakizamani mabeki wameligundua....na ndo Hilo mnategemea lifungeee....

Mtaishia kupak bus ivo ivo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We can't be defending like this.. Soft goals we are conceding...

Upande ule ule wa Trent as usual the weak side to harm us.

Na tukipata nafasi za kufunga hatupo clinical na tatizo sana hili.

YNWA
Haya matatizo ni ya kiufundi wala si kulaumu wachezaji.

Hawa Bldfod ni wachezaji wa bei nafuu lakinu mbinu za kocha kubadili mchezo zinawapa matokeo
 
Unamjua anayekuongoza kwenye Leage lakini? Mechi 6, mnaishia kusema tu tutapoteana , mnashangaa ndoo ikienda Anfield hivi hivi na pancha zetu.
Unamjua anayekuongoza kwenye Leage lakini? Mechi 6, mnaishia kusema tu tutapoteana , mnashangaa ndoo ikienda Anfield hivi hivi na pancha zetu.
Kubeba kombe kutategemeana na uwezo wa kikosi chenu kilivyo. Sisi tunapaki basi tunashinda mechi tano tunafungwa moja. Wewe na timu iliyopanda darajani unaruhusu magoli matatu vyavuni ..una defense mbovu. Kubali, uwezo wa mchezaji mmoja mmoja kama salah unaibeba hii timu.
Kama Jana ulifeli ukashindwa kupata point tatu basi usitarajie ifikapo January uwe na muendelezo mzuri. Saiv timu ziko imara siyo ndogo siyo kubwa. Kwa hii liverkuku inayoruhusu magoli kizembe basi itakuja kuwakosti sana hapo mbeleni. Mpaka sasa back line yenu imeruhusu magoli manne, manure matano, man Shityee moja sisi wababe mawili tu.
Kinachowabeba una watu ambao wanalijua goli ila huko nyuma kwenu Kunaoza na hamuna backup munaunga unga, msimu ujao mutamkataa Klopp.

IN CHELSEA WE TRUST.
CFC
 
Haya matatizo ni ya kiufundi wala si kulaumu wachezaji.

Hawa Bldfod ni wachezaji wa bei nafuu lakinu mbinu za kocha kubadili mchezo zinawapa matokeo
Powaa Mkuu.

Tuna Porto Jumanne hii Champions League ugenini na Ligi Kuu tuna Manchester City Jumapili bila shaka natarajia kuona gemu tofauti na ya jana vs Bees.

Lakini pia Mkuu hili la kutofunga nafasi zile kweli tusiseme ni mchezaji? Tazama nafasi za Jota na Salah au Firmino wamekua wakikosa magoli ya wazi mno na hii tangu msimu uliopita na sasa linaedelea. Tulivyosema anahitajika mfungaji bora namba 9 wa ukweli ni kwa ajili hizi nafasi kama jana gemu ile tungepata kabisa goli 5.

Hata hivyo hii ni EPL kila timu inaingia uwanjani kushinda na Bees jana mbinu zao zilifanya kazi powa sana somebody Mbuemo na Toney walikua moto sana.

Hii timu wana mipango mizuri sana kwa kuuza vipaji baadhi yao na timu walipo huku wakiwa kwenye viwango powa kabisaaa.....
James Tarkowski kwenda Burnley
Ezri Konsa kwenda Aston Villa
Neal Maupay kwenda Brighton
Ollie Watkins kwenda Aston Villa
Benrahma kwenda Westham.

Kwa hizi timu zinaopanda daraja hua pamoja na prestige kucheza EPL ishu nyingine hua ni mpunga ambao ni kama ifuatavyo

If the Bees are relegated after just one season, the team will see about $134 million (95 million pounds) broadcast money next year, according to Deloitte’s numbers, then make another $106 million (75 million pounds) in parachute payments, the disbursement the league gives to recently relegated teams. That $240 million jumps to $400 million (280 million pounds) if the club is able to stay up for a second year, and it obviously grows significantly from there. Deloitte’s numbers assume games next season can be played at pre-pandemic capacities, and that the next cycle of broadcast rights, which starts in 2022-23, deliver at least the same value as the current ones.

IImagine timu hii ilicheza Ligi Kuu England miaka 74 iliyopita sasa wapo Ligi Kuu sitarajii kuona wakicheza tofauti na jana kwao kila mechi ni fainali...

YNWA
 
Kwa sasa kuifunga Chelsea goli zaidi ya moja mujipange sana.

Chelsea ndio timu pekee itakayokuwa na goli chache za kufungwa msimu huu.

Ninyi na defense yenu na lile shati lenu pale golini basi muna hatari sana ya kuwa na magoli mengi ya kufungwa.
 
Kwa sasa kuifunga Chelsea goli zaidi ya moja mujipange sana.

Chelsea ndio timu pekee itakayokuwa na goli chache za kufungwa msimu huu.

Ninyi na defense yenu na lile shati lenu pale golini basi muna hatari sana ya kuwa na magoli mengi ya kufungwa.
Unakikosi gani Bora unacho jivunia ....unapaki bus muda wote mpira hata hauvutiiii.....
Na hilo power trailer lako li Lukaku.,..ambalo skills zake Ni zakizamani mabeki wameligundua....na ndo Hilo mnategemea lifungeee....

Mtaishia kupak bus ivo ivo
Bwana Ilakiza ngoja nikudokeze kidogo ..sisi ni machampion wa Ulaya na dunia kwa ujumla. Hivyo usifananishe kikosi cha kimataifa na ninyi underdog ..huu msimu mabingwa tushajulikana kitambo kabla hara ligi ijaanza. Ninyi ni wa level ya chini sana kikosi chenu hakuna tena ule ubora wa mwanzo. Undeni timu kisha muje mushindane na wababe wa dunia.
 
Liverpool have reportedly reached an 'agreement' to sign Brighton midfielder Yves Bissouma in the January transfer window.
Jurgen Klopp's side were linked with the Malian midfielder during the summer, but a transfer failed to materialise as he remained put at Brighton.
But according to Fichajes, the 25-year-old will cost in the region of £30million if Liverpool successfully complete the deal.

[LIVECHO]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom