Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Game management required.

We need 3 points.

Ollachuga Oc acha kubana bhana kama nakuona haha yaaaaani...

YNWA
 
We can't be defending like this.. Soft goals we are conceding...

Upande ule ule wa Trent as usual the weak side to harm us.

Na tukipata nafasi za kufunga hatupo clinical na tatizo sana hili.

YNWA
 
Mechi imeisha 3-3
Si matokeo mazuri sana lkn hii imeisha tusonge mbele
Next week na City,vijana watakuwa jome na tuwashangilie
 
Kama na nyie mshaanza kubanwa mbavu mapema namna hii hakuna ubishi Guardiola ataendeleza ubabe wake Epl bila shaka.
 
Kuna Watu kwenye mechi za Ufunguzi walijigamba kubeba Makombe yote na kuzifanya Liverpool na Man City Kuwa ni sawa na Everton lakini mwisho wa Msimu wataishia kuziona Liverpool na Man City ndiyo zitakazochuana kwenye Ubingwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom