42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Pigeni tu kelele ila muda ukifika mtaelewa....Kama na nyie mshaanza kubanwa mbavu mapema namna hii hakuna ubishi Guardiola ataendeleza ubabe wake Epl bila shaka.
Pigeni tu kelele ila muda ukifika mtaelewa....Kama na nyie mshaanza kubanwa mbavu mapema namna hii hakuna ubishi Guardiola ataendeleza ubabe wake Epl bila shaka.
Livapuli hiihii?Kuna Watu kwenye mechi za Ufunguzi walijigamba kubeba Makombe yote na kuzifanya Liverpool na Man City Kuwa ni sawa na Everton lakini mwisho wa Msimu wataishia kuziona Liverpool na Man City ndiyo zitakazochuana kwenye Ubingwa.
Kwa hii gemu ya leo ndugu nimeridhika kabisa na pointi moja..Single point inawatosha, Mtuache point 3 ili mgundue nini?
Mkuu nakumbuka vita ilikushinda ukahamia HalisiBardizbah acha ufala ujue hahahahahah![]()

wanasema kama huwez kuwapiga ungana nao.Leo vijana sijui hii gemu waliichukulia powa sana...
Jota hizi kosa kosa zake zinatia hasira. Kwa mechi ya pili anakosa nafasi za wazi kabisa...
Lazima hawa wachezaji wetu waelewe mapema msimu huu ligi ni mchakamchaka....
YNWA
Huyo man city atachoshwa kwanza na PSG.Yaani leo two points dropped kizembe ukicheki next game man city kazi ipo
Nyie Porto atawafanyaje kwaniHuyo man city atachoshwa kwanza na PSG.





Baada ya kuvunja lile daraja uchwara la Stamford bridge ,...
Tunakuja kuchafua atmosphere yote ya anfield
This is our city
Yeah hatukuhitaji haya matokeo kwa kutazama msimamo aisee...Yaani leo two points dropped kizembe ukicheki next game man city kazi ipo
Leeds msimu huu wanahali mbaya sana.Brentford timu nzuri
Kama Leeds ya mwaka jana
Brentford timu nzuri
Kama Leeds ya mwaka jana
Baada ya kuvunja lile daraja uchwara la Stamford bridge ,...
Tunakuja kuchafua atmosphere yote ya anfield
This is our city
Yaani leo two points dropped kizembe ukicheki next game man city kazi ipo
Naona Rent Boys baada ya kufukuliwa Darajani na Man City sasahivi wanajifariji kwa kusema eti next week Brighton ndiye atakayeongoza Ligi![]()


league ngumu ,man utd hawajui la kufanya wanatoa macho Kama mjusi alibanwa kwenywe mlango....