Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

20210919_210833.jpg
 
Wenzetu chelsea wameanza kupunguza mzigo mdogo mdogo sisi tunaenda kukutana na hatari mbele.
Boss Spurs sio mzigo, spurs nakumbuka mechi ya mwisho kutufunga ilikuwa 2017 tena baada ya red card ya Mane.

Spurs mwepesi sana.

Kwahiyo mkuu Crystal , Leeds unawachukuliaje?? Labda kamahuzifuatilii hiz timu vzr.
 
Chaliangu hii ligi ukiishindwa msimu huu ni wewe tu. Mimi nipo very objective, Chelsea ndio team ime balance kuliko zote.

This is your season, bottle it and it's shame on you.
Hahahaha hii ligi imeshakwisha muda mbona. Hapa tunakamilisha ratiba tu chali yangu.. niaje lakini wapi iyoo aisee msela yangu unakula maisha tu areef
 
Boss Spurs sio mzigo, spurs nakumbuka mechi ya mwisho kutufunga ilikuwa 2017 tena baada ya red card ya Mane.

Spurs mwepesi sana.

Kwahiyo mkuu Crystal , Leeds unawachukuliaje?? Labda kamahuzifuatilii hiz timu vzr.
Spurs game ya Jana kacheza vizuri kama alivyocheza dhidi ya man city kama umeangalia mpira ila alizidiwa kwasababu kuu mbili mbinu za Tuchel na ubora wa Chelsea kwahiyo sio wepesi kama ulivyosema.Spurs wanapokutana na team kubwa wanajitoa Sana Chelsea ndio amekutana na vigingi kacheza na Aston villa ya moto, liverpool,Spurs, Arsenal na next match anakutana na Man city baada ya hapo atabakiwa na vibonde wengi na kizuri Chelsea wanatumia nafasi vizuri kuzipiga hizi team kubwa.
 
Spurs game ya Jana kacheza vizuri kama alivyocheza dhidi ya man city kama umeangalia mpira ila alizidiwa kwasababu kuu mbili mbinu za Tuchel na ubora wa Chelsea kwahiyo sio wepesi kama ulivyosema.Spurs wanapokutana na team kubwa wanajitoa Sana Chelsea ndio amekutana na vigingi kacheza na Aston villa ya moto, liverpool,Spurs, Arsenal na next match anakutana na Man city baada ya hapo atabakiwa na vibonde wengi na kizuri Chelsea wanatumia nafasi vizuri kuzipiga hizi team kubwa.
Kwamba Arsenal ya moto?
 
Boss Spurs sio mzigo, spurs nakumbuka mechi ya mwisho kutufunga ilikuwa 2017 tena baada ya red card ya Mane.

Spurs mwepesi sana.

Kwahiyo mkuu Crystal , Leeds unawachukuliaje?? Labda kamahuzifuatilii hiz timu vzr.
Wewe utaweza kumpiga spurs wewe? Yani unampiga Norwich halafu unajiona una timu..
Angalia huyo man Shityee kitu tunaenda mfanya hiyo next week ..ndio utaanza kujua kuwa tunakamilisha ratiba tu ubingwa ushatua London..

ENGLAND IS BLUE, NOT ONLY LONDON.
CFC
 
tche tche tche tusikitike ..hapa nayiona Liverpool ikiteketea.

mfano huyu man city hawezi kukubali kupigwa Mara tatu ni lazima atawakazia ninyi, yani apigwa na spurs, apigwe na Chelsea (next week) halafu na nyie tena?? Hapana, so hapo kwako watford naona mutaambulia draw tu mengine tuyaache kama yalivyo mahesabu tayari hapo.

Rest In Piece Liverkuku.
CFC
 
Wale mamluki wa spurs wapo wapi?tu nahitaji mujitokeze mutoe uchambuzi wa kwa nini mmepigwa kipigo heavy wakati mlitake advantage endapo spurs atashinda muendelee kuwa top of the table na mukasahau spurs anakutana na nani...siku ingine mkiwa mamluki muangalie na timu ya kuimamlukia ..ila timu yeyote inayokutana na Chelsea kwa sasa haina haja ya kuiombea njaa maana utakuja kupata matatizo bure tu.
CFC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom