Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nyie kuku mlishindwa kutufunga tukiwa pungufu unadhani spurs ndio angeweza na tuko kamili?? Muna bahati sana ile game refaree alikuwa upande wenu.
Aya sasa wale mamluki wa spurs jitokezeni muchambue timu yenu.

Hahahaha
 
Nyie kuku mlishindwa kutufunga tukiwa pungufu unadhani spurs ndio angeweza na tuko kamili?? Muna bahati sana ile game refaree alikuwa upande wenu.
Aya sasa wale mamluki wa spurs jitokezeni muchambue timu yenu.

Hahahaha
 
Yaan mashabiki wa chelsea walikuwa wamepotea ndio wamefufuka sijui wameibukia wapi, walikuwa hawaamini kama watashinda
 
Kitu chengine nimependezwa na kuibuka kwa Arsenal.
Arsenal akiwa kwenye Ubora wake huwa nakuwa na Amani sana akikutana na Chelsea manake Chelsea lazima apigwe

Sasa Arseanal kuifunga chelsea ndoto mkuu.🤪🤪🤪🤪🤪
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom