Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

1st goal Salah
1631513616108.gif
 
Leeds United vs Liverpool FC
Liverpool attempt On Goal 30, attempt on target 9, Goals scored 3
Mane peke yake 12 and above, goal scored 1
Hongereni sana
Mnamuhitaji striker kama Lukaku
 
th


Kocha wa liverpool Jurgen Klopp aliyeonekana kukasirika alisema Harvey Elliott wa Liverpool alikuwa na "maumivu makali" baada ya kupata jeraha kubwa la kifundo cha mguu huko Leeds.

Elliott, 18, alibebwa kwa machela na kupelekwa hospitalini baada ya kukabiliwa visivyo na mlinzi wa Leeds Pascal Struijk, ambaye alitolewa nje.
Klopp alisema Elliott alikuwa amevunjika kifundo cha mguu wakati Liverpool ilishinda Leeds 3-0.

"Tutacheza bila yeye, lakini tutamsubiri pia kwa sababu ni mchezaji bora," aliongeza bosi huyo wa Liverpool.
 
th


Kocha wa liverpool Jurgen Klopp aliyeonekana kukasirika alisema Harvey Elliott wa Liverpool alikuwa na "maumivu makali" baada ya kupata jeraha kubwa la kifundo cha mguu huko Leeds.

Elliott, 18, alibebwa kwa machela na kupelekwa hospitalini baada ya kukabiliwa visivyo na mlinzi wa Leeds Pascal Struijk, ambaye alitolewa nje.
Klopp alisema Elliott alikuwa amevunjika kifundo cha mguu wakati Liverpool ilishinda Leeds 3-0.

"Tutacheza bila yeye, lakini tutamsubiri pia kwa sababu ni mchezaji bora," aliongeza bosi huyo wa Liverpool.
 
Lukaku mmepigwa nyie chelwowo Fc
Leeds United vs Liverpool FC
Liverpool attempt On Goal 30, attempt on target 9, Goals scored 3
Mane peke yake 12 and above, goal scored 1
Hongereni sana
Mnamuhitaji striker kama Lukaku
 
Lukaku mmepigwa nyie Ze blauzi FC
Huu msimu tuna ukiachana na makombe basi tuna hakika na golden glove kwa Mendy, golden boot kwa Lukaku the Great na Pleya of the Iya ..sijui ninyi kuku munategemea nini msimu huu ..ninyi ni underdog msimu huu..
 
Nazipenda timu zote ila pengine pote sijawahi kushambuliwa kama kule chelsea. Huwa ninaweka magoli ya timu husika bila kuleta ushabiki. Mfano humu siwezi wawekea magoli waliyofungwa au ya wapinzani wao ambao hawajacheza nao ila wakafungwa na timu nyingine.

Hio siku man u walifungwa na timu moja hivi mfungaji alikua mchezaji wa zamani wa chelsea. Nikakuta mention wakitaka gif nikajibu siwezi leta gif maana sio mechi baina ya chelsea uwiii mvua za kweli zikamiminika,nikawaachia jukwaa lenu.
Dah pole sana mkuu hii chuki siyo nzuri mkuu ..mfano Mimi ni mutu ya utani mwingi sana ..au uyipendi tu Chelsea mkuu??
 
Ule uzi we ze blauzi umejaa watoto wa juzi usijisumbuwe nao
Nazipenda timu zote ila pengine pote sijawahi kushambuliwa kama kule chelsea. Huwa ninaweka magoli ya timu husika bila kuleta ushabiki. Mfano humu siwezi wawekea magoli waliyofungwa au ya wapinzani wao ambao hawajacheza nao ila wakafungwa na timu nyingine.

Hio siku man u walifungwa na timu moja hivi mfungaji alikua mchezaji wa zamani wa chelsea. Nikakuta mention wakitaka gif nikajibu siwezi leta gif maana sio mechi baina ya chelsea uwiii mvua za kweli zikamiminika,nikawaachia jukwaa lenu.
 
Nazipenda timu zote ila pengine pote sijawahi kushambuliwa kama kule chelsea. Huwa ninaweka magoli ya timu husika bila kuleta ushabiki. Mfano humu siwezi wawekea magoli waliyofungwa au ya wapinzani wao ambao hawajacheza nao ila wakafungwa na timu nyingine.

Hio siku man u walifungwa na timu moja hivi mfungaji alikua mchezaji wa zamani wa chelsea. Nikakuta mention wakitaka gif nikajibu siwezi leta gif maana sio mechi baina ya chelsea uwiii mvua za kweli zikamiminika,nikawaachia jukwaa lenu.
Dah pole sana mkuu kwa upande wangu Mimi nazimiss sana zile gif zako kwanza hazikwami kwami. Ila pole sana kwa maswahiba hayo ngoja tule jeuri yetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom