Tukiondoa ile penalty na Reece James kupewa Red ina maana Liverpool wangefungwa goli sio chini ya 3 kwenu na mbele ya mashabiki wenu
Hapa unachoongea ni ushabiki tu lakini sio facts za kimpira.
Labda nikuulize kabla ya ile Red kuna threat yoyote ambayo muliifanya tunayoweza kusema ingeliweza kuzalisha goli?
OK mulikuwa munaongoza lakini, hata hilo goli lenu ni la kawaida la Free head sio kwamba kulikuwa na movement yoyote ya kupika goli.
Na hata possession kabla ya Red Liver ilikuwa juu ingawa munadanganyana Liver kabla ya Red ilikuwa haifiki kwenye FainL third yenu wakati hiyo red ilitokea katika last line yenu na sio Final third. Na asingeushika mpira ulikuwa ni goli tu hata hiyo penalty isingelipigwa.
Huo uwezo munaojisifia hamukuwa nao kwani nilishindwa hata kumiliki mpira.
Na kwaida ya mpira baada ya Red ndiyo mulicheza kwa umakini zaidi wa kujilinda, hivyo pengine musingepata Red ndiyo mungefungwa kutokana na uroho wa kutaka kufunga huku mungekosa umakini wa kujilinda. Yote hayo ni Probability.
Hivyo zungumzeni mambo kimpira na badilikeni sasa achaneni na baadhi ya Washabiki wenu wasioeleweka kufanya akili zao ndiyo munabeba nyinyi munaoeleweka.
Nadhani ungetulia kuiangalia mechi ya Jana licha ya Red Cards basi ungegundua kuwa Team yenu bado ina weakness kubwa sana lakini unabeba akili za kina Ollachuga na Cash money kuanza kutanga Munabeba CL, EPL na makombe yote, nadhani muda ni mwalimu sahihi tupo hapa.