Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool hatuna ball carriers na hili ni pigo kabisa...

How did we fail to extend Chelsea wakiwa pungufu and wait for the perfect opportunity.

Klopp kwa kweli leo ametuangusha hizi sub zake kind of didn't click.

Well ni match ya 3 hivyo kuna muda wa kutosha kuweka mambo sawa.

Over to you Klopp this is Anfield we go for wins not draws...

YNWA
Nyie kwa sasa jengeni timu ..hii EPL hadi sasa ishatua darajani.
CFC
 
Pengo la Coutinho halijawai zibwa ukitathmini haya maelezo
Bwana wee ukiwa nyumbani na mgeni yupo pungufu hii ilitakiwa uvumilivu wachezaji watanue uwanja huku pass ya mwisho ikiwa ya uhakika sio haya ya leo.

Hongera kwa Chelsea kila mchezaji leo baada ya kadi amesimama na kile alichosema mwalimu..

We need dribblers, direct players mchezaji kama Bissouma, Neto, Bowen na accurate shooters kama Pellegrini bila hivyo sioni huu msimu tukiwa salama.

23 shots on goal na 8 on targets do tell the old scary scenario might be coming back.

Elliott is one for the future give him some minutes aafu weka benchi...

Klopp leo sielewi ile kadi ni kama ilmvuruga..

Good stuff ni kwamba VVD na Matip wamerudi being the best combination pale nyuma.

YNWA
 
mane kwakweli amechoka, big up kwa Elliot anazidi kupata uzoefu, klopp yupo rigid sana kufanya sub , imeuma sana kuzikosa point 3
Mpaka karibia na HT ni MAne peke yake aliweza kugusa mpira ndani ya final third ya Chelsea au Opposition Box, wengine wote akili iligota. Baada ya Red card na sisi tukaamua kujilinda zaidi ya kushambulia ndipo mkapata nafasi ya kutusogelea kwetu

Final third ya Chelsea huwa ni eneo takatifu, matakataka hayaruhusiwi kuweka mgu hapo
 
Mpaka karibia na HT ni MAne peke yake aliweza kugusa mpira ndani ya final third ya Chelsea au Opposition Box, wengine wote akili iligota. Baada ya Red card na sisi tukaamua kujilinda zaidi ya kushambulia ndipo mkapata nafasi ya kutusogelea kwetu

Final third ya Chelsea huwa ni eneo takatifu, matakataka hayaruhusiwi kuweka mgu hapo
Shots 23 afu unasema tulikua tunalinda
 
Ukweli usemwe japokuwa unauma, najua hakuna shabiki wa Liverpool atakayeisifia Chelsea ilivyocheza leo ila tumewaonyesha ushindani mkubwa tukiwa pungufu na tumecheza vizuri sana ingekuwa sio ile card bc tungeongea mambo mengine hapa. Pia asanteni kwa kumpa Mendy card
@Captain Marvelous anaweza sifia, the guy huwa ni kops na smtime huwa anaweka ushabiki pemben na kuongea mpira,

Post zake nyingi humu huwa anaweka ushabiki pembeni, na kuongea kuhus mpira
 
Mkuu vip hapo. Kama pamoja na Red card ya dk 45 lakini umeshindwa kuifunga Chelsea unategemea kuifunga lini?
Mbona mnalalamikia sana penalty ambayo ni halali kabisa?! Kwani tulimtuma huyo dogo wenu akadake mpira?!
Kumbuka tu hata nyie hamkutufunga, au hamkuja kucheza.
Na kumbuka pia kona iliyowapa goli haikuwa kona!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom