Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kabisa ndugu we lack that kind of dude klabuni na waliopo wana offer something different.

Klopp sijui hua anaogopa kitu gani. With Chelsea 1 man down ilitakiwa aingie Keita na Chamberlain at least hawa niball carriers at some degree.

Nwa that is past. Tujipange kwa yajayo.

Tupo na Leeds aafu UCL tupo na Milan.

Hopefully wanaokwenda mechi Kimataifa watarejea wakiwa wazima.

YNWA
Mkuu habari rafiki Angu. Jana tumekutana hata hunishtui tuangalie mpira pamoja. But hongera sana kwa kutandaza kambumbu safi kabisa. Sema ulikosa umakini baada ya sisi kuwa mapungufu eti.

Baada ya ile Red nikakumbuka Man City dhidi ya Arsenal kutandikwa magoli 5. Nikakumbuka tena jinsi man city alivyokupelekea moto kipindi kile umepata red card. Nikasema tayari yale ya West Brom yanataka kutokea Anfield. Kumbe Tuchel alishajiandaa kupambana na vijana wake Aidha wabaki hata pungufu lakini yupo tayari kwa mapambano.

All is well tukawadhibiti ipasavyo na kutoa draw ya one one. See u next match.
 
Wakati tunatangaza tutanyanyua uefa msimu ulopita baadhi ya fans wenu kama akina king ngwaba walituchukulia sisi hamnazo ..maana Mimi nilisema kabisa "tukutane fainal na yeyote yule tumle kichwa. Akaja man Shityee tukamla"
Jana ninyi kuku tumewakosa kosa eti munaanza kulinganishia takwimu. Sisi tulicheza mpira wa defense zaid ya ni counter tu. Sasa nyie kuku tunapowaambia kwamba EPL ISHATUWA DARAJANI" basi muwe waelewa maana vipigo tunavyoenda kutowa msimu huu hii ligi itaionekana nyepesi sana.

CFC
 
Mane tujitathimini anahitaji changamoto
Mane Ameshakuwa trash ila ndio wa kwanza kulalamika akiwekwa nje. Ujue sometimes naamin kwel BOBBY alikuwa ana umuhimu mkubwa sana kwa hawa wings wetu wawili, na ndio maana tangu Bobby aflop uwezo wa MANE umekuwa wa utata utata.
 
Hapa unachoongea ni ushabiki tu lakini sio facts za kimpira.

Labda nikuulize kabla ya ile Red kuna threat yoyote ambayo muliifanya tunayoweza kusema ingeliweza kuzalisha goli?
OK mulikuwa munaongoza lakini, hata hilo goli lenu ni la kawaida la Free head sio kwamba kulikuwa na movement yoyote ya kupika goli.
Na hata possession kabla ya Red Liver ilikuwa juu ingawa munadanganyana Liver kabla ya Red ilikuwa haifiki kwenye FainL third yenu wakati hiyo red ilitokea katika last line yenu na sio Final third. Na asingeushika mpira ulikuwa ni goli tu hata hiyo penalty isingelipigwa.

Huo uwezo munaojisifia hamukuwa nao kwani nilishindwa hata kumiliki mpira.

Na kwaida ya mpira baada ya Red ndiyo mulicheza kwa umakini zaidi wa kujilinda, hivyo pengine musingepata Red ndiyo mungefungwa kutokana na uroho wa kutaka kufunga huku mungekosa umakini wa kujilinda. Yote hayo ni Probability.

Hivyo zungumzeni mambo kimpira na badilikeni sasa achaneni na baadhi ya Washabiki wenu wasioeleweka kufanya akili zao ndiyo munabeba nyinyi munaoeleweka.

Nadhani ungetulia kuiangalia mechi ya Jana licha ya Red Cards basi ungegundua kuwa Team yenu bado ina weakness kubwa sana lakini unabeba akili za kina Ollachuga na Cash money kuanza kutanga Munabeba CL, EPL na makombe yote, nadhani muda ni mwalimu sahihi tupo hapa.
Mkuu hapa kuna mahala nakupinga. Kama Chelsea ingekuwa wa kawaida naamini baada ya ile Red kard mngemfunga magoli mengi zaidi hata ya alivyo funga Man city dhidi ya Arsenal. Lakini kwasababu wewe huna plan wala nini ukashindwa kumfunga wakiwa 10 uwanjani.

Ebu niambie kati ya Chelsea na Liverpool nani ni wakawaida impaka hapo?
 
Ivi huyo jamaa Alitaka Chelsea ifunguke baada ya Red card ili wafunge magoli mengi ndiyo ionekane kama Chelsea inajua mpira ama???

Mwambie ivi ukishakuwa pungufu lazima utumie Akili kwenye kudifence athawais utaogea magoli kama Arsenal. Pia mwambie Chelsea ni Bingwa wa ulaya anacheza kibingwa bingwa
Arsenal walicheza open play na Man city baada ya red card na wakabugizwa 5-0
 
Hapa unachoongea ni ushabiki tu lakini sio facts za kimpira.

Labda nikuulize kabla ya ile Red kuna threat yoyote ambayo muliifanya tunayoweza kusema ingeliweza kuzalisha goli?
OK mulikuwa munaongoza lakini, hata hilo goli lenu ni la kawaida la Free head sio kwamba kulikuwa na movement yoyote ya kupika goli.
Na hata possession kabla ya Red Liver ilikuwa juu ingawa munadanganyana Liver kabla ya Red ilikuwa haifiki kwenye FainL third yenu wakati hiyo red ilitokea katika last line yenu na sio Final third. Na asingeushika mpira ulikuwa ni goli tu hata hiyo penalty isingelipigwa.

Huo uwezo munaojisifia hamukuwa nao kwani nilishindwa hata kumiliki mpira.

Na kwaida ya mpira baada ya Red ndiyo mulicheza kwa umakini zaidi wa kujilinda, hivyo pengine musingepata Red ndiyo mungefungwa kutokana na uroho wa kutaka kufunga huku mungekosa umakini wa kujilinda. Yote hayo ni Probability.

Hivyo zungumzeni mambo kimpira na badilikeni sasa achaneni na baadhi ya Washabiki wenu wasioeleweka kufanya akili zao ndiyo munabeba nyinyi munaoeleweka.

Nadhani ungetulia kuiangalia mechi ya Jana licha ya Red Cards basi ungegundua kuwa Team yenu bado ina weakness kubwa sana lakini unabeba akili za kina Ollachuga na Cash money kuanza kutanga Munabeba CL, EPL na makombe yote, nadhani muda ni mwalimu sahihi tupo hapa.
Takwimu bana, Mane tu ndie aliyegusa mpira kwenye final third ya Chelsea kabla ya Red Card,
 
Yaani sub ya Thiago & Keita or Chamberlain ilitakiwa mapema kabisa kipindi cha pili
Kabisa ndugu we lack that kind of dude klabuni na waliopo wana offer something different.

Klopp sijui hua anaogopa kitu gani. With Chelsea 1 man down ilitakiwa aingie Keita na Chamberlain at least hawa niball carriers at some degree.

Nwa that is past. Tujipange kwa yajayo.

Tupo na Leeds aafu UCL tupo na Milan.

Hopefully wanaokwenda mechi Kimataifa watarejea wakiwa wazima.

YNWA
 
Mimi niliangalia mpira na wala sijaenda kucomfirm matokeo niliyobeba Mfukoni that's why nasema tumecheza Vizuri.

Ila tumeshindwa kuibuka na ushindi kwa sababu ndogondogo tu za kiufundi.

- Kwanza: Kuna wachezaji ambao tayari zile skills zao za kimpira zimeshapotea ambao ni Mane na Firmino.
Firmino: Hakupaswa kuanza kwenye game ya jana na ukweli usiofichika tokea last season hakupaswa kuwa Mchezaji wa kikosi cha kwanza kwani hana tena kabisa uwezo, hivyo yeye akiwa kama Striker anakuwa sio tishio tena kwa maadui.
Mane: Pia amepoteza skills za kudribble na kufanya maamuzi, he can't shot, can't score, can't dribble and can't pass. Anaburuta mipira mingi na kuishia kuiwacha miguuni mwa adui, hivyo hakuwa threat kwenye Defence line ya Chelsea.

Pia kuna wachezaji waliocheza chini ya kiwango:

1) Robertson
2) Henderson
Hawa ni wachezaji ambao kwa jana walikuwa hawajui wanafanya nini uwanjani, kwa sasa Tsimikas yupo bora kuliko Robertson na anaweza kuchukua namba ya Robbo.
Henderson hapaswi kuwa Mchezaji wa kikosi cha kwanza kwani ameshapoteza uwezo.
Jana Hendo na Robo hawakupaswa kuanza, Kipindi cha Kwanza kabla ya Firmino niliona Hendo ndio alikuwa ana punguza kasi ya Mashambulizi yetu, Elliot na Fabinho walicheza vizuri sana kukaba na kutoa pasi, ila Hendo nilikuwa naona anajaribu kukaa mbele ya wachezaji na anakuwa kama muoga kuingiza mguu, Kama asingeanza Hendo jana tungeondoka kipindi cha kwanza tunaongoza
 
Since kipindi walichoibuka Gomez na TAA ila kwa bahati mbaya Gomez amepotezwa na injury basi Wachezaji wengine ninaowaona wanaibuka ni Elliot na Jones.

Mimi ningekuwa ndiyo Klopp kila game kwenye Mido ningepanga Senior Midfielders Wawili + Elliot halafu kwenye Sub namtoa Elliot namuongiza Jones.

Hapo ningewapa Gametime Vijana wote wawili bila ya kudumaza uwezo wao.
 
Kuna umuhimu wa kuviangalia Viwango vya Robbo na Hendo.

Ukweli usiofichika kwa sasa Tsimikas ni Bora kuliko Robertson.

VVD na MATIP sitilii shaka uwezo wao kwani wamesimama imara.
 
Hii timu haina meno ya kung'ata kabisa ,watu wameshapewa red card mnashindwa kupata point 3, mnaruka ruka tu uwanjan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom