King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Tujipange tarehe 12 dhidi ya Leeds United
Mkuu habari rafiki Angu. Jana tumekutana hata hunishtui tuangalie mpira pamoja. But hongera sana kwa kutandaza kambumbu safi kabisa. Sema ulikosa umakini baada ya sisi kuwa mapungufu eti.Kabisa ndugu we lack that kind of dude klabuni na waliopo wana offer something different.
Klopp sijui hua anaogopa kitu gani. With Chelsea 1 man down ilitakiwa aingie Keita na Chamberlain at least hawa niball carriers at some degree.
Nwa that is past. Tujipange kwa yajayo.
Tupo na Leeds aafu UCL tupo na Milan.
Hopefully wanaokwenda mechi Kimataifa watarejea wakiwa wazima.
YNWA

. Kumbe Tuchel alishajiandaa kupambana na vijana wake Aidha wabaki hata pungufu lakini yupo tayari kwa mapambano. Sawa tunasubiri mkuu. December is around the corner .Kabla ya Desemba ni utabiri wangu tu kuwa Chelsea watamkataa Lukaku
Mane Ameshakuwa trash ila ndio wa kwanza kulalamika akiwekwa nje. Ujue sometimes naamin kwel BOBBY alikuwa ana umuhimu mkubwa sana kwa hawa wings wetu wawili, na ndio maana tangu Bobby aflop uwezo wa MANE umekuwa wa utata utata.Mane tujitathimini anahitaji changamoto
Mkuu hapa kuna mahala nakupinga. Kama Chelsea ingekuwa wa kawaida naamini baada ya ile Red kard mngemfunga magoli mengi zaidi hata ya alivyo funga Man city dhidi ya Arsenal. Lakini kwasababu wewe huna plan wala nini ukashindwa kumfunga wakiwa 10 uwanjani.Hapa unachoongea ni ushabiki tu lakini sio facts za kimpira.
Labda nikuulize kabla ya ile Red kuna threat yoyote ambayo muliifanya tunayoweza kusema ingeliweza kuzalisha goli?
OK mulikuwa munaongoza lakini, hata hilo goli lenu ni la kawaida la Free head sio kwamba kulikuwa na movement yoyote ya kupika goli.
Na hata possession kabla ya Red Liver ilikuwa juu ingawa munadanganyana Liver kabla ya Red ilikuwa haifiki kwenye FainL third yenu wakati hiyo red ilitokea katika last line yenu na sio Final third. Na asingeushika mpira ulikuwa ni goli tu hata hiyo penalty isingelipigwa.
Huo uwezo munaojisifia hamukuwa nao kwani nilishindwa hata kumiliki mpira.
Na kwaida ya mpira baada ya Red ndiyo mulicheza kwa umakini zaidi wa kujilinda, hivyo pengine musingepata Red ndiyo mungefungwa kutokana na uroho wa kutaka kufunga huku mungekosa umakini wa kujilinda. Yote hayo ni Probability.
Hivyo zungumzeni mambo kimpira na badilikeni sasa achaneni na baadhi ya Washabiki wenu wasioeleweka kufanya akili zao ndiyo munabeba nyinyi munaoeleweka.
Nadhani ungetulia kuiangalia mechi ya Jana licha ya Red Cards basi ungegundua kuwa Team yenu bado ina weakness kubwa sana lakini unabeba akili za kina Ollachuga na Cash money kuanza kutanga Munabeba CL, EPL na makombe yote, nadhani muda ni mwalimu sahihi tupo hapa.
Arsenal walicheza open play na Man city baada ya red card na wakabugizwa 5-0Ivi huyo jamaa Alitaka Chelsea ifunguke baada ya Red card ili wafunge magoli mengi ndiyo ionekane kama Chelsea inajua mpira ama???
Mwambie ivi ukishakuwa pungufu lazima utumie Akili kwenye kudifence athawais utaogea magoli kama Arsenal. Pia mwambie Chelsea ni Bingwa wa ulaya anacheza kibingwa bingwa![]()
Ndio SangomaKabla ya Desemba ni utabiri wangu tu kuwa Chelsea watamkataa Lukaku
Ila kabla ya red card Asenyani walikuwa washapigwa 2,so hata asingetolewa goli zilikuwa palepaleArsenal walicheza open play na Man city baada ya red card na wakabugizwa 5-0
Takwimu bana, Mane tu ndie aliyegusa mpira kwenye final third ya Chelsea kabla ya Red Card,Hapa unachoongea ni ushabiki tu lakini sio facts za kimpira.
Labda nikuulize kabla ya ile Red kuna threat yoyote ambayo muliifanya tunayoweza kusema ingeliweza kuzalisha goli?
OK mulikuwa munaongoza lakini, hata hilo goli lenu ni la kawaida la Free head sio kwamba kulikuwa na movement yoyote ya kupika goli.
Na hata possession kabla ya Red Liver ilikuwa juu ingawa munadanganyana Liver kabla ya Red ilikuwa haifiki kwenye FainL third yenu wakati hiyo red ilitokea katika last line yenu na sio Final third. Na asingeushika mpira ulikuwa ni goli tu hata hiyo penalty isingelipigwa.
Huo uwezo munaojisifia hamukuwa nao kwani nilishindwa hata kumiliki mpira.
Na kwaida ya mpira baada ya Red ndiyo mulicheza kwa umakini zaidi wa kujilinda, hivyo pengine musingepata Red ndiyo mungefungwa kutokana na uroho wa kutaka kufunga huku mungekosa umakini wa kujilinda. Yote hayo ni Probability.
Hivyo zungumzeni mambo kimpira na badilikeni sasa achaneni na baadhi ya Washabiki wenu wasioeleweka kufanya akili zao ndiyo munabeba nyinyi munaoeleweka.
Nadhani ungetulia kuiangalia mechi ya Jana licha ya Red Cards basi ungegundua kuwa Team yenu bado ina weakness kubwa sana lakini unabeba akili za kina Ollachuga na Cash money kuanza kutanga Munabeba CL, EPL na makombe yote, nadhani muda ni mwalimu sahihi tupo hapa.
Wasingecheza open play wangelinda wasifungwe zaidi, 3 goalsIla kabla ya red card Asenyani walikuwa washapigwa 2,so hata asingetolewa goli zilikuwa palepale
Kabisa ndugu we lack that kind of dude klabuni na waliopo wana offer something different.
Klopp sijui hua anaogopa kitu gani. With Chelsea 1 man down ilitakiwa aingie Keita na Chamberlain at least hawa niball carriers at some degree.
Nwa that is past. Tujipange kwa yajayo.
Tupo na Leeds aafu UCL tupo na Milan.
Hopefully wanaokwenda mechi Kimataifa watarejea wakiwa wazima.
YNWA
Hujui soka kabisa...unafaa kuwa mganga wa kienyeji upige ramliTukiondoa ile penalty na Reece James kupewa Red ina maana Liverpool wangefungwa goli sio chini ya 3 kwenu na mbele ya mashabiki wenu
Jana Hendo na Robo hawakupaswa kuanza, Kipindi cha Kwanza kabla ya Firmino niliona Hendo ndio alikuwa ana punguza kasi ya Mashambulizi yetu, Elliot na Fabinho walicheza vizuri sana kukaba na kutoa pasi, ila Hendo nilikuwa naona anajaribu kukaa mbele ya wachezaji na anakuwa kama muoga kuingiza mguu, Kama asingeanza Hendo jana tungeondoka kipindi cha kwanza tunaongozaMimi niliangalia mpira na wala sijaenda kucomfirm matokeo niliyobeba Mfukoni that's why nasema tumecheza Vizuri.
Ila tumeshindwa kuibuka na ushindi kwa sababu ndogondogo tu za kiufundi.
- Kwanza: Kuna wachezaji ambao tayari zile skills zao za kimpira zimeshapotea ambao ni Mane na Firmino.
Firmino: Hakupaswa kuanza kwenye game ya jana na ukweli usiofichika tokea last season hakupaswa kuwa Mchezaji wa kikosi cha kwanza kwani hana tena kabisa uwezo, hivyo yeye akiwa kama Striker anakuwa sio tishio tena kwa maadui.
Mane: Pia amepoteza skills za kudribble na kufanya maamuzi, he can't shot, can't score, can't dribble and can't pass. Anaburuta mipira mingi na kuishia kuiwacha miguuni mwa adui, hivyo hakuwa threat kwenye Defence line ya Chelsea.
Pia kuna wachezaji waliocheza chini ya kiwango:
1) Robertson
2) Henderson
Hawa ni wachezaji ambao kwa jana walikuwa hawajui wanafanya nini uwanjani, kwa sasa Tsimikas yupo bora kuliko Robertson na anaweza kuchukua namba ya Robbo.
Henderson hapaswi kuwa Mchezaji wa kikosi cha kwanza kwani ameshapoteza uwezo.
Yaani sub ya Thiago & Keita or Chamberlain ilitakiwa mapema kabisa kipindi cha pili
Hii timu haina meno ya kung'ata kabisa ,watu wameshapewa red card mnashindwa kupata point 3, mnaruka ruka tu uwanjan