Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Unakuwa kama si mtu wa mpira bhana, timu 85% ya first eleven walikuwa injury beki 5 akawa anacheza Jordan Henderson na Fabihno beki 4 na wenyewe wakaumia ulitarajia nini, au hukuona kuanzia December 17 hadi Mwishoni mwa March 2021 timu ilikuwa imejaa wagonjwa tupu ndo unataka kufananisha na liverpool ya sasa watu wapo wametulia??Mkuu mwaka Jana mlianza kwa nguvu kubwa sana ,mkamshusha spurs kwa goli la firmino dakika za 90+3,na kukaa juu kabisa ...
Mpaka chrismas mlikuwa mnaongoza league ...
Unajua mpaka January mlikuwa wapi ? ,mlichezea kipigo kila game ,tulianza kuwaona nafasi ya 6&7 huko ....
Mnakikos chembamba sana ,EPL ni mlima wa game 38 ,wachezaji ni wale wale ....
Keep watching the miracle ,this is EPL ...
Niambie kabla ya majeruhi tulikuwa na moto gani ??? Kuna wakati ongea vitu kiweledi

