Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,729
- 3,498
Thats trueKwa sasa ukisikiliza story za mashabiki wa Chelsea unaweza kuzani Chelsea ni timu tishio sana duniani![]()
Thats trueKwa sasa ukisikiliza story za mashabiki wa Chelsea unaweza kuzani Chelsea ni timu tishio sana duniani![]()
But man city na chelsea are a little above yuNasema with full of confidence without long term injuries we are "epl tittle' contenders"
YNWA....
Yaani Chelsea tangu wakasajili hako ka Lukaku hatupumui hum, et tayari wanakikosi kipana![]()





Salama kabisa Mkuu.Mkuu salama? Hivi huyu Sarr ni yule wa watford? Kama ndie mnamkuza sana.
Embu tuachane na soko la ndani(pale england) twende tukatafute nje ya uk. France, german kuna wachezaji wenye viwango vya juu na bei ni rafiki kabisa..
German napo sio haba.
Origi wanakomaa wapate ofa ya £15m plus ndio mtihani ulipo hapo kaka.Origi nae wamtafutie team fasta hata £10M
kwani tuna jambo letu kabla ya 31/8/2021
Jürgen Klopp sold 58 players for £448,100,000 hio kuanzia Juni 2016.Hii timu aiwez kufanya biashara mkuu ..ukimuondoa Torres, Coutihno na Suarez labda na sterling kuna mchezaji aliyewahi kuuzwa kwa bei ghali zaidi ya hao tu? jumla ya wachezaji waliyouza hawa kuku msimu huu thamani yao wote ni pound 42M. Wakati hiyo ni thamani ya mauzo ya Tammy tu..kikosi B cha Liverpool hakinunuliki wachezaji wake hawauziki popote pale labda wawatoe Kwa mkopo uko..
Hao wamechukua makombe mengi yapi Mzee? Toka hii milenia mpya ya uwekezaji WA pesa nyingi Chelsea ndo inaongoza kuchukua makombe mengi chiefLicha ya hivyo mbona mmezidiwa makombe na liverpool,maana kama wachezaji wao hawauziki maana yake hawana uwezo,sasa mbona ndio wamechukua makombe mengi vipi wewe mwenye kuuza wachezaji kwa gharama kubwa kwamba wanauwezo vipi umezidiwa makombe na liverpool yenye wachezaji wasionunulika?.
Sisi kupata golden boot ni suala la muda tu mkuu ..sisi kwa sasa tunakusanya makombe tu.Ni miaka kumi sasa hakuna mchezaji wa chelsea ayepata golden boot halafu mtuambie salah ilikuwa failed project, sasa hizo project ambazo hazikufeli mbona hazikuvaa boot?
Hapa tu naangalia biashara nje ya uwanja mkuu ..hii Liverpool Ina wachezaji wa jioni tu bei chee ..hata hiyo first XI yenu kuna wachezaji wananunulika kwa pound mil 10 tuLicha ya hivyo mbona mmezidiwa makombe na liverpool,maana kama wachezaji wao hawauziki maana yake hawana uwezo,sasa mbona ndio wamechukua makombe mengi vipi wewe mwenye kuuza wachezaji kwa gharama kubwa kwamba wanauwezo vipi umezidiwa makombe na liverpool yenye wachezaji wasionunulika?.
Licha ya hivyo mbona mmezidiwa makombe na liverpool,maana kama wachezaji wao hawauziki maana yake hawana uwezo,sasa mbona ndio wamechukua makombe mengi vipi wewe mwenye kuuza wachezaji kwa gharama kubwa kwamba wanauwezo vipi umezidiwa makombe na liverpool yenye wachezaji wasionunulika?.
Hawa kuku wanajitoa ufahamu mkuu. Sisi kila msimu tuna wastani wa kubeba kombe moja hawa takataka wanakaa misimu minne wajenge timu kwanza ndo wake wabebe kombe..Hao wamechukua makombe mengi yapi Mzee? Toka hii milenia mpya ya uwekezaji WA pesa nyingi Chelsea ndo inaongoza kuchukua makombe mengi chief
Sasa mkuu tukikutajia figure hapa si utachanganyikiwa?? Toka 2016 mbona mbali sana msimu wa mwaka Jana na juzi hapo japo tumespend lakini tuliuza balaa..Jürgen Klopp sold 58 players for £448,100,000 hio kuanzia Juni 2016.
Ebu tuletee Chelsea mmeuza bei gani kuanzia 2016 mpaka sasa.
YNWA
Huyu Origi angekuwa Chelsea angeshauzwa siyo chini ya pound Mil 40.Origi wanakomaa wapate ofa ya £15m plus ndio mtihani ulipo hapo kaka.
Ngoja tuone siku zinakwenda mbio sana.
Kama vipi tumpate Bowen wamchukue Origi.
Au tumpate Traore tuwape Origi.
YNWA
Mashabiki wa Chelsea ...mnajitoaga ufaham sanaa...hivi mnajua Kama Liverpool ...ndo Tim epl nzima inatumia gharama kiasi kidg kulinganisha na mafanikio yao...,...wananunua wachezaji world class kwa gharama ndogo....mfano....unaweza mlinganisha jota na Kai...au wener!?Sasa mkuu tukikutajia figure hapa si utachanganyikiwa?? Toka 2016 mbona mbali sana msimu wa mwaka Jana na juzi hapo japo tumespend lakini tuliuza balaa..
Hii Liverpool inabidi ikapate lecture kwa Marina namna ya kubrand wachezaji wenu wanunulike ..
CFC
Kwahiyo zaman watu walikua hawawekezii!?Hao wamechukua makombe mengi yapi Mzee? Toka hii milenia mpya ya uwekezaji WA pesa nyingi Chelsea ndo inaongoza kuchukua makombe mengi chief
Uwekezaji ulikuwepo Sana ....hyo niliyoongelea ni for the record Tu....hawa wachezaji wa sahv ambao hawauziki tutajie Wana makombe yapi mengi kushinda Chelsea?Kwahiyo zaman watu walikua hawawekezii!?
Hahahaha sasa wewe mkuu hivi kweli unamlinganisha huyo takataka Jota na Kai?? Unaona kazi ya Kai ni ya kitoto?? Huyu Jota kama angekuwa Chelsea basi angesugua sana maana hana tofauti na Tammy ambaye tumemuuza. Kai kaleta uefa kachangia tunepata Europa. Huyo jota atasubiri sana sisi tuna spend na tunaleta makombe nyie endeleeni kubana matumizi mjenge timu baada ya misimu minne ndo muje mubebe kombe lolote ..approach ya Chelsea ni ngumu sana hakuna timu yeyote unaeza IGA. Ndio maana kocha akizingua achekewi ..Mashabiki wa Chelsea ...mnajitoaga ufaham sanaa...hivi mnajua Kama Liverpool ...ndo Tim epl nzima inatumia gharama kiasi kidg kulinganisha na mafanikio yao...,...wananunua wachezaji world class kwa gharama ndogo....mfano....unaweza mlinganisha jota na Kai...au wener!?
Angalia uwezo wao....jota kila game ana score
Jota sio takatakaa...matusi sio uungwana...hoja ndo kila kitu...Hahahaha sasa wewe mkuu hivi kweli unamlinganisha huyo takataka Jota na Kai?? Unaona kazi ya Kai ni ya kitoto?? Huyu Jota kama angekuwa Chelsea basi angesugua sana maana hana tofauti na Tammy ambaye tumemuuza. Kai kaleta uefa kachangia tunepata Europa. Huyo jota atasubiri sana sisi tuna spend na tunaleta makombe nyie endeleeni kubana matumizi mjenge timu baada ya misimu minne ndo muje mubebe kombe lolote ..approach ya Chelsea ni ngumu sana hakuna timu yeyote unaeza IGA. Ndio maana kocha akizingua achekewi ..
Mkuu unaleta utani haupo makini ..hii liverpool first XI haieleweki unakuja kufananisha na timu zenye hadhi kama Chelsea??? Je huyiogopi Chelsea??Jota sio takatakaa...matusi sio uungwana...hoja ndo kila kitu...
Huwezi ...mpima Kai kwa goli moja la UEFA...ingekua ivo Basi huyo Kai huwezi mlinganisha na Origi...maana origi alitoa mchango mkubwa kwa Liverpool kupata UEFA....
Hivi kwa lineup ya Chelsea...Ni mchezaji gan ata break na kuingia kwenye first eleven ya Liverpool ukimtoa ngolo!?