Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ishu sio misimu mingapi ishu ni kuwa hakuna mtu aliyeweza isipokuwa yeye tu, pia salah ana golden boot epl zaidi ya moja kwa mechi 150 tu wakati lukaku ana mechi 250 hajaambulia hata sox
Lukaku hakupata game time nzuri kama Salah ila kwa sasa tutatembeza kichapo hadi mshangae kwa sasa tunatangaza Kampeni inayoitwa "KAMPENI YA USHINDI DHIDI YA LIVERPOOL"

Hii ni kampeni mahususi ya kuhakikisha tunapata ushindi mapema kabla hata mechi ijaanza.

Hivyo ninyi livakuku jiandaeni tunaenda kuwala wazima wazima haina haja hata ya kuwachinja ni mwendo wa kutembeza kipigo kisha jikoni tunawala na manyoya hivyo hivyo.

CFC
 
Kwan alichosema NI uongo? Salah si alikuja mwanzo hapo EPL lkn akaonekana kafeli mpk kutolewa mkopo na kuuzwa?
Hawa wanajitoa akili hawajui salaha alikuwa ni failed project hadi alipofufuliwa na Klopp .

Mechi ijayo Lukaku akiwatupia basi watanywea. Sisi kwa sasa ni mwendo wa kuwaziba midomo tu wakistuka may hii Hapa..
 
Wao na wewe nani kifaranga?wao wanaodai watachukua ubingwa kwa mechi hizo mbili na wewe unayesema utachukua ubingwa wa uefa kwa Mara nyingine wakati hata mechi moja hujacheza....HASHISHI SIYO NZURI KWAKO
Mkuu kwenye uefa huko achananapo ..huko tumeshajenga empire yetu ni mwendo wa back to back like Madrid alivyofanya kipindi kile..kwa sasa kwenye uefa sijaona timu ya kupambana na sisi labda baada ya misimu minne au mitano hivi mbele..

Kwa sasa tunajenga kikosi ambacho kitabeba EPL na kwa tishio kwa misimu kadhaa..

CFC
 
Kwa muda mrefu nilikua nje kutokana na matatizo yaliyoanza kwenye simu.

Nilijaribu kulog in kwa cm nyingine ilikataa nikafungua a/c nyingine, ilikubali ila sasa sikuwezeshwa kutoa maoni zaidi nilikua mpenzi msomaji. Leo nimefix everything.
Nimerudi tena happy to have this thread and all member within.

YNWA'
Karibu sana mkuu
 
Kwa muda mrefu nilikua nje kutokana na matatizo yaliyoanza kwenye simu.

Nilijaribu kulog in kwa cm nyingine ilikataa nikafungua a/c nyingine, ilikubali ila sasa sikuwezeshwa kutoa maoni zaidi nilikua mpenzi msomaji. Leo nimefix everything.
Nimerudi tena happy to have this thread and all member within.

YNWA'
Karibu sana ndugu.

YNWA
 
Liverpool have refused to let Salah join the Egyptian squad for the forthcoming games with Angola and Gabon, due to concerns over Covid.
 
Hawa wanajitoa akili hawajui salaha alikuwa ni failed project hadi alipofufuliwa na Klopp .

Mechi ijayo Lukaku akiwatupia basi watanywea. Sisi kwa sasa ni mwendo wa kuwaziba midomo tu wakistuka may hii Hapa..
Ni miaka kumi sasa hakuna mchezaji wa chelsea ayepata golden boot halafu mtuambie salah ilikuwa failed project, sasa hizo project ambazo hazikufeli mbona hazikuvaa boot?
 
Katika timu ambazo siogopi ni hizi kuku ...

Mnakikosi chembemba kama tako la Ruby ,subili uefa ,fa ,carabao + EPL ...yaan game ziwe jtano na weekend muone mnavolainika ...

Salah ,mane wakacheze huko kwenye timu zao ,hahaaa ...

Mbio zenu zinaishiaga Christmas ,baada ya hapo mnatepeta kama mlenda tunawasosomola tu kiulain ....

Liverpool ni nguvu ya soda tu ,...

Subili muda ufike ,muone .....
 
Katika timu ambazo siogopi ni hizi kuku ...

Mnakikosi chembemba kama tako la Ruby ,subili uefa ,fa ,carabao + EPL ...yaan game ziwe jtano na weekend muone mnavolainika ...

Salah ,mane wakacheze huko kwenye timu zao ,hahaaa ...

Mbio zenu zinaishiaga Christmas ,baada ya hapo mnatepeta kama mlenda tunawasosomola tu kiulain ....

Liverpool ni nguvu ya soda tu ,...

Subili muda ufike ,muone .....
Miongoni mwa watu wengine hawajawahi kuwa serious ni huyu bwana mdogo
 
Miongoni mwa watu wengine hawajawahi kuwa serious ni huyu bwana mdogo
Mkuu mwaka Jana mlianza kwa nguvu kubwa sana ,mkamshusha spurs kwa goli la firmino dakika za 90+3,na kukaa juu kabisa ...

Mpaka chrismas mlikuwa mnaongoza league ...

Unajua mpaka January mlikuwa wapi ? ,mlichezea kipigo kila game ,tulianza kuwaona nafasi ya 6&7 huko ....

Mnakikos chembamba sana ,EPL ni mlima wa game 38 ,wachezaji ni wale wale ....


Keep watching the miracle ,this is EPL ...
 
Katika timu ambazo siogopi ni hizi kuku ...

Mnakikosi chembemba kama tako la Ruby ,subili uefa ,fa ,carabao + EPL ...yaan game ziwe jtano na weekend muone mnavolainika ...

Salah ,mane wakacheze huko kwenye timu zao ,hahaaa ...

Mbio zenu zinaishiaga Christmas ,baada ya hapo mnatepeta kama mlenda tunawasosomola tu kiulain ....

Liverpool ni nguvu ya soda tu ,...

Subili muda ufike ,muone .....
Watu wa Chelsea mbna mna mdomo sanaa...subilin jmos.....baada ya mechi Kama tutawaona humuu
 
Katika timu ambazo siogopi ni hizi kuku ...

Mnakikosi chembemba kama tako la Ruby ,subili uefa ,fa ,carabao + EPL ...yaan game ziwe jtano na weekend muone mnavolainika ...

Salah ,mane wakacheze huko kwenye timu zao ,hahaaa ...

Mbio zenu zinaishiaga Christmas ,baada ya hapo mnatepeta kama mlenda tunawasosomola tu kiulain ....

Liverpool ni nguvu ya soda tu ,...

Subili muda ufike ,muone .....
Una kikosi gani kipana kuzid Liverpool au umekalili....hiv unajua mna mchezaj tegemez mmoja tu ngolo kante....wengine wote magalasa .....huna anayeweza kucheza Liverpool ww
 
Una kikosi gani kipana kuzid Liverpool au umekalili....hiv unajua mna mchezaj tegemez mmoja tu ngolo kante....wengine wote magalasa .....huna anayeweza kucheza Liverpool ww
Hujui EPL kijana ,hujui mbinu za kuchukua EPL ..

Timu yenye" consistency " ndio inachukuaga EPL ...


Huujui mwez "February" wewe ,huu mwezi achana nao kabisa ,,...

Huu ndio mwezi unaamuga bingwa EPL ...

Timu zote zinakuwa choka mbaya ,kama huna kikosi cha kufanya rotation na kuleta EPL your out of EPL contenders ,..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom