Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

At least wewe upo tofauti kidog unaonesha wewe ni shabiki mkomavu wa Liverpool ila hawa vifaranga wengine wao wanaina ligi ishaisha kwa mechi mbili tu.
Kama chelsea wanavyoona ligi imeisha kwa kusajili pipa, wanasahau kuwa pipa lilikuwa palepale na halikuwa na maajabu yoyote
 
Kuku mjiandaye kuchinjwa,ukiona mwenzako ananyolewa tia maji nywele zako
Hahahaa! Mnapiga bomu mochwari na kujisifu mmeua, kwa taarifa yenu huyo arsenal anapigwa na hadi waliopanda daraja, aseno msimu huu kauanza vibaya mno
 
Kama chelsea wanavyoona ligi imeisha kwa kusajili pipa, wanasahau kuwa pipa lilikuwa palepale na halikuwa na maajabu yoyote
Unakariri vibaya.

Salah aliflop chelsea na sasa anashine Liverpool.

Liverpool wangekuwa na mawazo kama yako wasingemrudisha England.

Lukaku na yeye aliflop ila sasa karudi akiwa na miaka 28, amepikwa na ameiva kweli kweli.
 
Unakariri vibaya.

Salah aliflop chelsea na sasa anashine Liverpool.

Liverpool wangekuwa na mawazo kama yako wasingemrudisha England.

Lukaku na yeye aliflop ila sasa karudi akiwa na miaka 28, amepikwa na ameiva kweli kweli.
Mfano wako ni butu huwezi kumfananisha Salah na lukaku acha ujinga bwana mdogo
 
Screenshot_20210823_072124_edit_603650856748512.jpg


So we have our own Foden, Mason, Saka, Grealish Hahaha in the making here and boy he is just 18...here comes Elliott the boy...

Kwenye mechi ya Burnley ni mchezaji aliechezewa faulo nyingi zaidi kuliko wengine...

Kwa umri huu wa dogo na kubadilishwa kutoka winga mpaka kua MF inaonyesha kukomaa kwake na imani kubwa Klopp kumwamini huku benchi ikiwa na established players..

Kwenye mechi ya Jumamosi niliona mengi mazuri..
VVD rasmi sasa anaelekea kurudisha makali yake defence na pia ile pasi yake kwenda kwa Eliott na ikazaa goli la pili was fantastic..

Matip huyu mwamba hanaga papara aisee yaani no panic mode. Ishu sasa kukaa fully fit ndio tatizo. Asipoumia kwenye gemu utasikia mazoezini.. May the Angels guard him all the time.

Allison is cool ila yale ma over confidence yake yamerejea upyaaaaaaa yaaani. Klopp itabidi aseme nae jambo.

Front 3 kuna haja ya walimu kuwaambia team win is more sweet kuliko individual accolades.

Tsimikas woow what a foot to cross the ball... Huyu dogo sio Robertson hivyo ana yake mazuri na pia ana mapungufu yupo slow kimtindo na slow decision making lakini ndio gemu ya pili anacheza EPL in starting capacity hivyo sishangai.

Trent maklosi haha yamerejea.. KDB ajitazame huyu dogo msimu huu analitaka taji la most assist kwenye EPL mpaka UCl.

Sasa tukutane Darajani. The ready team will have the last laugh.

YNWA
 
Jana nimewakaribisha mashabiki wawili wa Chelsea kuangalia mpira nyumbani kwangu tambo walizokuwa wanatoa ni shida, yani unamfunga Arsenal unachukua kama reference ya kumfunga na liverpool
Haya tuache hiyo, tuchukue reference nyingine ya kumfunga Man City back to back mechi 3 ikiwemo fainali za UEFA. Hapo vipi?
 
Hawa wasipokua makini yatawakuta ya Barcelona aisee.

Kutoa £30+ kwa Odegaard ni matumizi mambaya ya ma scouts kwa kweli.. Hii department ya usajili inabidi ifumuliwe..

Buendia aliwakataa akatimkia Aston Vilaa sijui aliona nini pale aisee. Arteta anatia huruma maana hawezi sema ela hajapewa.

Namuona Conte akitua Arsenal.

YNWA
Ungejua Conte alikimbia nini Inter usingesema hayo. Conte hawezi fundisha timu inayobana pochi kama Arsenal
 
Unakariri vibaya.

Salah aliflop chelsea na sasa anashine Liverpool.

Liverpool wangekuwa na mawazo kama yako wasingemrudisha England.

Lukaku na yeye aliflop ila sasa karudi akiwa na miaka 28, amepikwa na ameiva kweli kweli.
Sawa
 
Sijui matokeo yatakuwaje lakini ninawakumbusha Rent Boys kuwa Liverpool siyo Arsenal.
Naamini Tuliwampumzisha wazee wa kazi Silva, chilwell, kante, Kwa ajili yenu tutawaona sasa nyie si mnajikuta wazee wa gregen pressin..n hyo siku master TT atakuja n approach tofauti
 
Jana nimewakaribisha mashabiki wawili wa Chelsea kuangalia mpira nyumbani kwangu tambo walizokuwa wanatoa ni shida, yani unamfunga Arsenal unachukua kama reference ya kumfunga na liverpool

Sasa hivi wameanza kuwa na kelele sana na kujisifia kwamba wanatimu.

Liverpool itawafundisha mpira mechi ijayo.
 
Ungejua Conte alikimbia nini Inter usingesema hayo. Conte hawezi fundisha timu inayobana pochi kama Arsenal
Kwa sasa jamaa zetu pale Gunners hawabani pochi mbali ni smart buying inawaangusha...

Conte hana kazi ishu kuu kwake hua anapopewa promise na board lazima kifanyike sio bla bla...

YNWA
 
Kwa muda mrefu nilikua nje kutokana na matatizo yaliyoanza kwenye simu.

Nilijaribu kulog in kwa cm nyingine ilikataa nikafungua a/c nyingine, ilikubali ila sasa sikuwezeshwa kutoa maoni zaidi nilikua mpenzi msomaji. Leo nimefix everything.
Nimerudi tena happy to have this thread and all member within.

YNWA'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom