Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Epl hua haichezwa kwenye mitadao ama keyboard worriers...

Ni ligi ngumu sana ki ufupi mpaka sasa iko open haina mwenyewe.. mambo yataanza kujiseti January 2022....

Kwa sasa tuenjoi burudani jamani..

YNWA

Kabisa mkuu. Na ndiyo maana bakubaliana na mtazamo wako humu huma papara.

Kwenye gemu kila timu inaingia na lengo la kupata ushindi na point 3. Lakini malengo yanaaribika uwanjani baada ya timu pinzani kumzidi nyingine mbinu.

Tuendelee kupata burudani Chelseaa 4 reva
 
BREAKING: Liverpool have agreed a fee of £9.5m with Lyon for Xherdan Shaqiri. (The Times)

Good deal? Initial bid was around £4m
 
Wameshaanza kupiga kelele na kuhisi hakuna Timu ya kuwafunga kwa sababu tu wameshinda mechi 2 za mwanzo.
Walitufunga mechi ya mwisho ambayo beki namba 5 alikuwa anacheza Jordan Henderson na beki 4 Fabihno golini Adrian hivyo wamejaa kiburi ukizingatia eti wamemsajiri lukaku
 
Yeah katupia tho nilitamani afunge hata mbili ivi.🤪🤪🤪. But siyo mbaya. Arsenal ni timu kubwa lakini hawajiewi kwenye usajili. Epl huwezi chezesha watoto then umpe Saka majumu makubwa kubeba timu.

Saka ni mzuri lakini bado anahitaji msaada. Wacha wapambane na hali zao walituzarau sana leo uteja umeisha rasmi
Ki ufupi yule Arteta naona ni tatizo aisee.
Wameshuka mno kiwango japo ligi bado mpyaaa lakini safari hii naona wataishia mbali kuliko last season labda wafanye jambo kwenye usajili dirisha hili.

Na kweli uteja bye-bye maana Emirates palikua wanawapa shinda.

Saka lazima acheze na wakongwe wanaojua ili azidi kuimarika hivi hivi anasafiri ndefu sana.

Mechi inayofuata yupo na Manchester City Jumamosi. Hii ratiba imewakalia sivyo kabisa.

YNWA
 
Kabisa mkuu. Na ndiyo maana bakubaliana na mtazamo wako humu huma papara.

Kwenye gemu kila timu inaingia na lengo la kupata ushindi na point 3. Lakini malengo yanaaribika uwanjani baada ya timu pinzani kumzidi nyingine mbinu.

Tuendelee kupata burudani Chelseaa 4 reva
😂😂😂😂Bwana wee yaaani kila shabiki anavuta ushindi kwake hata Burnley waliamini ndio timu ya kwanza kutufunga Anfield msimu huu akaishia kichapo...

Ndio raha ya mpira aisee yani kuona ushindi kama ushindi.
Na ukipigika sio mwisho wa dunia bado kuna mechi 36 zimebaki kucheza EPL hivyo hata hawa Arsenal wanauwezo wa kuweka mambo sawa na kurudisha makali.

YNWA
 
Sasa wao wanaenda kusajili makapi na watoto wa mtaani huku wanadai wanaunda timu. EPL timu huwa inatengenezwa kwa kuwasajili wachezaji wanaofit in na ambao ni Competitive
Hawa wasipokua makini yatawakuta ya Barcelona aisee.

Kutoa £30+ kwa Odegaard ni matumizi mambaya ya ma scouts kwa kweli.. Hii department ya usajili inabidi ifumuliwe..

Buendia aliwakataa akatimkia Aston Vilaa sijui aliona nini pale aisee. Arteta anatia huruma maana hawezi sema ela hajapewa.

Namuona Conte akitua Arsenal.

YNWA
 
Jana nimewakaribisha mashabiki wawili wa Chelsea kuangalia mpira nyumbani kwangu tambo walizokuwa wanatoa ni shida, yani unamfunga Arsenal unachukua kama reference ya kumfunga na liverpool
Sasa ndo ututangaze siku nyingine ukitukaribisha kwako hatuji unadharau sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom