Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kasi tuliyomalizia Msimu mechi 5 za mwisho iwapo tutaianza nayo kwa msimu ujao basi tutamaliza Msimu kwa furaha.
 
Baada ya kula Ban nadhani akili imekukaa sawa
Wewe ndo mpiga ban wa jf siku hizi?
Nyie ndo mlioubeza usajili wa Chelsea under Lampard na kuona tumepuyanga sasa mmeangukia pua munaanza kujilaumu na kuilaumu bodi yenu wakati ndo ilimtuma Klopp kwenda kwenye media kuiponda Chelsea wakati wa usajili.
Lampard alipatia kwenye usajili ila aliboronga kwenye formation. Mimi naamini Liverpool Ina wachezaji wa kawaida tu ila klopp kajua jinsi ya kuwatumia ndani hii misimu minne. Sasa Tuchel atafanya Mara kumi zaid ya Klopp.

Acha ushamba ..maana msimu ujao ni mwendo wa kuwapelekea moto tu.
#kukuKAMAkuku.
#aminiKwamba.
#CFC
 
🎙️| Carlo Ancelotti:

"Every club has different goals. Real Madrid's goal is to win the #UCL and La Liga. Everton's goal is to win a Merseyside Derby, so I had to leave. "Richarlison was celebrating naked in the changing rooms when we won at Anfield, you would think they won a trophy or something. It was unbelievable!”

™️

#rmalive
 
Hahaha mzee kasema ukweli mchungu
[emoji2424]| Carlo Ancelotti:

"Every club has different goals. Real Madrid's goal is to win the #UCL and La Liga. Everton's goal is to win a Merseyside Derby, so I had to leave. "Richarlison was celebrating naked in the changing rooms when we won at Anfield, you would think they won a trophy or something. It was unbelievable!”

[emoji3481]

#rmalive
 
🎙️| Carlo Ancelotti:

"Every club has different goals. Real Madrid's goal is to win the #UCL and La Liga. Everton's goal is to win a Merseyside Derby, so I had to leave. "Richarlison was celebrating naked in the changing rooms when we won at Anfield, you would think they won a trophy or something. It was unbelievable!”

™️

#rmalive
 
Msimu umekua mbaya Sana Kwa Liverpool

Yet we finished third

Time to shake up the squad

Get rid of shaqiri, ox, milner, origi, woodburd, Wilson, grujic, sadio/firmino, tsimikas, taki, neco,

Gomez return to fullback,

Introduce 352 systems when playing compact teams to manage the middle and damage their counters

Get some height up front , get one tough tackler in the middle and a versatile.middle plus versatile full.back

World class finisher is a must - we create millions and score 3
 
HBD chama langu.

"The most successful club in England"..... that's not me saying that, it's Goal saying it!

1622726075393.png
 
🎙️| Carlo Ancelotti:

"Every club has different goals. Real Madrid's goal is to win the #UCL and La Liga. Everton's goal is to win a Merseyside Derby, so I had to leave. "Richarlison was celebrating naked in the changing rooms when we won at Anfield, you would think they won a trophy or something. It was unbelievable!”

™️

#rmalive
Huyu mzee kaanza Umorinho sasa.
 
Luis Alberto....... brenda alimwondoa huyu pamoja na Suso!


ila benitez alitengeneza timu nzuri sana ya vijana pale klabuni, sema tu roy, king na brenda wakaja kuleta uingereza wao mambo yakaharibika!
Suso ishu kuu kwake ni defense duties anazidiwa sana ndio hata Ac Milan waliona asepe.

Sina hakika kama Liverpool kwa waliweka buy back clauses kwa Alberto na Suso incase Klopp akiona wanacha ku offer.

Muda utasema.

Shinda bhana timu za UK hua ziki point mchezaji transfer target bei inachangamka ghafla tofauti na timu za nchi nyingine.

YNWA
 
Msimu umekua mbaya Sana Kwa Liverpool

Yet we finished third

Time to shake up the squad

Get rid of shaqiri, ox, milner, origi, woodburd, Wilson, grujic, sadio/firmino, tsimikas, taki, neco,

Gomez return to fullback,

Introduce 352 systems when playing compact teams to manage the middle and damage their counters

Get some height up front , get one tough tackler in the middle and a versatile.middle plus versatile full.back

World class finisher is a must - we create millions and score 3
Mkuu mkongwe Timig hili la Tsimikas tusiwe wepesi kumtoa kwa sasa kwani kwa huu msimu uliomalizika dogo amekua na maumivu ya mara kwa mara.

Kingine hata alipokua mzima Klopp alikomaa na Robbo na napo ubora wake ukiwa sio ule wa 2019 2020.

Taki Southampton wameonyesha nia kama yupo sokoni wajurishwe watoe ela.

Wengine naona safari ya kusepa kwingine imefika aisee. Tunahitaji kikosi kipana hatutaki kunahatisha tena na hawa akina Rhys na Billy Koumetio.

Strika naona Patson Daka wanamfuatilia asaidiane na Bobby.

Pale kati target ni wengi sana wanaotajwa De Paul, Houssem nk

YNWA
 
Asee hujaona moto tumeuwasha ..msimu ujao tukutane kwenye hatua yeyote ya uefa tena tuwakamue ..maana usajili tunaofanya msimu ujao mtajuta

Liverpool hatutishwi na usajiri.
Msimu uliopita kabla ya huu kuisha tumechukua kombe kwa kumsajiri adriani peke yake.na ubingwa tumechukua

Sisi tunaamini kwenye ubora wa wachezaji sio kusajiri tu,wewe unaamini ukisajiri lazima uchukue ubingwa?
 
Manchester United wenyewe wapo mazima kwa Hakan Calhanoglu maana ni busu la malaika dogo anapatikana bure kabisa.

Binafsi naona C10 kama majeruhi yamemkwamisha ubora wake na ukumbuke pale MFs tuna pancha Thiago, Henderson, Chamberlain, Keita hivyo tunahitaji kupata like for like replacement ya Gini in terms of fitness na i guess Hakan, Pellegrini, Nicole hits all the boxes.

YNWA
Nafikiri Barca wanapaswa kukubaliana haeatampata Iniesta Xavi na ile tik tak soccer kwa wachezaji wake wa miaka hii ya karibuni.

Coutinho amesuffer kwa ajili ya kitu kama hiki hajafail kwa kiwango ambacho wengi tunaamini.

Mimi naamini atakayependekezwa na JK ujue ni mzuri labda injuries tu ziharibu. Najiuliza kama keita ni umri , mbona bundesliga alikiwasha bila injuries za muda mrefu?

Mimi yeyote aje ambaye bei itaanzia £35 Million naamini atakua mzuri under JK selection.

Tuamini hivi, Jk na Liverpool hatuna desturi ya kuwasajili mastaa wanaowasha moto kwenye ligi tano bora ulaya, hivyo kwenda kwenye big names ni uwongo tutasajili around £25 -£35 kwa mf ili mshahara uwe £150-£200.
Wish us all the best.
 
Ila duh Mbappe angetua Klopp naona angekua moto balaa yaaani...

Kwanza dirisha lenyewe halijafunguliwa mpaka sasa hivyo kwa maelezo ya Fabrizio ni kwamba Liverpool watanunua wachezaji kadhaa hili dirisha na pia kutakua na departures.

Tuwe na subira.

Traore haha amekua na msimu mbaya sana dogo naamini na bei yake itashuka huyu.

YNWA
Mbappe mmoja hutaamin
Mid ya hendo faby thiago dunia itasimama. Salah mbappe mane
Jota bobby... hot
 
Mkuu mkongwe Timig hili la Tsimikas tusiwe wepesi kumtoa kwa sasa kwani kwa huu msimu uliomalizika dogo amekua na maumivu ya mara kwa mara.

Kingine hata alipokua mzima Klopp alikomaa na Robbo na napo ubora wake ukiwa sio ule wa 2019 2020.

Taki Southampton wameonyesha nia kama yupo sokoni wajurishwe watoe ela.

Wengine naona safari ya kusepa kwingine imefika aisee. Tunahitaji kikosi kipana hatutaki kunahatisha tena na hawa akina Rhys na Billy Koumetio.

Strika naona Patson Daka wanamfuatilia asaidiane na Bobby.

Pale kati target ni wengi sana wanaotajwa De Paul, Houssem nk

YNWA
Huyu Tsimikas akipewa game time mtaanza kuona new Robbo. Jamaa ni mzuri he is a good crosser.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom