The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
Hata Origi haumii umii pia
baada ya kukutana na hii post kule reddit nimeamua rasmi kuunga mkono hoja yako.Naona Washabiki wa Liverpool kwenye Mitandao ya Kijamii wanazidi kujitafutia Visingizio ili kuhalalisha kinachoendelea.
Ivi ni kweli kumfunga Westbromwich, Burnley na Southampton ndani ya Anfield tunahitaji VVD na GOMEZ?
Si tumepigwa 7 tukiwa na Wachezaji hao? Tuache Visingizio ndugu tukubali kuwa Timu yetu ni mbovu kwasasa tumekosa mbinu ya ushindi.
Tusione haya kuhoji mbinu na ufundishaji wa Klopp bila ya kujali kwamba kuna Watu watakuattack, Najua ameshatufanyia Makubwa lakini Je, tujiulize ukocha ni Legacy ya pasta au ni mafanikio ya wakati uliopo?
Hivyo mimi sitaishi kwa kukariri Historia kwamba Klopp alitupa UCL, USC, CWC na EPL, hayo yote sitojali bali ninachoangalia ni kuwa sasahivi 2021 Klopp anafanya nini? Hivyo lazima Kocha abadilishe mbinu za ufundishaji ili tuone mabadiliko ya kumalizia huu msimu kabla ya usajili wa next season.
Yani sikuhizi tumekuwa tunatia aibu kwa Visingizio,baada ya kukutana na hii post kule reddit nimeamua rasmi kuunga mkono hoja yako.
mbona leicester city wanafanya vizuri haliyakuwa kikosi chao kimejaza wagonjwa kwa nyakati tofauti.
View attachment 1708956
Tukikubali weakness zetu, titaweza kufanya Maamuzi na kufanya marekebisho ya kikosi chetu.
But iwapo tutaendelea Mentality za kuwa Salah is irreplaceable, No one like Origi, Milner is a Monster, Bobby is best no 10 in the world football, Timo Werner is not Klopp's type of player, Hakuna mchezaji wa kuweza kupata namba kwenye kikosi cha Liverpool kilichopo, Tupandishe U23 wachukue nafasi!!!! Tujiandae kutafuta visingizio next season.
Kusema ukweli tumekuwa na wakati mgumu sana kwa sasa yani vipigo ni mfululizo tu

Mourinho ni taasisi ya ukocha.
Nilichogundua ni kwamba wapenzi wengi wa traditional top six za epl ukiacha City wanapenda timu zao zisajili average players ili wachezaji wao vipenzi waendelee kupata uhakika wa namba. Hapo hapo utakuta wanataka kushindana na City ambao hata team B inaweza kushindania ubingwa na ikatwaa.Kilichotuponza ni hichi hapa kwenye Screenshotswakati huo tinalilia usajili.
View attachment 1709258View attachment 1709261View attachment 1709262View attachment 1709263View attachment 1709266View attachment 1709267View attachment 1709268View attachment 1709270View attachment 1709271View attachment 1709272