Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nilichogundua ni kwamba wapenzi wengi wa traditional top six za epl ukiacha City wanapenda timu zao zisajili average players ili wachezaji wao vipenzi waendelee kupata uhakika wa namba. Hapo hapo utakuta wanataka kushindana na City ambao hata team B inaweza kushindania ubingwa na ikatwaa.

Visingizio kikubwa ni kwamba eti top players hawawezi kukubali kuja kusugua benchi na kwamba eti hawawezi kubali kulipwa mishahara midogo! Maajabu haya!

Ukiangalia namna mastaa wa City wanavyosugulishwaga benchi na namna wanavyolipwa mishahara midogo kuliko hata amateurs wanaosugua benchi kwenye big teams zingine unabaki kushangaa.

Nadhani pia wamiliki wa hizi timu wanajua fika mitazamo hii ya mashabiki wao hivyo huchukulia hiyo kama fursa ya kusajili wachezaji wa viwango vya kawaida. Acha City waendelee kutawala ligi.

Hii huwa ni Mitazamo ya Top Members wa hizi timu kutaka Wazalendo/Wazawa wapate nafasi za uhakika kwenye Timu hivyo wana wabrainwash washabiki waliopo Nje ya Majiji yao kuamini ujinga wanaosema wao.

Mfano:-
Man Chester United:
Lukaku hakuwahi kupewa heshima Ndani ya United mpaka akaondoshwa na kutoa Nafasi kwa Rashford mpendwa wao, Sasa mtazame Rashford anapewa sifa na usishangae akawa knighted na kuitwa Sir Marcus Rashford.

Liverpool:-
Hapa kuna washàbiki walikuwa blindly fooled kwa kuaminishwa eti Hakuna Mchezaji Mkubwa yoyote atakarkubali kusajiliwa Liverpool mpaka Wastaafu hawa waliopo! Ujinga huu uliaminiwa na Wengi.
Pia wakazusha Propaganda nyengine kuwa Don't disturb front 3 ndiyo waliotupa makombe, Don't disturb our Midfielders ndiyo waliotupa makombe.
Hatimae tukaanza kuletewa kina Adrian, Ki-Jana, Tsimikas, Minamino , Dvies na takataka nyingi tu! Wako wapi leo? Wametusaidia nini?

City anaumia KDB na Laporte lakini moto wanaouwasha utadhani hakuna kilichotokea! Unadhani kwanini? Hawakuamini kama ukimleta Mahrez, Rodri, Diaz utadisturb kina Sterling, Bernardo na Stones.

Sisi kwetu daima tununue Beki mwenye kiwango Kidogo kuliko Gomez kama vile Kabak na Devies ili Gomez akipona asiwe disturbed, tungemnunua Upamecao angedisturd nafasi ya Gomez.

Kwa kweli Watu wana Mindsets za ajabu sana.
 
Adjustments.jpg
 
Ubaya wa ukocha hautakiwi kuwa na mahaba na mchezaji bali inatakiwa uwe na mahaba na viwango
Great Shankly failed kwa kua na mahaba na wachezaji waliokua finished articles.

Klopp asipokua makini atapita humo humo.

Timu ikifanya vyema wanaopota shangwe ni wachezaji kutoka kwa mashabiki mpaka ma pundits lakini timu ikipata matokeo mambaya Kocha ndio anapata lawama na pengine kufukuzwa kazi kabisa.

YNWA
 
Great Shankly failed kwa kua na mahaba na wachezaji waliokua finished articles.

Klopp asipokua makini atapita humo humo.

Timu ikifanya vyema wanaopota shangwe ni wachezaji kutoka kwa mashabiki mpaka ma pundits lakini timu ikipata matokeo mambaya Kocha ndio anapata lawama na pengine kufukuzwa kazi kabisa.

YNWA

He might be truly heading that very same path just let us wait and see

His love for Gini,Hendo,Milner,Firmino mmmmh
 
He might be truly heading that very same path just let us wait and see

His love for Gini,Hendo,Milner,Firmino mmmmh
There are so many myths being said left and right. Either iwe ni kweli ama la inakula kwa Klopp. Kwamba Klopp anapenda kufanya kazi na kikosi cha wachezaji wachache sio muumini wa kikosi kipana. Kama kweli basi hii hali imeitaka mwenyewe kwa kua yeye hakuwai ona umuhimu wa kua na benchi lilosheheni ubora na sio hili la sasa wachezaji wa wakaifunga Barcelona na Everton wanapewa mkataba mpya case study Origi.

Kama sio kweli hili la Klopp kufanya kazi na kikosi kindogo basi ukweli ni kwamba Liverpool imewazidi uwezo FSG in fact wasipobadilika na kukumbali kusonga mbele kwa kuongeza upana wa kikosi basi hawa mapema wauze klabu tu maana nao watakua wamefika mwisho.

Tunateseka kwa kukosa wachezaji wa kuwaweka benchi Gini, Salah, Bobby, Mane, TAA, Robbo nk maana kocha akitazama benchi lake anatingisha kichwa tu kushindwa niaje... Hata Origi,Shaqir kucheza mara kwa mara hii ni PR kutengeneza soko lao June 2021.

From Liverpool monsters mpaka kua Liverpool cry babies duuh tumechoka haswaaaa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom