King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Haya yanayotokea ni majibu ya posts zetu za misimu miwili iliyopita.
Wakati tunapiga kelele kuwa Hawa Wachezaji waliopo ni binadamu watachoka tu na kupoteza uwezo hivyo Timu lazima iwe inasajili mbadala wa hawa wachezaji kidogo kidogo.
Majibu tuliyokuwa tunapewa ni ya kukatisha tamaa kabisa kama vile:-
Hatimae kilichotokea:-
Sasahivi tunavuna tulichokipanda.
Mimi sikubaliani na kisingizio chochote zaidi ya kusema hii Timu ni Mbovu.
Wakati tunapiga kelele kuwa Hawa Wachezaji waliopo ni binadamu watachoka tu na kupoteza uwezo hivyo Timu lazima iwe inasajili mbadala wa hawa wachezaji kidogo kidogo.
Majibu tuliyokuwa tunapewa ni ya kukatisha tamaa kabisa kama vile:-
- Don't disturb our front three ndiyo waliotupa makombe
- Don't disturb our Midfielders ndiyo waliotupa makombe
- Hakuna mchezaji anayeweza kupata namba mbele ya Front 3 wetu hivyo tusisajili.
Hatimae kilichotokea:-
- Tuliletewa Vitoto kina Ki-Jana, Van Dem Berge, Kuna kamoja kutoka South America huko, Elliot, na takataka nyenhine eti ni Future Plan wakati uhalisia hawana Future ndani ya Liverpool.
- Timu ikaokota wachezaji wasio na Timu kama vile Adrian na golikipa mwenzake sijawahi kumuona uwanjani.
- Timu ikaendelea kuvizia na kunyakua wachezaji wasio na soko na bei ya kuokoteza kama vile Minamino, Tsimikas, Kabak, Devies ambao kiuhalisia hawa ni wa Midtable Teams na wala hawana future yoyote ndani ya Liverpool.
Sasahivi tunavuna tulichokipanda.
Mimi sikubaliani na kisingizio chochote zaidi ya kusema hii Timu ni Mbovu.

