Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp on sky sports:

'Ni kweli tumebanduliwa bila huruma, na nilimuona Kocha wa Leipzig akipewa condom moja iliyobaki baada ya zile mbili kutumika.'
 
Baada ya tote everton na aston villa kushinda viporo vyao rasimi mtukuwa mtaa wa tisa mtaa wenye kunguni atari.
Screenshot_20210221-015418.jpg


Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Obviously Klopp hana resources tena za kuendelea kutumia 4-3-3.

Sasa hivi turudi tu kutumia the orthodox 4-4-2 ya kina Sean Dyche, Sam Allardyce, Mourinho, etc hadi hali itakaporuhusu tena,
Ipo hivi tangu muda Sana.Kwamba bila 433 Klopp haingizi timu uwanjani...Bila kujali wapinzani washaisoma inavyofanya kazi..Ni bonge la conservative huyo Klopp.Halafu asibadili tena mfumo ye aendelee hivyohivyo kucheza na huo mfumo mmoja,too late to change...Kwa kuzingatia majeruhi tangu mwaka jana huyu Klopp alitakiwa kubadilisha shape ya timu..Lakini anakomaa na hiyo 433 utafikiri kwenye ukocha wake kasoma hiyo tu...Mpaka baadhi ya wachezaji wanaonekana ni flop kumbe kocha hana mifumo mbadala ya kuwa accommodate..Ngoja aendelee kuvunja rekodi za tangu 1920 huko..
 
Injiniyaaaa soma iyooooo..

7 Vs AstonVilla
4 Vs Man City
3 Vs Leicester
1 Vs Briton
3 Vs Man u
1 Vs Burnley
1 Vs Soton
2 Vs Atalanta
2 Vs Everton

?? Vs Shelfeld United
?? Vs Chelsea
?? Vs Fulham
?? Vs Leipzig

You will Never Walk Alone.
#YNWA

Klopp Mi5 tena.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mkuu Ollachuga Oc wakati msimu unaanza ulikua hakauki humu na sifa wewe ndio bingwa mtarajiwa 2020-2021 lakini baadae hayo maneno ukanywea wala hukusema tena... Hayo ndio maisha ya soka unakua na wakati mwema kipindi fulani na wakati mbaya nyakati zingine. Tupo vimbaya kwa sasa wala hatuna cha kusingizia.. Pamoja na yote wote ni BIg 4 contenders hivyo tuchekani sasa ila mpaka mwisho wa msimu tutaona nani atacheka mwisho.

He who laughs last is the winner.

Surez ana jambo na Les Blue na kwa vile ana historia na nyinyi itakua powa sana awazime.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom