Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Mkuu Klopp au wachezaji wake pale mbele na klosi za TAA na Robbo zimekua sio quality...Ni kama Klopp ameshaishiwa ideal sasa.
Aidha hua nasema huko mazoezini pengine akijaribu mifumo tofauti anakosa wachezaji sahihi wa utelekezaji kwenye mechi maana tunajikuta tupo ma matatizo identical yaani TAA na Robo wameshajuliwa namna ya kuwa bana....... maana Everton kaja na watano kati sasa kwa hii MF yetu unadhani wangetoboa... To be frank goli 2 ni fair sana...
Klopp atupe majibu ana hati miliki na 4 3 3 ama niaje maana wakuu tumeshajuliwa yaaani Anfield sio tena fortress kama enzi yaani sasa Kocha timu pinzani wanajua wa pin TAA na Robbo na Liverpool wanakua butu sielewi kama ni sisi mashabiki tu tunaona na Klopp halioni ama niaje...
Tumefungwo roho safi Klopp asije tuambia wamepewa penati au upepo yaani tukumbali we are poor in front of goolie...
Haha na leo tena Thiago goli la kwanza katoa assist kimtindo...
YNWA



