Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Mimi nawakumbusha tu Lampard hana kazi kwa sasa
Circle ya Klop katika Coaching Carrier yake (NARUDIA)

Anaikuta timu mbovu

Anaifanya kuwa mbovu kwa msimu/nusu msimu

Anaifanya kuwa stable

Anaifanya kuwa bora

Anaifanya kuwa mbovu pengine hata kukaribia kuishusha daraja

Anafukuzwa/Anaondoka

Reference Mainz & BVB
 
Basi utasikia tumefungwa hayupo Virgil. Au kipa kachoma. Beki ikiwa mbovu inatakiwa mshinde ila inakua ngumu kupata clean sheet kama Leeds. Ila ukiona unafungwa na hata kupata goli huwezi hiyo inamaanisha huna forward.
 
Obviously Klopp hana resources tena za kuendelea kutumia 4-3-3.

Sasa hivi turudi tu kutumia the orthodox 4-4-2 ya kina Sean Dyche, Sam Allardyce, Mourinho, etc hadi hali itakaporuhusu tena,
 
Hivi mna uhakika hii ni timu ya mpira?! Au Kakikundi ka Panya road huko Kinguge
 
Anceloti huwa tunapata shida nae sana
Hata alipokuwa Italy ..tukikutana champions league ..Kwa shida sana

Leo Leo katuweza

Kwa ujumla tume improve kitu ingawa sio rahisi mtu kuona..

Defense tumeanza kuwa stable..

Shida sasa imehamia midfield..na mbele..

Firmino na Origi hawataweza kutupeleka top 4
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom