Liverpool ikichukua uefa mnafuzu mkuu....!Sidhan Kama hata UEFA tutafuzu mwakani
Taikumi awa mchezaji wa kwanza kuwafunga Chelsea chini ya kocha mpya Tomas..
Goli moja matata sana.
Go Taki Go Taki.
YNWA
Clinical finish
Kumbe na huku huwa mnapata shida hizoNampenda Thiago Aĺcantara lakini mpaka sasa sijaona kitu chochote cha maana alichotu offer kwenye timu hana tofauti na Wijnaldum.
Kumbukeni pakti ina condom tatu.