Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Salah Salah Salah nina imani atafunga 35+ goals kwa msimu huu.

Then utasikia auzweeeee
Aekwe benchiiiiiiiiiiii
Atolewe bureeeeeeee

Ukiangalia aekwe Benchi achezeshwe nani? Basi utakuta kumbe atakayecheza ni Origi!!
Origi huyu ambaye toka asajiliwe Liverpool magoli yake yote hajayafikia ya Msimu mmoja tu wa Salah.

 
Oooh!!!
Lakini hiyo ni kinyume na mazoea/tabia yenu. Kops ni watu ambao wako "proud" na "roud" sana, hata wakiwa nje ya uwanja bado watataka timu pinzani itambue uwepo wao (refer game iliyopita dhidi ya Man City).

Nyinyi kuwepo hapa ni taarifa tosha kwamba mnatutambua. Siku haziwezi kuwa sawa.

Kipindi tuko kwenye neema hatukuwaona, sasa hivi tunavyowaona tunajua mmekuja kutupa pole.

Tunaheshimu uwepo wenu.
 
Adjustments.jpg
 

premier league
  1. 2013/2014 = mechi 3, goli 0 ndani ya chelsea. Akiwa na miaka 21
  2. 2014/2015 = mechi 16 magoli 6 akiwa fiorentina.
  3. 2015/2016 = mechi 34, magoli 14 akiwa AS roma
  4. 2016/2017 = mechi 31, magoli 15 akiwa AS roma
  5. 2017/2018 = mechi 36, magoli 32 ndani ya liverpool, akiwa na miaka 25
  6. 2018/2019 =mechi 38, magoli 22 ndani ya liverpool
  7. 2019/2020 = mechi 34, magoli 19 ndani ya liverpool
  8. 2020/2021 = mechi 23, magoli 17..........................
takwimu za mechi zisitudanganye, cha umuhimu ni kuangalia mazingira ya ukuaji wao kisoka, kumfananisha mohamed salah huyu aliyekwisha pevuka kisoka dhidi ya ronaldo yule aliyekuwa akikimbia uwanjani na vichenga vyake uchwara kwa takribani misimu mitatu (kuanzia miaka 18 hadi 21) si jambo sahihi hata kidogo (sielewi ni kwa sababu gani hoja hii inapendwa sana kuletwa ndani ya hii thread, nafikiri ni mara ya nne kuishuhudia).

Mapinduzi ya kisoka aliyoyaleta mohamed salah ndani ya liverpool nayaweka daraja moja na yale mapinduzi yalioongozwa na eric cantona.
 
Nadhani sasa Klopp ajiachie tu.Fabinbo na Hendo warudi tu midfield.Hakuna tatizo,hakuna la kuhofia tena...Philips na Kabak wacheze mabeki wa Kati huku Williams(mrembo) na Davids(sina hakika na jina hili) wakiwa mabeki wa akiba.Turudi tu kwenye shape ya kawaida tucheze mechi za ligi nyingi tukiwa na hiyo shape Ili mashindano yetu pekee potential yaliyobaki kwa msimu huu yakifika tunakuwa tumeshazoea.Tucheze tu hivi bila kujali matokeo kwenye hizo mechi za ligi.Kama tahadhari na kujihami tumeshafanya na bado tumepotexa mechi kibao.Damage tayari imeshatokea hatuwezi kuendeleza kuweka watu kwenye nafasi zisizo zao wakati tunachokitafuta kwenye ligi ni top four tuu..msimu ushavurugika hatuhitaji tahadhli tucheze mpira bila pressure huku tukiconcentrate zaidi na uefa...

Van Djik wala asikimbizwe kuwahi kuja kucheza kwenye hamna!Atulie zake
apate a complete recovery Ili msimu ujao arudi kama usajili mpya.
 
Hivi haiwezekani kumng'oa zaha pale palace?

Ila yule mzee wa city gundogan ni balaa

Cha ajabu ni kazi ya klopp ile katengeneza wenzie wanatumia dah
Captain Marvelous
Zaha haha lol mzee wa dribbling...

By trade huyu ni left winger meaning atakaa kwa Mane...

Kuna kipindi Arsenal walionyesha nia baadae wakaingia mitini..

Ni mchezaji mzuri shinda kuu ni bei. Kuna kipindi bei yake ilikua £70m sasa ndugu kwa hio bei nyakati hizi sioni FSG wakitoa huku Mane akiwepo ina maana aje akae benchi ni ngumu sana kipindi na pia Klopp ana wachezaji wake fulani fulani kwa mfano hakuna alietabiri impact ya Salah au Jota hapa Liverpool.

Kingine ni huyu alitokea pale Manchester United.

Kingine ni mchezaji fulani selfish kiasi.

Otherwise amesema anatamani kucheza Champions League kwa bei powa naona akiodoka pengine Italy Inter Milan.

Gundogan ame step baada ya Khun na KDB kua majeruhi.. He is fearless yupo motoo balaa...

YNWA
 
premier league
  1. 2013/2014 = mechi 3, goli 0 ndani ya chelsea. Akiwa na miaka 21
  2. 2014/2015 = mechi 16 magoli 6 akiwa fiorentina.
  3. 2015/2016 = mechi 34, magoli 14 akiwa AS roma
  4. 2016/2017 = mechi 31, magoli 15 akiwa AS roma
  5. 2017/2018 = mechi 36, magoli 32 ndani ya liverpool, akiwa na miaka 25
  6. 2018/2019 =mechi 38, magoli 22 ndani ya liverpool
  7. 2019/2020 = mechi 34, magoli 19 ndani ya liverpool
  8. 2020/2021 = mechi 23, magoli 17..........................
takwimu za mechi zisitudanganye, cha umuhimu ni kuangalia mazingira ya ukuaji wao kisoka, kumfananisha mohamed salah huyu aliyekwisha pevuka kisoka dhidi ya ronaldo yule aliyekuwa akikimbia uwanjani na vichenga vyake uchwara kwa takribani misimu mitatu (kuanzia miaka 18 hadi 21) si jambo sahihi hata kidogo (sielewi ni kwa sababu gani hoja hii inapendwa sana kuletwa ndani ya hii thread, nafikiri ni mara ya nne kuishuhudia).

Mapinduzi ya kisoka aliyoyaleta mohamed salah ndani ya liverpool nayaweka daraja moja na yale mapinduzi yalioongozwa na eric cantona.

Kama utakuwa unaweka kumbukumbu vizuri basi utakuwa unajua kuwa hizo mara zote 4 hiyo imeweka na Mtu mmoja huyohuyo.
Na nafikiri unaona wazi kuwa hata akiweka huwa hakuna anayechangia kwenye bandiko lake, Unajua kwanini? Ni nonsense kumfananisha Ronaldo na Salah kwa stage yoyote ile.
Salah hajafikia hata robo (25%) ya uwezo wa Ronaldo.
So, bora ungepotezea tu kama tunavyofanya sisi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom