Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kocha mpya wa nini?
Kama alipita Van Gal, Morinho na wote hawakufua dafu, sihitaji tena kusikia swala la kocha mpya kwa sasa.

Sorskjaer ni kijana wetu, na ana radhi zote za Fagurson, ndio maana unaona sasa hivi timu angalau inapumua.

Kwangu Sorskjaer nina mpa misimu mitatu ya kuonyesha kile alicho nacho.
Jamani watu wa Man huku mnafanya nin huku? si mnauzi wenu wa team yenu hapa tunajadiliana team yetu pendwa Liver mazuri na mabaya ya team zingine hayatuhusu hapa.
 
Adjustments.jpg
 
Refer chelsea nafikiri ni 2005 kwenye ligi ilikuwa nafasi ya 7 lakini ilikuja kuchukua uefa... Sema ukiwa unasuasua ni rahisi kuchukua uefa kuliko kuchukua ligi
Chelsea????
2005 ndio ilifanyika MIRACLE OF INSTANBUL boss
 
Baada ya Jones kutoa assist na tunashinda
Tukija kwenye league kocha atamuweka Milner .. Jones bench ... mwisho tunapigwa hata na Burnley

Hili jambo uliloliongelea hapa linanikera sana lakini ndiyo hivyo tunaambiwa Klopp anajua zaidi.

Yani Milner ahead of Jones? Sometimes ndiyo inapelekea kusherehekea injury ya Wachezaji kama hawa.
 
Sikujua kama tunaweza kuwakimbiza Watu kwenye Uzi kwa kiasi hichi kisa tu tumeshinda magoli tuwili.
 
Pamoja na ushindi lakini timu yetu bado wachezaji hawajiamini kabisa individual brilliance hasa mane na Robertson ndio inaonekana
Labda akirudi keita pale kati na beki mmoja either matip au gomez itatusaidia
 
Yaani Keita Na Ox muda mwingi wapo mezani kwa dokta aafu Gini na Robbo hata muda wa kupumzika hawana aafu analipwa kiduchu kweli..

Henderson over paid
Matip over paid
Chamberlain over paid
Milner over paid
Thiago over paid.
Nats over paid

Allison underpaid
TAA underpaid
Robbo underpaid
Mane underpaid
Gini underpaid
Fabby underpaid.

YNWA
 
Pamoja na ushindi lakini timu yetu bado wachezaji hawajiamini kabisa individual brilliance hasa mane na Robertson ndio inaonekana
Labda akirudi keita pale kati na beki mmoja either matip au gomez itatusaidia
Mane hajiamini?
 
Yaani Keita Na Ox muda mwingi wapo mezani kwa dokta aafu Gini na Robbo hata muda wa kupumzika hawana aafu analipwa kiduchu kweli..

Henderson over paid
Matip over paid
Chamberlain over paid
Milner over paid
Thiago over paid.
Nats over paid

Allison underpaid
TAA underpaid
Robbo underpaid
Mane underpaid
Gini underpaid
Fabby underpaid.

YNWA

Hapo kwa robbo hadi aibu Aisee.
 
Liverpool HALISI tuzidi kuwa karibu na team yetu pendwa,clean sheet ya jana ni muhimu sana kwa Alisson na beki Kabak kuwapa confidence!
Sasa ni Everton ,tuzidi omba Fabihno apone ili Captain apande mbele
In Kabak we believe
 
Salah Salah Salah nina imani atafunga 35+ goals kwa msimu huu.

Then utasikia auzweeeee
Aekwe benchiiiiiiiiiiii
Atolewe bureeeeeeee

Ukiangalia aekwe Benchi achezeshwe nani? Basi utakuta kumbe atakayecheza ni Origi!!
Origi huyu ambaye toka asajiliwe Liverpool magoli yake yote hajayafikia ya Msimu mmoja tu wa Salah.

Origi tangu alivyoongezewa mkataba hajitumi tena,tusubirie mkataba ukikalibia kuisha atakuwa anapambana mpaka tutabadilisha mawazo huyu aondoke au abaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom