one by one
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,835
- 9,311
Jamani watu wa Man huku mnafanya nin huku? si mnauzi wenu wa team yenu hapa tunajadiliana team yetu pendwa Liver mazuri na mabaya ya team zingine hayatuhusu hapa.Kocha mpya wa nini?
Kama alipita Van Gal, Morinho na wote hawakufua dafu, sihitaji tena kusikia swala la kocha mpya kwa sasa.
Sorskjaer ni kijana wetu, na ana radhi zote za Fagurson, ndio maana unaona sasa hivi timu angalau inapumua.
Kwangu Sorskjaer nina mpa misimu mitatu ya kuonyesha kile alicho nacho.