Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huu uzi wameshaukimbia tayari ....


Mpaka miaka 30 tena ndio watarudi ...nadhan jf watakuwa wameshafuta huu uzi

Hatuwezi kuwasubili kwa kweli ....
 
I havent seen our Gaffer raising Crash Programmes , he always stay old school

Thats for example setting some players to Irregular roles say Trent to Defensive holding midfielder or Attacking midfielder

Bayern Munich conduct Crash Programmes a lot
Mkuu hio ngumu kujua aisee hizo crash programme amezifanya kwenye defence baada ya kupata majeraha unaona mFS ndio mabeki sasa.

Pengine anajaribu sana mazoezini na zinagoma hivyo kuona mechi kamili haziwezi toboa.

Klopp kwa sasa ni muumini wa dynamic full backs na wamempa mafanikio makubwa mno lakini kwa sasa wapo hoi hata assist wamepunguza sana ukilinganisha na misimu iliyopita.

Zipo tetesi alimsajili Thiago abadili mfumo na kabla hayo hayajatokea tukapata pigo la majeruhi na kuhamisha MFS kucheza beki , tuwe na subira kikosi kikiwa kamili naamini haya matokeo yatasahaulika kabisa.

YNWA
 
Liverpool HALISI leo tunacheza na Leipzig mashindano ya UCL,tuzidi kuwa nyuma ya team,kocha Klopp is there for minimal adjustment,will be fine!

Hamna sababu yyt ya kutukana team na wachezaji hasa kipa Alisson aliye ifanyia mema sana liverpool,waacheni Liverpool Pep waendelee kutukana

Sisi tushikamane zaidi
In alisson we believe
 
Liverpool HALISI leo tunacheza na Leipzig mashindano ya UCL,tuzidi kuwa nyuma ya team,kocha Klopp is there for minimal adjustment,will be fine!

Hamna sababu yyt ya kutukana team na wachezaji hasa kipa Alisson aliye ifanyia mema sana liverpool,waacheni Liverpool Pep waendelee kutukana

Sisi tushikamane zaidi
In alisson we believe
Mwenyekiti kasema, mimi ni nani nipinge?
 
Adjustments.jpg
 
Dah! Umekuwa mpole siku hizi!! Labda nisikie mumeleta Kocha mpya! Lakini kwa Ole sahau kuhusu ubingwa.
Kocha mpya wa nini?
Kama alipita Van Gal, Morinho na wote hawakufua dafu, sihitaji tena kusikia swala la kocha mpya kwa sasa.

Sorskjaer ni kijana wetu, na ana radhi zote za Fagurson, ndio maana unaona sasa hivi timu angalau inapumua.

Kwangu Sorskjaer nina mpa misimu mitatu ya kuonyesha kile alicho nacho.
 
Please please klopp usimpange THIAGO Leo.
Mrudishe Hendo sehemu yake
Usiwe na hofu Nyuma muweke PHILIPS NA OZAK..
ningependa umpumzishe Robertson umpange Mgiriki but sioni ukifanya hivyo
Muweke Jones na GINI kati pamoja na Hendo.
Mbele waache kama walivyo maana JOTA hajapona na hata kama kapoma don't rush him tusijemkossa mazima.
MAANA kosa lako kumpanga na mijiytland ndo limetukost tumemkosa mechi kibao.
Hapo ushindi utakuwa Mia Mia.
Ila THIAGO akianza tutakuwa slow. The guy hana assists hata moja. For me now ni 40% flop. "why we bought him"???
 
Please please klopp usimpange THIAGO Leo.
Mrudishe Hendo sehemu yake
Usiwe na hofu Nyuma muweke PHILIPS NA OZAK..
ningependa umpumzishe Robertson umpange Mgiriki but sioni ukifanya hivyo
Muweke Jones na GINI kati pamoja na Hendo.
Mbele waache kama walivyo maana JOTA hajapona na hata kama kapoma don't rush him tusijemkossa mazima.
MAANA kosa lako kumpanga na mijiytland ndo limetukost tumemkosa mechi kibao.
Hapo ushindi utakuwa Mia Mia.
Ila THIAGO akianza tutakuwa slow. The guy hana assists hata moja. For me now ni 40% flop. "why we bought him"???

Thiago mbona yupo vizuri tu. Amechukua champion ni midfield bora kabisa.
 
Please please klopp usimpange THIAGO Leo.
Mrudishe Hendo sehemu yake
Usiwe na hofu Nyuma muweke PHILIPS NA OZAK..
ningependa umpumzishe Robertson umpange Mgiriki but sioni ukifanya hivyo
Muweke Jones na GINI kati pamoja na Hendo.
Mbele waache kama walivyo maana JOTA hajapona na hata kama kapoma don't rush him tusijemkossa mazima.
MAANA kosa lako kumpanga na mijiytland ndo limetukost tumemkosa mechi kibao.
Hapo ushindi utakuwa Mia Mia.
Ila THIAGO akianza tutakuwa slow. The guy hana assists hata moja. For me now ni 40% flop. "why we bought him"???
Hahhaaaa mmeanza kuleta visingizio

Alcantara mlimleta kwa mbwembwe kama zote .....


Leo mnaona kaflop eeeh ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom