Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kama kawaida leo tunaendelea na msiba tena.
Hakuna namna itabidi hichi kikombe mnywe tu..
Liverpool khalisi,maslahi,Pep tuko pamoja katika hili.
Twende na Leipzig sasa tu maana ndo kilichobaki.

#kloppout #kloppout #kloppout ndo motto wetu kwa sasa.

#CFC


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Kama kawaida leo tunaendelea na msiba tena.
Hakuna namna itabidi hichi kikombe mnywe tu..
Liverpool khalisi,maslahi,Pep tuko pamoja katika hili.
Twende na Leipzig sasa tu maana ndo kilichobaki.

#kloppout #kloppout #kloppout ndo motto wetu kwa sasa.

#CFC


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Leo sijui kwanini sina wasiwasi Leo, tunashinda leo
 
Please please klopp usimpange THIAGO Leo.
Mrudishe Hendo sehemu yake
Usiwe na hofu Nyuma muweke PHILIPS NA OZAK..
ningependa umpumzishe Robertson umpange Mgiriki but sioni ukifanya hivyo
Muweke Jones na GINI kati pamoja na Hendo.
Mbele waache kama walivyo maana JOTA hajapona na hata kama kapoma don't rush him tusijemkossa mazima.
MAANA kosa lako kumpanga na mijiytland ndo limetukost tumemkosa mechi kibao.
Hapo ushindi utakuwa Mia Mia.
Ila THIAGO akianza tutakuwa slow. The guy hana assists hata moja. For me now ni 40% flop. "why we bought him"???
Kwani huyu Henderson aliwalisha nini,failures zote za Liverpool tatizo ni yeye hata mfumo wa Timu haubadiliki ili mfumo uliopo umu favour yeye.wale madogo wanaachwa kuchezeshwa pale nyuma kwa sasa ili Hendo acheze pale kati Klopp huwa anashindwa kupanga majembe vizuri ili hendo acheze.

Kuna kitu gani mnakiona kwa huyo jamaa ambacho wengine tumeshindwa kukiona!
 
Kwani huyu Henderson aliwalisha nini,failures zote za Liverpool tatizo ni yeye hata mfumo wa Timu haubadiliki ili mfumo uliopo umu favour yeye.wale madogo wanaachwa kuchezeshwa pale nyuma kwa sasa ili Hendo acheze pale kati Klopp huwa anashindwa kupanga majembe vizuri ili hendo acheze.

Kuna kitu gani mnakiona kwa huyo jamaa ambacho wengine tumeshindwa kukiona!

Achana na sisi wewe Liverpool Maslahi.

Timu yetu imepoteza uelekeo kwa sababu Henderson kahamishwa namba.
 
Adjustments.jpg
 
Jamani eeeh, unaweza ukawa na msimu mbaya katika ligi ya "nyumbani" lakini ukafanya vizuri katika ligi ya mabigwa wa Ulaya. Endeleeni kuifuatilia timu yenu!
Refer chelsea nafikiri ni 2005 kwenye ligi ilikuwa nafasi ya 7 lakini ilikuja kuchukua uefa... Sema ukiwa unasuasua ni rahisi kuchukua uefa kuliko kuchukua ligi
 
Refer chelsea nafikiri ni 2005 kwenye ligi ilikuwa nafasi ya 7 lakini ilikuja kuchukua uefa... Sema ukiwa unasuasua ni rahisi kuchukua uefa kuliko kuchukua ligi
2012 Chelsea ilikuwa nafasi ya 6 ktk msimmamo wa EPL lakini UEFA CL ilibeba ndoo chini ya Ligendary Man D Drogba akisawazisha goli 1 - 1 dakika za lala salama na kushinda penati ya mwisho.

Jana nilimwambia jamaa yangu flani kuwa Liverpool itashinda dhidi ya Leipzig hata kama hayupo vizuri ktk EPL maana kwa UK ni Liverpool ndiye mwenye nyota na UEFA sawa na EPL kwa Man U au FA kwa Arsenal kimafanikio lakini alinikatalia kabisa, tatizo upinzani kindakindaki baina yake na Liverpool ndiyo ulikuwa unamtesa maana Jamaa ni mshabiki haswa wa Man U, japo sikuwa na uhakika kwa PSG dhidi ya Barcelona.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
2012 Chelsea ilikuwa nafasi ya 6 ktk msimmamo wa EPL lakini UEFA CL ilibeba ndoo chini ya Ligendary Man D Drogba akisawazisha goli 1 - 1 dakika za lala salama na kushinda penati ya mwisho.

Jana nilimwambia jamaa yangu flani kuwa Liverpool itashinda dhidi ya Leipzig hata kama hayupo vizuri ktk EPL maana kwa UK ni Liverpool ndiye mwenye nyota na UEFA sawa na EPL kwa Man U au FA kwa Arsenal kimafanikio lakini alinikatalia kabisa, tatizo upinzani kindakindaki baina yake na Liverpool ndiyo ulikuwa unamtesa maana Jamaa ni mshabiki haswa wa Man U, japo sikuwa na uhakika kwa PSG dhidi ya Barcelona.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Unawaza kuwa bingwa UEFA?
 
Please please klopp usimpange THIAGO Leo.
Mrudishe Hendo sehemu yake
Usiwe na hofu Nyuma muweke PHILIPS NA OZAK..
ningependa umpumzishe Robertson umpange Mgiriki but sioni ukifanya hivyo
Muweke Jones na GINI kati pamoja na Hendo.
Mbele waache kama walivyo maana JOTA hajapona na hata kama kapoma don't rush him tusijemkossa mazima.
MAANA kosa lako kumpanga na mijiytland ndo limetukost tumemkosa mechi kibao.
Hapo ushindi utakuwa Mia Mia.
Ila THIAGO akianza tutakuwa slow. The guy hana assists hata moja. For me now ni 40% flop. "why we bought him"???

You're wrong
 
Salah Salah Salah nina imani atafunga 35+ goals kwa msimu huu.

Then utasikia auzweeeee
Aekwe benchiiiiiiiiiiii
Atolewe bureeeeeeee

Ukiangalia aekwe Benchi achezeshwe nani? Basi utakuta kumbe atakayecheza ni Origi!!
Origi huyu ambaye toka asajiliwe Liverpool magoli yake yote hajayafikia ya Msimu mmoja tu wa Salah.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom