Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Bwana kipara akisha ongoza league hata kwa point moja hasa majira kama haya ni ngumu mno kumtoa pale, ingekua Arsenal, Man Utd, Chelsea wanaongoza tungejipa matumamni ila huyo kipara ngoto League imeishia hapo labda team yote wapate covid
 
Mkuu Trent na Robbo wapo hoi hawa niwakupumzishwa lakini je nani acheze hizo nafasi zao na ukumbuke Klopp anamshambulia kutumia flanks na msimu huu asilimia kubwa ni kupitia upande wa Robbo..

Tsimikas pengine ni wakati aanze kupata dikika saa ili Robbo ajikusanye vwa kutosha mechi zimebakia EPL 14 na za UEFA na sio za kupoteza kama tunahitaji kubakia BIG 4.

In the meantime

Bayern Munich are stepping up their pursuit of Norwich City right-back Max Aarons... Huyu dogo kwa kweli angetufaa sana upande wa Trent.. Bayern na Barcelona wameonyesha nia kumdaka sioni tena kama tunaweza kumpata maana Neco sio EPL material bado anahitaji acheze kwingine kwa mkopo hata misimu miwili hivi.

YNWA

I havent seen our Gaffer raising Crash Programmes , he always stay old school

Thats for example setting some players to Irregular roles say Trent to Defensive holding midfielder or Attacking midfielder

Bayern Munich conduct Crash Programmes a lot
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom