Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Acheni kumtoa Kafara Milner ndugu zanguni ,mbona mnamfumbia macho Gini na Klopp wake ?

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app

Kabla ya Sabs yake tulikuwa tunacheza vizuri sana, lakini alipoingia tu na kutolewa Jones kila kitu kilibadilika.

Mimi simlaumu Milner bali namlaumu Klopp
 
Acheni kumtoa Kafara Milner ndugu zanguni ,mbona mnamfumbia macho Gini na Klopp wake ?

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Mkuu kwanza leo my best Liverpool player kwenye hiki kikosi Allison kafanya blunder za ajabu yaaani haikumbaliki kipa wa level hizi kweli afanye vile lakini sasa Soka ni mchezo wa makosa na ukayafanya dhidi ya Pep bila shaka utaumia...

Technically Allison kauza hii gemu..

Unavyokua vile unaifanya timu nzima icheze kwa wasiwasi mno..

YNWA
 
Huyu Thiago alieimbwa sana huku kwa mapambio na ngojera nzuri pamoja na sifa kedekede mbona sioni alichodeliver Cha maana mpaka Sasa ?? Ama mfumo umemkataa ?
 
Kwa hyo katika mechi 5 zilizopita tumepigwa 4 tumeshinda moja tu

Hakika tunapitia kipindi kigumu sna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom