Klopp is fatigued man he ain't reasoning clearly...Klopp made 2 terrible subs when we were doing just fine at 1-1..
Its not about injuries.
Wala sio kushambuliwa, Alisson aliyewapa ubingwa wa UEFA na EPL kwa standout performance hawezi kabisa fanya silly mistakes kama zile, hata KEPA wa Chelsea hajawahi kufanya makosa kama hayo. Kubali tu kuwa Alisson leo kichwa chake kilikuwa kwa malaya wake, haikuwa uwanjani kabisa. Hata ukienda kumuuliza Alisson atakuambia hivi hivi. Anyway mimi nafurahi Betting yangu imeenda vizuri nangojea mshiko tuHays yanayotokea kwa Kipa ni sababu ya kushambuliwa kumbuka kuwa Man City hawaondoki golini kwetu.
Sasa tunaitafuta sababu ya kushambuliwa ndiyo hapo tunalaumu Sabs za kina Milner wakati Jones alikuwa anacheza vizuri tu
Tumefungwa wote na nani???? Mmefungwa nyie sio sisi Liverpool pep.Ndiyo soka
Kipa wetu alikuwa na mechi mbaya sana leo labda kuliko muda wowote toka aanze soka!
Tumefungwa wote,tunarudi kwa mechi ijayo
Kweli mkuu Klopp ni zaid ya pep hata matokeo yanaonyesha hvyKlopp is better than Guardiola
Nasema uongo ndugu wana Liverpool halisi.
ANFIELD hivi sasa ni kama MABATINI COMPLEX tu.
Hapa ndo ulipoanza kuzingua..maana tulikubalina mapema ila ukajabadilika mapema. UlifeliNiko very comfortable kwakweli! Sina cha kupoteza
Yaani ndio hapo ndugu utadhani kama sisi ndio tunaongoza Ligi...Hivi tumemsajili Kabak kuja kibali bench? Kweli? Huyu mzee basi tena kutuuza aisee! Henderson na Fabinho walitakiwa warudi kwenye nafasi zao!
Asante Pep sisi Chelsea tulikalia tatu darajani tukachekwa ,wale Liverpool halisi wamekalia nne



Tumefungwa wote na nani???? Mmefungwa nyie sio sisi Liverpool pep.



Sawa sawa tuko pamoja ..Goooooaaaaaal
Liverpool 1 - 2 Man City


