Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mm leo hata game siangalii kabisa, msisahau kunipa updates hapa
Taarifa muhimu ni kwamba Manchester United walitoa sare na muda hii gemu ya Leicester imeisha nayo sare ana pointi 43 sasa... Maanake hii tukashida leo tunakwenda nafasi ya 3 kwa tofauti ya magoli tukiwa na pointi 43 pia..

YNWA
 
We buy defenders but we wont play them.

Klopp ni ovyo sana.
Shinda na pundits walitabiri leo Kabak anaanza pale nyuma na Fabinho haha sasa Klopp ninaemjua mimi hua hapangiwi kamwe haha ina maana madogo wanakula tena benchi...

Henderson beki na zile long pass zake za 60 yards is useless hazina vichwa wala miguu...

May lady luck be on our side...

YNWA
 
Majogoo leo mna dhamana kubwa sana ya kuiokoa dunia na kelele za city.
Kila sala na goti kwa siku ya leo ni kwenu,msituangushe tafadhali,walau draw inatosha.
Leo ndio ile maana halisi ya U WILL NEVER WALK ALONE inafanya kazi vizuri zaidi.
The whole world is behind you
 
Klopp is very stubborn.
Its crazy why not take a gamble with Kabak CBR and get Henderson kwenye midfield kama lazima acheze lol...

We draw seems like a loss...
we loss we are damn out of the title race...

Manchester City have nothing to lose either way Pep has the upper hand..

Foden to score the 1st goal..

Mane to score the 1st goal...

Sijui leo Klopp akigika atasingizia nini haha lol...

Come Reds prove me wrong..

YNWA
 
Livermburu chama langu la utotoni, twende tukamuonyeshe Pep Kipara kwamba sisi ni nani.. YNWA
 
Liverpool MASLAHI, leo mtuache kidogo.. tupo nyuma ya mwalimu. This is DO OR DIE, hatuwezi kukubali kufungwa game 3 nyumbani
 
Mkuu hayo mapumziko ya siku 8 unataka kusema hayo mapumziko city hayakuwapa faida yoyote walikaa tu kiasara? Mbona Baada hizo siku 8 city ndio wamebadilika mpaka leo?

Game na man city leo sina wasiwasi kabisa utaratibu wakugawa dozi ni uleule wa 3-1.

Mkuu sijapenda kusema jamaa anaongea pumba,me naimani tunarudi kwenye title contender Baada ya mechi ya leo.man United raundi ya 2 inamshinda tayari dalili tumeziona sio tena wakumuofia.

Kelele za man United zisitufanye tuone hatujui,na wakati sasa hivi tumerekebisha hapo nyuma kidogo naona sasa tutaanza kupata tulichokuwa tunataka na sasa hivi jota Baada ya wiki hivi anaweza kurejea hiyo front 3 itachangamka.

Kaka unafuatilia Press za Klopp?

Alilaumu Nyasi kumkosesha ushindi

Alilaumu Snow kumkosesha ushindi

Alilaumu upepo kumkosesha ushindi

Alilaumu injuries za Manure kumkosesha ushindi

Analalamikia mapumziko ya Man City wakati ya Wiki 2 ya Liverpool ndiyo aliamua kuwasumbua wachezaji dhidi ya Vitoto vya Aston Villa! Hizo sio pumba kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom