Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kenge za Manure zimenyanduliwa na Timu inayokamata nafasi ya 20 kwenye msimamo 😝😝😝

Screenshot_20210128-011303.png
 
The Blades 🔪 are cutting really harsh haha...

Chris Wilder thanks very much...

Ni mwendo ule ule kila mmoja ashinde mechi zake...

YNWA
Kwa hiyo ndugu zangu, tunaoelekea kukata tamaa ya ubingwa naomba kubadili mawazo dimba ndio kwanza linashika kasi!! Manure Kafia OT kwa timu iliyo mkiani! Na sisi tuwaulize, mwili wa marehemu unasafirishwa au mnazika hapo hapo OT? Bwaaaaaaha ha ha haaaaaaaaaa!!
 
Natamani mfungwe na Tottenham
Nyoooooo,,, kufa zako! Oooh, Jogoo kanyolewa nyumbani kwake Anfield, sasa nyie leo mmefanywaje? Bora hata sisi tukifunga na kitimu kiko kwenye form, nyie mnapigwa na Sheffield United? Timu inabeba timu zote kwenye msimamo? Bwaaaaaha ha ha haaaaaa!
 
Round ya pili ndiyo kwanza inaenda kuanza! Bado sana maana chochote chaweza kutokea!
Hii kauli niliitoa jana wakati mechi ya Manure inaendelea, hamadi naamka asubuhi nakuta Manure kafia OT mpaka raia hawaelewi kama wasafirishe mwili wa marehemu au wazike hapo OT!
 
Nataka nione kama mkirudia 4 3 3 na kutegemea attacking fullbacks kutawabeba mbele ya spurs leo.

Tho sina imani kusema ukweli. Maana Mourinho atapaki basi kusubiri speed ya Son na Kane iwaharibie siku.

Anyway, sooner or later battle itakua ya top four. Mkitoka kwa Spurs mnaenda kwa Westham hizi games zote natamani mtoe suluhu.
 
Kwa hiyo ndugu zangu, tunaoelekea kukata tamaa ya ubingwa naomba kubadili mawazo dimba ndio kwanza linashika kasi!! Manure Kafia OT kwa timu iliyo mkiani! Na sisi tuwaulize, mwili wa marehemu unasafirishwa au mnazika hapo hapo OT? Bwaaaaaaha ha ha haaaaaaaaaa!!
Kutesa kwa zamu...

Raha sanaa hii EPL 2020-2021 yaaani leo unacheka kesho unanuna balaa... Inauma sana kufungwo nyumbani na timu iliyopo mkiani huku mshindani wako jana yake akiwa amemfunga mtu goli 5 lol...

Bring the Spurs tuamkie hukoo...

YNWA
 
Daah Bob subiri mpaka March huko
Mkuu MmangO kwema ndugu...

Ishu ni kwamba tupo kama hatupo..

Sometimes haya mambo hutokea ndugu na kuhitaji one proper game kama hii ya Spurs ili kurudi kwenye mbio...

We are eagerly waiting to see the boys reclaiming thier winning mojo...

Pazuri ni kwamba hata wengine wanatoa matokeo yasiotarajiwa jana Leicester katoa sare huku Stretford boys nyumbani wakilala 2...hivyo tuna gemu 19 za kufanya jambo EPL.

YNWA
 
Mwezi uliopita kama nakumbuka vizur mlikuwa na point 23..huku mkigombania na spurs kuongoza league ....

.mlikuwa nafasi ya 2

1.spurs
2.liverpool


mkakutana na spurs ilimpate ticket ya kukaa juu top of the table ,huku matumain ya ubingwa yakizid kushika kasi baada ya kuongoza league ....

Mkampiga spurs 2-1,huku boby akishangilia kama anakimbizwa na paka kwa goli lake la kichwa dakika ya 90+ na kuongoza legue .....

Leo mnakuta na spurs mpo nafasi ya 5 yeye 6 huku mkigombania nyote kuingia top four ......

This is football

This is epl
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom