Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Mwanga mkubwa weweLiverpool HALISI leo tuna mechi muhimu sana,Klopp kawaandaa vijana vyema na kazi yetu ni kuwashangilia
Tukutane muda huo kushangilia team yetu
Amiiina
Mwanga mkubwa weweLiverpool HALISI leo tuna mechi muhimu sana,Klopp kawaandaa vijana vyema na kazi yetu ni kuwashangilia
Tukutane muda huo kushangilia team yetu
Amiiina
Mwanga mkubwa wewe
Limekimbia sijui litarudi tena lini?
Fabonho shifted from Midfield to Centre Back but is not a big issue
Hendo shifted from Midfield to Centre back kwa game 2 only, You can see this kwenye Cover page ya Magazeti yote ya Uengereza kama Skipper is a leader, humble boy and very discipline kukubali kuhama position yake kutoka Mido to CB



Watakuwa wapare hawa sijui..Kwa taarifa hii ya Deloitte ni wazi pesa ipo hivyo FSG waache danganya toto..
Bila UCL tumekwishaaaaaa..
![]()
Deloitte Football Money League: Liverpool join Man Utd in top five for 2019-20
Barcelona and Real Madrid head the Deloitte Football Money League list for the 2019-20 season; Champions League winners Bayern Munich are third, Manchester United fourth and Liverpool fifth in the list, which charts the financial performance of the highest revenue-generating clubswww.skysports.com
YNWA
Kwema ndugu..Mkuu MmangO kwema ndugu...
Ishu ni kwamba tupo kama hatupo..
Sometimes haya mambo hutokea ndugu na kuhitaji one proper game kama hii ya Spurs ili kurudi kwenye mbio...
We are eagerly waiting to see the boys reclaiming thier winning mojo...
Pazuri ni kwamba hata wengine wanatoa matokeo yasiotarajiwa jana Leicester katoa sare huku Stretford boys nyumbani wakilala 2...hivyo tuna gemu 19 za kufanya jambo EPL.
YNWA



Yaani tuna compete nafasi na West Ham? Loooh
Soon tunaweza jikuta kwenye Table namba hii 👇
7. Liverpool FC
Manchester City bingwa wa EPL 2020-2021 ametuacha pointi 7 na wote tumecheza gemu sawa 19...
Tujipange kwa msimu ujao.. Huu FSG hawapo kwa kweli wapo lockdown.
YNWA
Sorry hapo kwa Arse8 ni £34m au kuna namba ingine kwa mbele?Mapato ni £489.9M lakini bado tunategemea tuuze ndiyo tusajili.
Anyway from lounghing stock to Top 5 kiukweli tumepiga hatua! Mpaka kufikia Man City, Chelsea na Arsenal Kuwa nyuma yetu ujue kazi haikuwa ndogo kwani walituburuza kwa miaka mingi.
View attachment 1687612
Bado siku kadhaa kupata CB ndugu na kuokoa msimu wetu....Watakuwa wapare hawa sijui..
Labda wanataka kushusha vifaa vya gharama zaidi labda..
Ila FSG wanazingua Sana ..wasije shangaa tukakimbiwa mafundi wetu kabla ya muda sasa.
Really sad and they have pushed the gaffer to speak his mind after frustrations with the results and almost the victims has been the defence...Our current situation pondering on it you endup being really really sad and disheartened
Hilo nilishalipuuza!!Mwanga mkubwa wewe
Unless this boys play every game as its last game more like a final we are good to go perhaps they might find thier shooting mojo and score goals again and again and we dont concede....Kwema ndugu..
Niko nachungulia ratiba na kuitazama game zao hawa wawili kwa zaidi ..
Man City na Liverpool, tujipe muda kidogo muda wa kupambana upo na mafanikio yapo tukianza na leo...
Mwezi ujao na mwanzoni mwa March..
Tunaishi humu
View attachment 1688190View attachment 1688191
Really sad and they have pushed the gaffer to speak his mind after frustrations with the results and almost the victims has been the defence...
Klopp rarely points fingers man.. Even during the Karius episode he stood by the team untill the right time came to act on the market...
This time round the gloves were off he wont be the sacrificial lamb yet the fans, the sponsor and the owners want Klopp to deliver the 20th EPL trophy sasa unajiuliza kwa kikosi kipi...
Kama alivyosema King Ngwaba upo uwezekano hata hawa akina Salah, Mane nk hawakua chagua la kwanza la Klopp mbali aliletewa tu kwa vile wenye timu walishindwa kuwapata aliowahitaji...
Hizi injuries za VVD na Gomez zimetuonyesha how our ruthless our owners are...
Am surprised how they believe in Klopp miracles when even Klopp himself says 100% he will welcome new CB transfer with open arms...
Yajayo yanafurahisha..
YNWA
Sorry hapo kwa Arse8 ni £34m au kuna namba ingine kwa mbele?
Klopp annual income in numbers, salary plus some of his sponsorship..
He earns almost £6.7m in sponsorship and most of this companies are in German like Opel car maker, beer company Erdinger and even two financial institutions, VR-Bank and Deutsche Vermogensberatung and also Sky Sports
Raking in a combined £22.7m inclusive salary £16m and sponsorship deals, Klopp gives generously to charity and is involved in football's 'Common Goal' initiative.
Klopp donates one per cent of his salary to worthy causes in Liverpool, Erfut (Germany) and Cape Town (South Africa).
The German Nazi is well paid..
YNWA