King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Kwahiyo leo ni Mechi ya 5 bila ya goli?
Tuko kwenye hali ngumu sana kwa sasaUpepo umekata ndugu...
Hua inasemekana January na February ndio miezi mimbaya sana kwetu kimatokeo uwanjani lakini hii ya sasa imezidi ndugu mechi 5 bila majibu ni aibu ukizingatia tulikua favourite kuchukua ubingwa tena...
Mengi yamesemwa lakini bado hatuona matokeo yakiridhisha kwetu...
Cha msingi vijana waongezee bidii mazoezini ili kurudisha ukali uwanjani ni hilo tu hakuna namna maana mpaka sasa usajili ni kama haupo labda baada ya Klopp kuwanyooshea kidole FSG wata react sasa na kumsa sapoti sokoni...
Wachezaji wengi tu wanapelekwa Liverpool na mawakala wao wakitaka kuwauza ama mkopo lakini Edwards anawaambia hahitaji kusajili..
Utashangaa sasa yupo bizy kumwongezea mkataba VVD badala awe bizy na mabosi wake kuingia sokoni kupata angalau CB mmoja kusudi Fabby arejee DM yake na pengine tupate namba 9 mmoja... Jota alipata jeraha ya goti na majeraha ya goti hua yana kawaida ya kujirudia instantly yaani usije shangaa Jota akaanza tena aafu akaumia tupo kwenye wakati tough sana na wachezaji wawili VVD na Jota...
Ngoja tuone kama leo wachezaji watazidukia Old Trafford leo...
YNWA
Epl nadhani itakua mechi ya 6 ila sasa hii ya leo FA kuna ule ushindi dhidi ya watoto wa Midlands..Kwahiyo leo ni Mechi ya 5 bila ya goli?
Its sad man kumbe Klopp kila kukicha taarifa za mahitaji yake zinatua kwa wenyewe lakini sijui wanasubiri tuwe nafasi ya 7 Mei ndio wamwelewe...Tuko kwenye hali ngumu sana kwa sasa
Mkuu hao mabosi wa team ndio wameleta yote haya.Upepo umekata ndugu...
Hua inasemekana January na February ndio miezi mimbaya sana kwetu kimatokeo uwanjani lakini hii ya sasa imezidi ndugu mechi 5 bila majibu ni aibu ukizingatia tulikua favourite kuchukua ubingwa tena...
Mengi yamesemwa lakini bado hatuona matokeo yakiridhisha kwetu...
Cha msingi vijana waongezee bidii mazoezini ili kurudisha ukali uwanjani ni hilo tu hakuna namna maana mpaka sasa usajili ni kama haupo labda baada ya Klopp kuwanyooshea kidole FSG wata react sasa na kumsa sapoti sokoni...
Wachezaji wengi tu wanapelekwa Liverpool na mawakala wao wakitaka kuwauza ama mkopo lakini Edwards anawaambia hahitaji kusajili..
Utashangaa sasa yupo bizy kumwongezea mkataba VVD badala awe bizy na mabosi wake kuingia sokoni kupata angalau CB mmoja kusudi Fabby arejee DM yake na pengine tupate namba 9 mmoja... Jota alipata jeraha ya goti na majeraha ya goti hua yana kawaida ya kujirudia instantly yaani usije shangaa Jota akaanza tena aafu akaumia tupo kwenye wakati tough sana na wachezaji wawili VVD na Jota...
Ngoja tuone kama leo wachezaji watazidukia Old Trafford leo...
YNWA
Anatupenda lakinj itafikia time atachokaIts sad man kumbe Klopp kila kukicha taarifa za mahitaji yake zinatua kwa wenyewe lakini sijui wanasubiri tuwe nafasi ya 7 Mei ndio wamwelewe...
Real Madrid wakija mazima ama Mgombea Uraisi yeyote Barcelona akiwa na convincing power nzuri anatua kwa Klopp mazima na walahi Klopp anatuacha khaa sio kwa shinda hizi anazitaka nani..
Atasepa one day turudi kule kwa kina balloteli
FSG na Glazers ni pipa na mfuniko, tofauti yao ni majina tu.Klopp kweli hawa jamaa amewachoka yaani anaona maneno ni mengiii vitendo ni ziroooooooooooo
Klopp said: “Most of the time in my life I didn’t get what I wanted, so pretty much used to that. We talk about a centre-half, and yes, it would help 100 percent.
“We discuss the situation pretty much on a daily basis, and I make recommendations.
But I cannot spend the money. I don’t make these decisions. There are people who are responsible for the whole thing, and I cannot make their decisions.
“When I say this, I know of course what we would do in an ideal world, but the world is not ideal. So we have to deal with the situation.”
Nina wasi wasi hii hali isipotatuliwa mapema tunaelekea yaliyomkuta Mzee Wenger na Invincibles mwaka 2004 na mpaka leo hii Arsenal hawajakaa sawa tenaa..
YNWA
Its sad man kumbe Klopp kila kukicha taarifa za mahitaji yake zinatua kwa wenyewe lakini sijui wanasubiri tuwe nafasi ya 7 Mei ndio wamwelewe...
Real Madrid wakija mazima ama Mgombea Uraisi yeyote Barcelona akiwa na convincing power nzuri anatua kwa Klopp mazima na walahi Klopp anatuacha khaa sio kwa shinda hizi anazitaka nani..
YNWA
Glazers wanatoa hela.FSG na Glazers ni pipa na mfuniko, tofauti yao ni majina tu.
Hawa FSG wamefanya mengi mazuri kuongeza uwanja capacity, kujenga uwanja wa mazoezi unaiunganisha junior teams na Senior team sehemu moja nk hii ni BIG up kwa kweli lakini jambo moja muhimu sana ni kwamba biashara kuu kwao ni Team A hii ndio inazalisha pesa za kufanya yote haya zinatokana na mikatabata ya TV, performance ya kila hatua UCL na makombe tutakayoshinda.. Timu ikiwa inafanya vyema inaongeza fan base na pia makampuni makubwa wanainyemelea kupata mikataba kwa mfano Nike walivyokuja mazima..Inanifanya kwasasa niamini hata hawa kina Salah, Fabinho, Jota huende hawakuwa First Choice Kwenye Targets za Klopp, huenda Klopp alipeleka Targets zake nyengine zikaonekana ni hela ndefu akaambiwa Hakuna hela ndiyo akapewa hao, ingawa wamegeuka wakawa Moto wa kuotea mbali.
Jinsi Klopp alivyojitoa kwa hii Timu mpaka akatupa mafanikio ya kubeba EPL basi ni jambo la aibu na dharau wanalomfanyia hawa FSG.
Klopp hata akisema anahama Liverpool basi mimi ninamuunga Mkono aende kwenye Timu atakayosema na kusikilizwa (Barcelona, Real Madrid, PSG na Man City).
Yaani wanatuletea Uamerika wao kwenye mpira duuh...FSG na Glazers ni pipa na mfuniko, tofauti yao ni majina tu.
Kumdharau hapana mbali hawa jamaa hua wanafuata set up yao iliyowapa mafanikio Redsox hivyo wakaja kuikopi na ku paste kwa Liverpool...Anatupenda lakinj itafikia time atachoka
Kama anapelega ripoti yake halafu hawatimizi unadhani anaonaje?
Kwamba hathaminiki wanamdharau au wabahili
Uzuri Klopp sio Kocha wa mdomo ki vilee yaani mpaka unaona anasema haya ni kwa vile anaona system uwanjani imeingiliwa hakua na plan msimu huu eti Fabby awe markshift CB yaani hii ni pigo kubwa sana kwake... Tupo dirisha la usajili na badala wamemsapoti wao wako busy huko America kuuza hisa za klabu kwa £450m na bado dili halijapitishwa pending approval sasa unajiuliza hao wanaonunua hizo hisa wakasubiri mpaka Mei 2021 tuwe nafasi ya 7 je watatoa ela tena...Mkuu hao mabosi wa team ndio wameleta yote haya.
Wanapenda jk atafute wachezaji wazuri lakini cheap ..!
Na hao huwa hawapatikani Mara nyingi.
Imagine jk angekuwa city kikosi chake ambavyo kingekuwa cha moto *****