Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Katika Matajiri waliowekeza kwenye Soccer FSG ndiyo matajiri pekee wanaoongoza kwa Faida ambao hawaendeshi Timu kwa hasara hata ya asilimia 0.000001%.

Hawanunui mpaka Wauze
Wakiuza £150M ndiyo wananunua wa £50M ili £100M iwe faida.
Kamwe hawanunui kwa zidi ya Walichouza.
Kamwe hawanunui sawa na Walichouza.
Siku zote wananunua chini ya 30% Walichouza.
Hawajawahi kutoa pesa yao Mfukoni kusaidia Timu au usajili bali Timu inajiendesha wenyewe kupitia mapato yake.
Timu inapokwama kwenye usajili au shughuli yoyote ile basi wahuni wanaikosesha na kujilipa baadae.

Kiufupi jamaa wameshaibomoa Timu manake Pesa za kina Brewster, Lovren na Danny Ings ndiyo kanunuliwa JOTA, Sasa sijui huyo CB atanunuliwa kwa pesa za nani! Tusubiri auzwe Origi na Xhaqiri ili anunuliwe.
Na auzwe Salah na Keita ili tujue mshambuliaji na Midfielder.
 
  • Aguero Tested positive Covid-19
  • KDB out for 6 weeks due to hamstring injury
  • Vardy out for unknown weeks due to Ngiri
  • Lampard out of Top Four for several weeks
  • Arsenal their whereabout unknown
  • Klopp his Liverpool is out of control

Sasa naamini huu ni mwaka wa Manure kila tukio linawafavour wao wabebe Ubingwa.
 
  • Aguero Tested positive Covid-19
  • KDB out for 6 weeks due to hamstring injury
  • Vardy out for unknown weeks due to Ngiri
  • Lampard out of Top Four for several weeks
  • Arsenal their whereabout unknown
  • Klopp his Liverpool is out of control

Sasa naamini huu ni mwaka wa Manure kila tukio linawafavour wao wabebe Ubingwa.

Sio rahisi we ulitegemea jana ungepigwa nyumban
 
Ukisikia kuaibika ndiyo huku 😅
Liverpool Halisi wenzangu munisamehe kwa hili.

Hivi yule Mchezaji wetu pendwa Captain bora wa muda wote tuliyelazimishwa tuamini kuwa ndiye aliyetupa Makombe kwa kuibeba Timu kwa Mabega yake sasahivi yupo wapi kwenye kipindi hichi kigumu? 😂

Si atuvuushe tu skipper wetu! Tuvushe Hendo tuvusheee 🎶🎵🎶🎶

Ilikuwa mikelele mingi Hendo katupa Makombe sasa tushapoteana watu Wanalia na VVD, GOMEZ na JOTA hakuna anayemtaja Captain.

Watakaporudi wenye Timu tukaanza kushinda misifa itarudi tena kwa Hendo.

Ukisikia kuwa Exposed ndiyo huku! Sasa imeshajuilikana ni kina nani ndiyo Waliokuwa wanaibeba Timu.

Captain alizoea mbeleko wa kina VVD, FABINHO, SALAH, MANE, TAA, ROBBO na BOBBY, sasa mbeleko umekatika kawa kama Saidi Ndemla tu.
Fabinho influence at AM is underrated kwa sasa imeeleweka vyema ni akina ndio unsung heroes....

Hendo is bam that will never...

YNWA
 
Liverpool’s calendar for the next month:

FA Cup: Man Utd (A)
PL: Spurs (A)
PL: West Ham (A)
PL: Brighton (H)
PL: Man City (H)
PL: Leicester (A)
UCL: Leipzig (A)
PL: Everton (H)

 
Ukisikia kuaibika ndiyo huku 😅
Liverpool Halisi wenzangu munisamehe kwa hili.

Hivi yule Mchezaji wetu pendwa Captain bora wa muda wote tuliyelazimishwa tuamini kuwa ndiye aliyetupa Makombe kwa kuibeba Timu kwa Mabega yake sasahivi yupo wapi kwenye kipindi hichi kigumu? 😂

Si atuvuushe tu skipper wetu! Tuvushe Hendo tuvusheee 🎶🎵🎶🎶

Ilikuwa mikelele mingi Hendo katupa Makombe sasa tushapoteana watu Wanalia na VVD, GOMEZ na JOTA hakuna anayemtaja Captain.

Watakaporudi wenye Timu tukaanza kushinda misifa itarudi tena kwa Hendo.

Ukisikia kuwa Exposed ndiyo huku! Sasa imeshajuilikana ni kina nani ndiyo Waliokuwa wanaibeba Timu.

Captain alizoea mbeleko wa kina VVD, FABINHO, SALAH, MANE, TAA, ROBBO na BOBBY, sasa mbeleko umekatika kawa kama Saidi Ndemla tu.

Captain mwenye uwezo huo alikua huyu hapa playing beside bams like Hendo... Cant imagine angekua kapata bahati ya kucheza na hawa vijana wa sasa..

Screenshot_20210122_181350.jpg


YNWA
 
Captain mwenye uwezo huo alikua huyu hapa playing beside bams like Hendo... Cant imagine angekua kapata bahati ya kucheza na hawa vijana wa sasa..

View attachment 1683507

YNWA

Captain kama huyu alicheza na mabeki wa kati kama Skirtel na Kaygriakos.
Alicheza na mabeki wa pembeni ka Arbeloa na Emily Insua.
Alicheza na Viungo kama Lucas Leiva na Jordan Henderson.
Alicheza na Washambuliaji kama Voronin na David Ngog.
But still alimanage kutupa chochote kupitia jitihada binafsi.
Wakati wa shida yeye ndiyo anashika hatamu ya mapambano.
Huyu Captain hakupata bahati ya kucheza na Liverpool ya kina VVD, MANE, SALAH, ALISON, FABINHO, TAA na ROBBO.
 
Kuna baadhi ya Posts hapa zilijaribu kutaka kutuaminisha kuwa Henderson ni Leader kwenye Pitch na outside the Pitch, Sasa tuko kwenye wakati Mgumu na ndiyo tunahitaji Leadership zaidi kuliko kipindi chochote kile! Where is his leadership now? Coz uwanjani tu acheza tu pata mpatae hujui nani ni kiongozi!
Kipindi hichi kila propaganda itakuwa Exposed tutashuhudia mengi kwakweli.
 
Liverpool six Premier league defeats since the start of last season.

Wartford NO HENDERSON
Man City NO HENDERSON
Arsenal NO HENDERSON
A Villa NO HENDERSON
Southampton HENDERSON CB,Not in Midfield
Burnley NO HENDERSON

Liverpool Halisi kumbe wako sahihi Engine ya timu ni HENDERSON Au nasema uongo ndugu yangu Malafyale kinogozi wa LIVERPOOL HALISI.
 
Liverpool six Premier league defeats since the start of last season.

Wartford NO HENDERSON
Man City NO HENDERSON
Arsenal NO HENDERSON
A Villa NO HENDERSON
Southampton HENDERSON CB,Not in Midfield
Burnley NO HENDERSON

Liverpool Halisi kumbe wako sahihi Engine ya timu ni HENDERSON Au nasema uongo ndugu yangu Malafyale kinogozi wa LIVERPOOL HALISI.

😅😅😅 Ni kweli sisi Liverpool HALISI tunalijua hili
 
  • Aguero Tested positive Covid-19
  • KDB out for 6 weeks due to hamstring injury
  • Vardy out for unknown weeks due to Ngiri
  • Lampard out of Top Four for several weeks
  • Arsenal their whereabout unknown
  • Klopp his Liverpool is out of control

Sasa naamini huu ni mwaka wa Manure kila tukio linawafavour wao wabebe Ubingwa.
manyua niachieni tarehe 30 , hawez kukaa pale juu kwa mpira wa kuviziavizia.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom